ACT-Wazalendo yaridhia kushiriki kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar na Vyombo vya Uwakilishi

Ni vizuri ukatumia neno halisi, uchumi wa chini wa kati, lakini wengi wetu hatuoni utofauti wa uhakika, baina ya huu uchumi wa chini wa kati, na wa hapo kabla.
Bado tinarejea palepale,kama kweli wewe umefika na kuishi kenya kama unavyojitanabaisha hapa jukwaani, UCHUMI wao kama tuuonavyo kwenye karatasi ni sawa na maisha ya wananchi?

👉Unaweza kuona kama nataka kutoka nje ya nada Ila ukinijibu,nitakueleka sehemu sahihi ndani ya maada hii.
 
Siyo Pekeako unaenda Kenya, wote tunaijua Kenya ilivyo.

Hako kakundi kadogo ka watu wachache pale Nairobi kasikufanye uone Wakenya wana maisha mazuri sana.

Toka nje ya Nairobi uujionee uchumi halisi wa Mkenya.

Kuna tofauti gani na hapa Tanzania ukitoka nje ya miji mikubwa?
 
Kujiunga na SUK, NDIO ni kukubali uchaguzi na Kumtambua alietangazwa mshindi.
Hii ipo wazi, vipi utafanya kazi na mtu au mamlaka usioitambua na wewe umo humo humo.

Ni kuhalalisha yote yaliyotokea.
Inauma sana baada ya yote yaliotokea ACT mnasema yote ni haki.
Binafsi siwezi kuwaamini tena, kuna tofauti gani kati yenu na kina Hamad Rashid na Lipumba ?
 
Tehe tehe tehe. Maalimu akatae ulaji, aanze tena kupandisha mkaa wa kupikia kwenye ndege za serikali.
 
Siasa ni michongo kama michongo mingine, nashangaa sana watu wanashupaa kwenye biashara hii inayolipa sana
 
ADO SHAIBU: Kamati kuu ilikutana jana jijini Dar es Saalam Tarehe 5 Disemba katika hoteli ya Onomo ambayo iko Posta kwa ajili ya kutafakari hali ya kisiasa inayoendelewa nchini kwetu...
 
Usaliti kwako wewe

Wenzenu walisharidhika, uchaguzi umeisha na wameteuliwa na Wanaenda kuchapa kazi.
Nyie endeleeni kupiga kelele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya nendeni mkacheleweshe maendeleo kama walivyokuwa wanasema wapinzani mnachelewesha maendeleo
 
It will be hard again kuwaamini wapinzani, maamuzi yenu yana cost upinzani ujao..nani atawaamini tena na hio trend mnayoionyesha?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani Mkuu kukubali kitu kidogo tu kuwa hao jamaa wamesaliti azimio walilolitamka na kwa maandishi wao wenyewe ina kuwia ugumu kiasi hiki! Aisee!

Kiapo Mkuu ulichokula ni kizito.
Hakuna walichosaliti
Acha mbwembwe [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…