Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Bora ufisadi wa MAGUFULI kuliko ulofa wa LISSU wa kupanga njama za machafuko na wazungu. Sijui LISSU akili chafu ya namna hii anaitoa wapi.
Utampenda tu Lissu hachafuliki hajawah kuwa na skedo wala kashshifa
 
Vijana tundeni na Lissu tar 28 yule Msukuma hafai kuongoza nchi kiburi kimemjaa alafu nashangaa anajifanya kutufokea hadi kwenye mikutano ya kampeni.. Sasa ndio umekwisha habari yako mwaka huu

MAGUFULI atashinda mchana kweupee. Nchi haiwezi kuongozwa na vibaraka. Tutamlinda na kumpigania MAGUFULI hadi kieleweke.
 
Lakn mkumbuke kuwa kule kwenye tume ACT anatambuliwa ni membe, sasa siku ya uchaguzi watapiga kwenye picha ya nani?

Na tume ilishasema endapo chama vinataka kuungana viwasilishe hoja hyo kabl ya siku 90.

Halafu pia hayo ni maamuzi ya Maalim seif lakn si wanachama wa ACT.

Naona karata hizi zinaanza kujichanganya. Ngoja tusubiri
Sisi sio mang'ombe tunaelewa lengo letu. Akisemacho Tundu Lissu na Maalim ndio tunafata. Fullstop
 
Huu uchaguzi niliuchukulia poa lakini naona utakuwa ni uchaguzi mojawapo ambao tutawahadisia watoto wetu. Mungu alishaibariki Tanzania.

Membe katisha sana sasa atangaze hadharani.

Twende na Lissu au Magufuli? Ila ladha ya upinzani hatujawahi kuonja ..tukienda na Lissu siyo mbaya
#NIYEYE
 
Sisi sio mang'ombe tunaelewa lengo letu. Akisemacho Tundu Lissu na Maalim ndio tunafata. Fullstop
Hapo ndipo kura zitaenda kupotea sasa.. Dah! Kweli membe jasusi kawajaza watu na wamejaa kweli aisee!!
 
Lakn mkumbuke kuwa kule kwenye tume ACT anatambuliwa ni membe, sasa siku ya uchaguzi watapiga kwenye picha ya nani?

Na tume ilishasema endapo chama vinataka kuungana viwasilishe hoja hyo kabl ya siku 90.

Halafu pia hayo ni maamuzi ya Maalim seif lakn si wanachama wa ACT.

Naona karata hizi zinaanza kujichanganya. Ngoja tusubiri
bado siku zaidi ya 35 kabla ya siku ya siku (D-day).... watajipanga.

hawa jamaa wapo smart sana aisee siyo kama huku kwetu ambako tunawategemea waNEC & mapolisi watubebe!
 
Huu uchaguzi niliuchukulia poa lakini naona utakuwa ni uchaguzi mojawapo ambao tutawahadisia watoto wetu. Mungu alishaibariki Tanzania.

Membe katisha sana sasa atangaze hadharani.

Twende na Lissu au Magufuli? Ila ladha ya upinzani hatujawahi kuonja ..tukienda na Lissu siyo mbaya
#NIYEYE

Rais ni MAGUFULI, wengine vibaraka tupa kule
 
bado siku zaidi ya 35 kabla ya siku ya siku (D-day).... watajipanga.

hawa jamaa wapo smart sana aisee siyo kama huku kwetu ambako tunawategemea waNEC & mapolisi watubebe!
Umenielewa?? Inamaana NEC hawataweza kutoa jina la membe kwenye chama cha ACT kwakuwa siku 90 zmepita. Sasa hapo ndipo kura zitakapochakachuliwa.
 
My early prediction, nilijua uchaguzi huu utakuwa mwepesi kwetu, ila kiukweli, inahitaji extra push tushinde, kuna historia za ajabu duniani zishatokea, mtu kama Lissu usije mdharau kabisa katika huu uchaguzi, don't ever count him out.. Leo nimeona kumbe ACT wanam support secretly, mm kama CCM, we need extra IQ tushinde, huu uchaguzi bado una sintofahamu
Heri yako wewe umeacha ufia Chama pembeni na kuongea reality iliyopo. Kikubwa tuipiganie Nchi yetu tuijenge kwa pamoja bila kujali itikadi. Kiongozi asiefaa akataliwe na wote.
 
Back
Top Bottom