ACT Wazalendo wataka Zanzibar ipewe mamlaka kamili

ACT Wazalendo wataka Zanzibar ipewe mamlaka kamili

Binafsi

Zanzibar ijitegemee kwa kila kitu kuanzia jeshi, wawe nchi huru

Kuja huku waanze kutumia passport

Waliowekeza huku wahesabiwe kama wawekezaji

Wengine warudishwe kwao
Hakika bloangu,hili nalo hao ACT waliweke sawa sio kupuyanga midomo tu
 
Hakuna nchi ya tanzania bara,kuna tanganyika,kuhusu koti la muungano kubana hata tanganyika wameanza kuuchoka huu uhuni wa muungano.
Tanganyika illikufa 1964 , baada ya muungano huu ndio ukweli mchungu, ila Zanzibar imedumu mpaka leo , watu wameitoa sadaka nchi yao kwa ajili ya Zanzibar halafu leo Zanzibar ndio wawe wahitaji wakubwa nakataa, Tanzania bara ndio wahitaji wakubwa wa muungano, koti Zanzibar liliwabana kitambo sana ndio maana Karume alishughulikuwa mapema
 
Kura ya maoni iruhusiwe ili Wananchi wa Zanzibar waamue hatima yao kwasababu waliingizwa kwenye Muungano kwa nguvu na Wanasiasa.
 
Akina Zitto wamegeuka wafanya bidding wa Wazanzibari, Wanaitetea Zanzibar passionately huku wakifumbia macho concerns zetu sisi Watanganyika ndani ya huu muungano wa chako changu, changu changu..

Kwa mtindo huu ACT kitaishia kuwa chama cha Zanzibar ila huku Tanganyika kitapata tabu sana
Kuna wabunge wote wa ACT kule Zanzibar na ndio wanaosababisha chama kipate ruzuku. NO ZANZIBAR NO ACT
 
Mbona EU ni shirikisho ila Kila nchi Ina bendera, jeshi n.k ila sarafu, biashara, sheria za kazi n.k Wana share!!

Ndio wao wanataka hivyo kwamba mambo yasiyo ya muungano basi yaamuliwe na wanachama wenyewe kama tu EU inavyo operate. Why masuala ya elimu na afya sio ya muungano ila Bado yanakua dictated na Tanganyika iliyovaa koti la muungano
Ninauelewa uwezo wako mkuu 'zitto junior', ndiyo maana natoa heshima kila mara.

Sasa umetoa jibu linalokaribiana na wanachokitaka Zanzibar. Lakini hata katika mfano huo uliouweka hapo, huo ni muungano wa aina nyingine, tofauti kabisa na Muungano wa "Jamhuri ya Tanzania." Kwa hiyo maana yake hapa ni kwamba tutaanza kuunda muundo mpya kabisa wa muungano wetu.
Labda nia iwe ni kwa wao Zanzibar kuondoka kwenye muungano huu na kuingia kama taifa katika Jumuia yetu ya Afrika Mashariki, ambayo lengo lake ni kutupeleka huko kwenye mfano wa Ushirika wa Ulaya.

Lakini, hata hiyo EU, si unaona hata akina Britain wanajiondoa kwa kuona kwamba kuna mambo yao ambayo hawakuwa na "Mamlaka kamili" walipokuwa ndani ya umoja huo?

Kwa hiyo, sehemu inapojitafutia "Mamlaka Kamili", maana yake ni kwamba inataka iwe na uwezo wa kujiamlia juu ya jambo lolote, bila ya kutegemea tena mamlaka nyingine ifanye uamzi kwa niaba ya wanachama wake.
 
Ninauelewa uwezo wako mkuu 'zitto junior', ndiyo maana natoa heshima kila mara.

Sasa umetoa jibu linalokaribiana na wanachokitaka Zanzibar. Lakini hata katika mfano huo uliouweka hapo, huo ni muungano wa aina nyingine, tofauti kabisa na Muungano wa "Jamhuri ya Tanzania." Kwa hiyo maana yake hapa ni kwamba tutaanza kuunda muundo mpya kabisa wa muungano wetu.
Labda nia iwe ni kwa wao Zanzibar kuondoka kwenye muungano huu na kuingia kama taifa katika Jumuia yetu ya Afrika Mashariki, ambayo lengo lake ni kutupeleka huko kwenye mfano wa Ushirika wa Ulaya.

Lakini, hata hiyo EU, si unaona hata akina Britain wanajiondoa kwa kuona kwamba kuna mambo yao ambayo hawakuwa na "Mamlaka kamili" walipokuwa ndani ya umoja huo?

Kwa hiyo, sehemu inapojitafutia "Mamlaka Kamili", maana yake ni kwamba inataka iwe na uwezo wa kujiamlia juu ya jambo lolote, bila ya kutegemea tena mamlaka nyingine ifanye uamzi kwa niaba ya wanachama wake.
Mkuu nikishare hapo kwako, wanaodai mamlaka kamili ni kikundi cha watu ambao wanapandikiza chuki.

Labda tunaweza kusema, ukweli huu muungano hauna faida kwa Mtanganyika ambaye ndiye alipaswa kupiga kelele sana kujivua akiwa na sababu lukuki bahati mbaya anayepiga kelele ni yule anayenufaika nao (mzanzibari).

Mpaka sasa Zanzibar ina bendera, jeshi lao (japo huwezi jua kama wana jeshi) Bunge nk vitu ambavyo kimamlaka tayari unaweza kufanya lolote, kinachowabana ni kwenye nguvu ya maamuzi ambayo haitokani na Tanganyika wala mzee Nyerere au Karume, hii ni kutoka kwa malkia mwenyewe.

Kuna watu wanadhani karatasi au zile saini ndizo zinabeba huu muungano ilihali wanasahau malkia anaongea na labda asikohoe ili mamlaka kamili ipatikane.

Hawa wanasiasa kina act wanadanga tu there's nothing, hawawezi na hakuna kitu kama hicho, wanawaona wazanzibari zero so wanatumia slogan ya mamlaka kamili ili kuwachota na baada ya uchaguzi husikii kitu.
 
Mkuu nikishare hapo kwako, wanaodai mamlaka kamili ni kikundi cha watu ambao wanapandikiza chuki.

Labda tunaweza kusema, ukweli huu muungano hauna faida kwa Mtanganyika ambaye ndiye alipaswa kupiga kelele sana kujivua akiwa na sababu lukuki bahati mbaya anayepiga kelele ni yule anayenufaika nao (mzanzibari).

Mpaka sasa Zanzibar ina bendera, jeshi lao (japo huwezi jua kama wana jeshi) Bunge nk vitu ambavyo kimamlaka tayari unaweza kufanya lolote, kinachowabana ni kwenye nguvu ya maamuzi ambayo haitokani na Tanganyika wala mzee Nyerere au Karume, hii ni kutoka kwa malkia mwenyewe.

Kuna watu wanadhani karatasi au zile saini ndizo zinabeba huu muungano ilihali wanasahau malkia anaongea na labda asikohoe ili mamlaka kamili ipatikane.

Hawa wanasiasa kina act wanadanga tu there's nothing, hawawezi na hakuna kitu kama hicho, wanawaona wazanzibari zero so wanatumia slogan ya mamlaka kamili ili kuwachota na baada ya uchaguzi husikii kitu.
Nilisema tangu mwanzo kwenye hii hoja ya mamlaka kamili ACT wanafanya siasa hadaa.
 
Mkuu nikishare hapo kwako, wanaodai mamlaka kamili ni kikundi cha watu ambao wanapandikiza chuki.

Labda tunaweza kusema, ukweli huu muungano hauna faida kwa Mtanganyika ambaye ndiye alipaswa kupiga kelele sana kujivua akiwa na sababu lukuki bahati mbaya anayepiga kelele ni yule anayenufaika nao (mzanzibari).

Mpaka sasa Zanzibar ina bendera, jeshi lao (japo huwezi jua kama wana jeshi) Bunge nk vitu ambavyo kimamlaka tayari unaweza kufanya lolote, kinachowabana ni kwenye nguvu ya maamuzi ambayo haitokani na Tanganyika wala mzee Nyerere au Karume, hii ni kutoka kwa malkia mwenyewe.

Kuna watu wanadhani karatasi au zile saini ndizo zinabeba huu muungano ilihali wanasahau malkia anaongea na labda asikohoe ili mamlaka kamili ipatikane.

Hawa wanasiasa kina act wanadanga tu there's nothing, hawawezi na hakuna kitu kama hicho, wanawaona wazanzibari zero so wanatumia slogan ya mamlaka kamili ili kuwachota na baada ya uchaguzi husikii kitu.

Malkia alishafariki.
 
Mkuu nikishare hapo kwako, wanaodai mamlaka kamili ni kikundi cha watu ambao wanapandikiza chuki.

Labda tunaweza kusema, ukweli huu muungano hauna faida kwa Mtanganyika ambaye ndiye alipaswa kupiga kelele sana kujivua akiwa na sababu lukuki bahati mbaya anayepiga kelele ni yule anayenufaika nao (mzanzibari).

Mpaka sasa Zanzibar ina bendera, jeshi lao (japo huwezi jua kama wana jeshi) Bunge nk vitu ambavyo kimamlaka tayari unaweza kufanya lolote, kinachowabana ni kwenye nguvu ya maamuzi ambayo haitokani na Tanganyika wala mzee Nyerere au Karume, hii ni kutoka kwa malkia mwenyewe.

Kuna watu wanadhani karatasi au zile saini ndizo zinabeba huu muungano ilihali wanasahau malkia anaongea na labda asikohoe ili mamlaka kamili ipatikane.

Hawa wanasiasa kina act wanadanga tu there's nothing, hawawezi na hakuna kitu kama hicho, wanawaona wazanzibari zero so wanatumia slogan ya mamlaka kamili ili kuwachota na baada ya uchaguzi husikii kitu.
Kwa bahati mbaya/nzuri, kelele za hicho kikundi kidogo ndizo zinazotumiwa sasa hivi na Bi Mkubwa na Mwenzake Mwinyi kufanya kana kwamba Zanzibar inaitawala Tanganyika.

Ninakubaliana nawe moja kwa moja, hizo kelele za "Mamlaka Kamili" ni za kakikundi tu, ambako toka siku zote nia yao ni kuuvunja Muungano.
Sasa wanasaidiwa na Samia na Mwinyi kuchochea hisia za waTanganyika wavunje Muungano. Hii ndiyo mbinu iliyopo.

Sina hakika kama mbinu hii itafanikiwa. Samia atafanya juhudi zote kuwakasirisha waTanganyika, kwa sasa ni kama wanampuuza tu! Siku atakapoondoka/ondolewa, kelele zote za "Mamlaka Kamili" zitazimwa, na serikali itakuwa ni moja tu mwisho wa siku.
 
Binafsi

Zanzibar ijitegemee kwa kila kitu kuanzia jeshi, wawe nchi huru

Kuja huku waanze kutumia passport

Waliowekeza huku wahesabiwe kama wawekezaji

Wengine warudishwe kwao
Ndio maana muungano uwezi kuvunjika.ngono watafanyia wapi na uhuru wa kuuza used,pamoja kuliwa kisanvu cha kopo.
 
Binafsi

Zanzibar ijitegemee kwa kila kitu kuanzia jeshi, wawe nchi huru

Kuja huku waanze kutumia passport

Waliowekeza huku wahesabiwe kama wawekezaji

Wengine warudishwe kwao
Vipi na nyinyi watanganyika muliopo Zanzibar murejeshwe kwenu?
 
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Masoud Othman amesema Chama chake cha ACT Wazalendo kinataka Muungano utakaoitambua Zanzibar yenye Mamlaka kamili

Masoud amesema hayo kwenye mkutano wa Chama chake huko Nungwi

Chanzo: ITV habari
Mpaka sasa Zanzibar ni nchi yenye mamlaka kamili,wana Rais,wana Bunge,Wana Mahakama,wana wimbo wa Taifa,wana Bendera ya Taifa la Zanzibar,wana Katiba yao.
 
acha nidhamu ya wogo, huu mwenyendo tunaokwenda nao ndio mbaya tunaweza kuja kuishia kuingiana mauongoni.
Asa long as ACT wanataka mamlaka kamili Muungano utaendelea kuwa hivyo ulivyo whether wanataka au hawataki.

Ila wakiamua kutoka huko kuelekea serikali moja itakuwa rahisi zaidi.
 
Asa long as ACT wanataka mamlaka kamili Muungano utaendelea kuwa hivyo ulivyo whether wanataka au hawataki.

Ila wakiamua kutoka huko kuelekea serikali moja itakuwa rahisi zaidi.

ni rahisi kuvunja muungano kuliko kwenda Serekali Moja, Fahamu hilo.
 
Back
Top Bottom