Adaiwa kumuua mtoto wake na kumzika

narudia tena kusema wewe ni bonge taahira ubongo wako umejaa makamasi ya punda
Mkuu huyu kama ni mwanamke aisee hafai hata ukipewa bure.. Kama mwanaume bhasi nasikitika sana kuona mwanaume mwenzangu anakuwa bogus kiasi hichi
 
Sasa kumbe unajua kuwa hakuna haja ya kukileta kiumbe ambacho huna uwezo wa kukilea.

Hivi inawezekana mwanamke anatembea barabarani akajikwaa tu kisha akapata mimba? Kama kuna mimba za hivyo basi mtoto atakaye zaliwa hapo hata akiuliwa hakuna shida.

Hebu shughulisha ubongo wako halafu utaona kosa limeanzia wapi.
 
Mkuu huyu kama ni mwanamke aisee hafai hata ukipewa bure.. Kama mwanaume bhasi nasikitika sana kuona mwanaume mwenzangu anakuwa bogus kiasi hichi
Ndomana Mie nimelisisitizia ni litaahira, kuna watu walianza ni matajiri lkn katikati ya safari wakaishiwa na kushindisha watoto wao kwa uji wa bila sukari na wakasimama tena kwa kudra za Mungu, lkn kwa akili za huyu taahira angewauwa watoto
 
Dah!huyo mama asee [emoji22]. Why lakini!? Mtoto wa siku mbili unamuua na kumzika!?[emoji29]... wanaume tukumbuke wajibu wetu asee... tuacheni undavaundava...
Utakuta huyo mwanamke alikuwa Kicheche hana bwana mmoja sasa nani atakubali kulea damu ambayo siyo yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…