Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Kama kuna siku umeongea point basi ni Leo yaan umecheza kama pele kumbe muda mwingine unakuwa una uelewa mzuri ila unajichetua tu.Nitajie mpinzani mmoja tu ukimtoa Tundu Lisu ambaye hayuko CCM!
Jibu hakuna mpinzani wa kweli kama Lissu that's why walitaka kumuua.
Hapo sikubishii Mkuu