Adaiwa kuua mke baada ya kunyimwa unyumba

Adaiwa kuua mke baada ya kunyimwa unyumba

Wanawake msipo jitambua misiba kwenyu haitoisha, mwanaume akishakua na hamu ya kufanya tendo la ndoa, hubadilika akili na huwa sawa na beberu la mbuzi na hupagawa na kuwa kama mnyama unapomnyima unyumba, akili yake humjia, akishafanya tendo lenyewe.

Sasa wewe mwanamke, unatarajia ukimnyima unyumba si kukudhuru tu?
Huna haya!
Mzazi wa mwezi?
 
Wanawake msipo jitambua misiba kwenyu haitoisha, mwanaume akishakua na hamu ya kufanya tendo la ndoa, hubadilika akili na huwa sawa na beberu la mbuzi na hupagawa na kuwa kama mnyama unapomnyima unyumba, akili yake humjia, akishafanya tendo lenyewe.

Sasa wewe mwanamke, unatarajia ukimnyima unyumba si kukudhuru tu?

Ulipewa utashi ujitofautishe na mnyama
 
Wanaume wengi wao ni wasikivu, mke akimwambia nipo kwenye siku zangu huwa wanaridhika, lakini yakija majibu ya sikupi! nenda kamfanye mamaako! Wewe mwanaume gani nikupe "nini" yangu, ndio hapo balaa linapoanzia, subra kuisha na hasira za kudhuru zinakuja.

Unatetea upuuzi
Kwa akili zako unaanzaje kulazimisha unyumba na mzazi ?
 
Wanawake msipo jitambua misiba kwenyu haitoisha, mwanaume akishakua na hamu ya kufanya tendo la ndoa, hubadilika akili na huwa sawa na beberu la mbuzi na hupagawa na kuwa kama mnyama unapomnyima unyumba, akili yake humjia, akishafanya tendo lenyewe.

Sasa wewe mwanamke, unatarajia ukimnyima unyumba si kukudhuru tu?
Acheni kujiendekeza huyo Mama katoka kujifungua ana mwezi it obvious she was still bleeding na mshono wa kuongezewa njia ilikuwa haujapona, jifunzeni kuwa na huruma bana
 
HUYUFALA ATADAKWA TU YANI AMEKOSA KINA LINGA PALE MAMBA KIBAO AMA IKUNDA PALE MARANGU WA KUTOSHAA FANAKURU MANYOYA HUYU

NANYIE MSICHEZEE NA MAHARI ZETU NDOA NYINGI ZIPO ICU ...
 
Wanawake msipo jitambua misiba kwenyu haitoisha, mwanaume akishakua na hamu ya kufanya tendo la ndoa, hubadilika akili na huwa sawa na beberu la mbuzi na hupagawa na kuwa kama mnyama unapomnyima unyumba, akili yake humjia, akishafanya tendo lenyewe.

Sasa wewe mwanamke, unatarajia ukimnyima unyumba si kukudhuru tu?
Acha kushabikia upuuzi na wewe. Dada ndiyo katoka kujifungua?!!!
 
Wanaume wengi wao ni wasikivu, mke akimwambia nipo kwenye siku zangu huwa wanaridhika, lakini yakija majibu ya sikupi! nenda kamfanye mamaako! Wewe mwanaume gani nikupe "nini" yangu, ndio hapo balaa linapoanzia, subra kuisha na hasira za kudhuru zinakuja.
Huenda wewe ndio muuaji. Mkeo akujibu nenda kamfanye mamaako?
 
Fausta Silayo (22), Mkazi wa Kijiji cha Samanga wilayani Rombo ameuawa kwa kuchomwa kisu na mume wake kwa madai ya kumnyima unyumba.

Mwanamke huyo ambaye bado alikuwa uzazi wa mwezi mmoja alichomwa kisu Julai 23 na kupelekea kifo chake Julai 24 wakati alipokuwa amewahishwa Hospitali ya Huruma kwa ajili ya matibabu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa kifo cha mwanamke huyo ambao amesema baada ya mwanaume huyo kufanya tukio hilo alikimbilia nchi jirani.

"Jeshi la polisi linaendelea na jitihada za kumtafuta mtuhumiwa wa tukio hilo ambaye inasemekana amekimbilia nchi jirani ili kumkamata na kumchukulia hatua za kisheria,"amesema Kamanda Maigwa.

Kamanda Maigwa amesema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Huruma ya Mkuu kwa maandalizi ya mazishi baada ya taratibu za uchunguzi kukamilika.
Huu msimu uko kushoto kabisa
  1. Mbezi
  2. Sinza
  3. Rombo
MAtukio ya namna hii yalitokea msimu fulani siku za nyuma
  1. Ufo Saro
  2. Mama mmoja Bungoni
 
Wanawake msipo jitambua misiba kwenyu haitoisha, mwanaume akishakua na hamu ya kufanya tendo la ndoa, hubadilika akili na huwa sawa na beberu la mbuzi na hupagawa na kuwa kama mnyama unapomnyima unyumba, akili yake humjia, akishafanya tendo lenyewe.

Sasa wewe mwanamke, unatarajia ukimnyima unyumba si kukudhuru tu?
Mtu ametoka kujifungua unataka unyumba wa kutoka wapi?
 
Angekuwa na mchepuko unapigaa nje,ukirudi usiku unamwambia pole sana mke wangu nina genye lakini ntakuvumilia tu naelewa hali yako na kiss la goodnight juu.
Hii ndo uzuri na haja ya kuwa na mpango wa kando ,kwani kunawanawake wakishika mimba hisia hupotea kabsaa

Wanaume tafuteni Michepuko ili myakwepe hayaa
 
Labda walikua wanafanyana sana kipindi cha hapo kabla ya kujifungua ndio maana jamaa kaathirika sana kukosa papuchi kwa muda mchache hawezi mpaka atumie silaha nk lakini watu wana maajabu.
 
Back
Top Bottom