Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
-
- #101
Mkuu hapo kwenye impression inamaana ni visitors wa direct link yakoMimi pia nimeomba AdSense ila bado niko pending, nikakutana na uzi hapa nikajiunga na Adstera na kisha propellerads ingawa wao wanagomea blogspot.com.
Nikatumia Direct Link nikaona kama nimefaulu,sasa wananiletea takwimu hizo sijaelewa ni nini..?
View attachment 2109551
weka link ya blogu tuitembeleeWadau naomba mnisaidie hapa,nina blog changa na nimeomba AdSense ila bado niko pending, kupitia ushauri wenu hapa nikapata adstera wako poa kidogo.
Ila pia nimepata Propellerads japo wao wana command usitumie .blogspot.com ,ila nikafaulu Direct Link,sasa kuanzia jana naona hizi takwinu ni za nini sizielewi.
View attachment 2109502
View attachment 2109503
Yupo pazuri anakunja zaidi ya 150$ Kwa mwezi ..Sema Adsense views wa Bongo ni kisanga kuna jamaa Anangiza Views Elfu 40000 lakini Anapata Dollar 5 kwa siku
Kwa mtindo huu unapata enough traffic? Mana wanasema the more you narrow down ur niche, the more you stay in ur customers mind. Yaan mtu akihitaji lets say kujifunza kuhusu popunder anajua moja kwa moja nikiingia safari blog ntajifunza. Ila ukiwa na niche nyngnyng kwny blog moja mteja kukumbka n ngumuNdio
kabisaKwa mtindo huu unapata enough traffic? Mana wanasema the more you narrow down ur niche, the more you stay in ur customers mind. Yaan mtu akihitaji lets say kujifunza kuhusu popunder anajua moja kwa moja nikiingia safari blog ntajifunza. Ila ukiwa na niche nyngnyng kwny blog moja mteja kukumbka n ngumu
Adsense level nyingine alafu Kuna zile c4c yaani bloggers wanabadilishana click's wanapiga pesaKhaaaa iyo kwa Adsense pesa ndogo sana unatakiwa Ukunje Dollar kuanzia 250
Hapo kwenye C4C Sijakupata mzeeeAdsense level nyingine alafu Kuna zile c4c yaani bloggers wanabadilishana click's wanapiga pesa
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Click for click (C4C)Hapo kwenye C4C Sijakupata mzeee
Asante sana kwa kunijibu swali langu, link ya blog yangu iko hivyo:Mkuu hapo kwenye impression inamaana ni visitors wa direct link yako
profit ni kiasi ulichovuna au mapato uliopata
CPM rate ni uwiano kwa watembeleaji 1000
Badili mwonekano na ufix issu za brokenlinksNaomba kutembelewa,ni blog changa sana MWANAJAMII TANZANIA
Yaani Iko hivi unatafuta bloggers wenye ads kutoka nchi tofauti na Yako then mnabadilishana Link za blog zenu yeye anatembelea yako then nawe unavisit yake mnatakiwa kuaminiana sana.. unatafuta kwenye magroup huko FB hii ndo njia tulikuwa tunatumia kabla ya Kodi ya mtandaohii itakuwa poa embu tujuzeni
But, it's too risky.Adsense level nyingine alafu Kuna zile c4c yaani bloggers wanabadilishana click's wanapiga pesa
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Badili muonekano wa blog Yako kisha fanyia kazi suala la kuweka Read more ili story zivutie watu kusoma ndani post zako, mengine utajifinza mdogo mdogo ila tafuta template ambazo ni SEo ready au faster theme ili blog Yako ifunguke kirahisiNaomba kutembelewa,ni blog changa sana MWANAJAMII TANZANIA