Adaiwa kumuua mtoto wake na kumzika

Adaiwa kumuua mtoto wake na kumzika

narudia tena kusema wewe ni bonge taahira ubongo wako umejaa makamasi ya punda
Mkuu huyu kama ni mwanamke aisee hafai hata ukipewa bure.. Kama mwanaume bhasi nasikitika sana kuona mwanaume mwenzangu anakuwa bogus kiasi hichi
 
Kuna haja gani ya kuleta kiumbe ambacho hata sina uwezo Wa kukilea katka maisha bora Hii hats mungu hapendi bora ubaki hii tu ww bila watoto kutesa watoto ,kama huyo mama ameamua kumuua mtoto sababu ya maisha mgumu basi yupo sahihi mtoto mwenye kichanga cha siku NNE,kwa mawazo yangu yupo sahihi
Sasa kumbe unajua kuwa hakuna haja ya kukileta kiumbe ambacho huna uwezo wa kukilea.

Hivi inawezekana mwanamke anatembea barabarani akajikwaa tu kisha akapata mimba? Kama kuna mimba za hivyo basi mtoto atakaye zaliwa hapo hata akiuliwa hakuna shida.

Hebu shughulisha ubongo wako halafu utaona kosa limeanzia wapi.
 
Mkuu huyu kama ni mwanamke aisee hafai hata ukipewa bure.. Kama mwanaume bhasi nasikitika sana kuona mwanaume mwenzangu anakuwa bogus kiasi hichi
Ndomana Mie nimelisisitizia ni litaahira, kuna watu walianza ni matajiri lkn katikati ya safari wakaishiwa na kushindisha watoto wao kwa uji wa bila sukari na wakasimama tena kwa kudra za Mungu, lkn kwa akili za huyu taahira angewauwa watoto
 
Dah!huyo mama asee [emoji22]. Why lakini!? Mtoto wa siku mbili unamuua na kumzika!?[emoji29]... wanaume tukumbuke wajibu wetu asee... tuacheni undavaundava...
Utakuta huyo mwanamke alikuwa Kicheche hana bwana mmoja sasa nani atakubali kulea damu ambayo siyo yake?
 
Back
Top Bottom