Adam Mchomvu ampiga msanii Q Chief

Chillah ameplay smart. Maana angepambana (kama uwezo anao) angepewa kesi kubwa sana ya kiharibu mali hapo Mawingu na ingemgharimu na pesa hana, kwa namna Clouds palivyo hapo hasa studio ugomvi mdogo tuu unaweza ukaleta hasara ya mamilioni. Huyu jamaa wa bange dawa yake akutane na Chivundu na pawe peupe kusiwe na uharibifu wa mali.
 
alitaka kumtoboa masho km scorpion
 
huyo demu wa adam ni anajiuza sea cliff na anajua hilo wahuni wakimcharazia yeye mambo yake anajaa upepo.
 
Huyu jamaa ni mshamba tu kama ingekua watu wote wana react kama yeye basi angekuwa kashapigwa sana kwa sababu yeye ndo anaongoza kwa kutania wenzake tena ana matani yale ya kweli,

Na nyinyi mnaomtetea wote washamba wa mikoani hamjielewi mnawaza upumbavu wa kupigana pigana bladf***n
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…