Ndoa zina mambo jamani! Mkifikia hadi hatua ya kutukanana matusi ya kuwahusu ndugu sijui mamaako this, mamaako vile, duh uwezo tu wa Mungu unahitajikaYaani, huyo unamwacha abaki na mdomo wake mchafu
Eti, kwani anaweza kukulazimisha π
Daah..! Nimemhurumia sana, Mimi binafsi nimefundishwa inatakiwa mama amalize miezi mitatu baada ya uzazi ndio nishiriki nae. Kabla ya hapo nahama nyumba kwanza miezi mitatu mpaka minne ndio namsogelea karibu. Wanaume tuwe na huruma, nye...ge haziishi siku mojaMzazi bado hata hajapona daah mijitu mingine bana.
Ndoa zina mambo jamani! Mkifikia hadi hatua ya kutukanana matusi ya kuwahusu ndugu sjui mamaako this, mamaako vile, duh uwezo tu wa Mungu unahitajika
Udhaifu na kuendekeza nafsi tu...wanawake msipo jitambua misiba kwenyu haitoisha, mwanaume akishakua na hamu ya kufanya tendo la ndoa, hubadilika akili na huwa sawa na beberu la mbuzi na hupagawa na kuwa kama mnyama unapomnyima unyumba, akili yake humjia, akishafanya tendo lenyewe. Sasa wewe mwanamke, unatarajia ukimnyima unyumba si kukudhuru tu?
Ndipo umegundua leo. Kila siku nasema Mchepuko ni shokabusoba ya ndoaMwanaume kuchepuka wakati mwingine tunakuwa tunawajali sana wake zetu, wanawake muelewe.
Kama akizaa kwa kufanyiwa upasuaji mwezi na nusu anakuwa yuko kwenye 'heat' akizaa kawaida inatakiwa unamsubiri mpaka yeye akuambie kuwa anataka joto lako.Daah..! Nimemhurumia sana, Mimi binafsi nimefundishwa ni miezi baada ya uzazi ndio nashiriki nae. Kabla ya hapo nahama nyumba kwanza miezi mitatu mpaka minne ndio namsogelea karibu
Uchaggani kawaida hiyoWanaume wengi wao ni wasikivu, mke akimwambia nipo kwenye siku zangu huwa wanaridhika, lakini yakija majibu ya sikupi! nenda kamfanye mamaako! Wewe mwanaume gani nikupe "nini" yangu, ndio hapo balaa linapoanzia, subra kuisha na hasira za kudhuru zinakuja.
Wachaga tenaa π³Fausta Silayo (22), Mkazi wa Kijiji cha Samanga wilayani Rombo ameuawa kwa kuchomwa kisu na mume wake kwa madai ya kumnyima unyumba.
Mwanamke huyo ambaye bado alikuwa uzazi wa mwezi mmoja alichomwa kisu Julai 23 na kupelekea kifo chake Julai 24 wakati alipokuwa amewahishwa Hospitali ya Huruma kwa ajili ya matibabu...