Punguza jazba,Tanzania ina operate under mixed economy.Kwani ni lazima kuuza? Kama ana mpango wa kuiuza nje ya nchi kwa nini alazimishwe? Mbona Bakhresa anasafirisha unga wa ngano nje ya nchi? Huu ni utawala wa kisheria, enzi za Ujamaa na Kujitegemea zilishazikwa na Azimio la Zanzibar, acheni watu wawe huru kuuza na kununua au kuhifadhi kadri wanavyotaka. Si tumeambiwa kuna shehena inakuja, au nahodha amebadili gia katikati ya bahari?
It's time Magufuli na serikali wangeelewa kuwa sukari ni zao la kisiasa.
Kwa nini wasipelekwe mahakamani kwa kukiuka sheria inayowalazimisha kuuza stock yao?Punguza jazba,Tanzania ina operate under mixed economy.
Nenda kapekue ujue mixed economy ni nin alaf ndio uje kutoka povu hapa
Mtake msitake adui namba moja wa nchi hii ni ccm....hili ni genge la kufichia wahalifu. ..wanalindwa na udola wao na ndiyo maana hawako tayari kuachia Madaraka kwa mwingine ili waendelee kula kidogo kidogoWakati joto la bei ya sukari ikiendelea kuwa juu na wakati kiwanda cha TPC moshi kikiwa kimefungwa km ilivyo utaratibu wake wa kila mwaka kukarabati mitambo yake, inadaiwa tajiri mkubw hapa nchini alifanya kazi ya ziada kukusanya tani za kutosha toka kiwandani hapo na kuzifungia kwenye gowodn zake Moshi.
Hali ya upatikanaji wa sukari imekuwa tata sana na kwa sasa supedealer pekee anayeuza sukari kwa hapa Moshi ni mbunge wa Moshi mjini kupitia Chadema, superdealer wengine akiwepo huyu tajiri aliyesomba tani za kueleweka kazifungia....
Na huyu tajiri ni kada wa ccm na amewahi kuwa mbunge kanda ya kati pale. So mjue tu kuwa Magufuli anahujumiwa kwa speed ya hatari hapa na sisi wananchi tukiona cha moto huku chini....
Si wajua ule usemi kuwa mafahali wakipigana nyasi huumia?
Ndo hayo!
Kazikwetu
Ok braza kwa kua wewe ni mhusika sasa tueleze tatizo ni kwa sababu vibali vimepigwa marufuku, na the time kabla ya marufuku mliokua na vibali mlikua wangapi, halafu ni kweli kwamba mlikua mnaleta sukari iliyo expire na a u sure haujaficha sukari, nikiwa na maana kwamba nyie wafanya biashara ya sukari ndio mnaotegemewa ku supply hiyo bidhaa,mwisho kama majibu yako yatakua tofauti na aliyosema ngosha sema hapa tujue kama ngosha nae anatuvuruga
Na huu mwezi mtukufu, hiyo sukari iwaishwe asije akaeleweka vibayaFaizaFoxy una Akili nyingi Sana we mwanamke [emoji8][emoji8][emoji8]
Kwan umeambiwa wakidhachukuliwa.sukar ndio kes imeisha?Kwa nini wasipelekwe mahakamani kwa kukiuka sheria inayowalazimisha kuuza stock yao?
Hapa mimi nazungumzia kabla ya kuchukuliwa sukari yao, kwa nini wasipelekwe mahakamani ili mahakama ikatoe tafsiri iwapo kuna sheria inayomkataza mtu kuhifadhi sukari kwa kiwango anachohitaji, au kuitumia kadiri anavyotaka?Kwan umeambiwa wakidhachukuliwa.sukar ndio kes imeisha?
Wakati joto la bei ya sukari ikiendelea kuwa juu na wakati kiwanda cha TPC moshi kikiwa kimefungwa km ilivyo utaratibu wake wa kila mwaka kukarabati mitambo yake, inadaiwa tajiri mkubw hapa nchini alifanya kazi ya ziada kukusanya tani za kutosha toka kiwandani hapo na kuzifungia kwenye gowodn zake Moshi.
Hali ya upatikanaji wa sukari imekuwa tata sana na kwa sasa supedealer pekee anayeuza sukari kwa hapa Moshi ni mbunge wa Moshi mjini kupitia Chadema, superdealer wengine akiwepo huyu tajiri aliyesomba tani za kueleweka kazifungia....
Na huyu tajiri ni kada wa ccm na amewahi kuwa mbunge kanda ya kati pale. So mjue tu kuwa Magufuli anahujumiwa kwa speed ya hatari hapa na sisi wananchi tukiona cha moto huku chini....
Si wajua ule usemi kuwa mafahali wakipigana nyasi huumia?
Ndo hayo!
Kazikwetu
Habari yenyewe ni tetesi halafu unamalizia kwa kusema kuwa kunauhujumu?Wakati joto la bei ya sukari ikiendelea kuwa juu na wakati kiwanda cha TPC moshi kikiwa kimefungwa km ilivyo utaratibu wake wa kila mwaka kukarabati mitambo yake, inadaiwa tajiri mkubw hapa nchini alifanya kazi ya ziada kukusanya tani za kutosha toka kiwandani hapo na kuzifungia kwenye gowodn zake Moshi.
Hali ya upatikanaji wa sukari imekuwa tata sana na kwa sasa supedealer pekee anayeuza sukari kwa hapa Moshi ni mbunge wa Moshi mjini kupitia Chadema, superdealer wengine akiwepo huyu tajiri aliyesomba tani za kueleweka kazifungia....
Na huyu tajiri ni kada wa ccm na amewahi kuwa mbunge kanda ya kati pale. So mjue tu kuwa Magufuli anahujumiwa kwa speed ya hatari hapa na sisi wananchi tukiona cha moto huku chini....
Si wajua ule usemi kuwa mafahali wakipigana nyasi huumia?
Ndo hayo!
Kazikwetu
naona serikali inavuka mipaka yake inataka ilazimishe wafanyabiashara wawe kama public welfare associaations. hivi kuhifadhi bidhaa ni kuficha? mbona serikali yenyewe ilificha mahindi kwenye maghala ya vyakula wakati watu walikuwa wanakula viwavi kule mpwapwa?Hajaficha: kahifadhi! Muwe na heshima kwa wenzenu! Hiyo ni mali yake! Ubwege CCM mtaacha lini?! Ubwege wenu ndiyo umesababisha sukari kukosekana.!
Wale wafanyabiashara wanaorudisha faida kwenye jamii humaanisha nini. In a civilised society, wafanyabiashara kama watu wengine wana social responsibility. That includes not hoarding commodities to create artificial shortages!Kauze yako! Mbona una akili primitive namna hiyo?! Kwenye biashara hakuna neno jamii: kuna bidhaa, wateja, na soko na ukipenda sema kuna bidhaa na soko tu! Badilika! Chukua hii misemo ikusaidie: 1. "simple minds discuss people" .2. "Ordinary minds discuss events" .3. "Great minds discuss ideas" .4. "Great minds turn problems into opportunities".
Halafu kipindi hiki anafanya stock taking, ni takwa la kibiashara hasa kwa wale wataalam.Hajaficha: kahifadhi! Muwe na heshima kwa wenzenu! Hiyo ni mali yake! Ubwege CCM mtaacha lini?! Ubwege wenu ndiyo umesababisha sukari kukosekana.!
Mtaji Wangu nimeamua kuweka sukari nimenunua kwa vibali vyote.dahHaki za huyu mwananchi zizingatiwe katika kuutafuta ukweli, tusije tukamgeuza Mbuzi wa Kafara wakati yeye keshatumia pesa nyingi sana kuumiliki huo mzigo!
kama umenunua kwa vibali vyote nadhani sasa kwa mahitaji ya soko. wakati umefika uanze kuuza sio kuendelea kujifadhi ikiwa sukari sasa inahitajika.Mtaji Wangu nimeamua kuweka sukari nimenunua kwa vibali vyote.dah