Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Bado kidogo aziangukie!Hivi hajaenda kuangukia spika kweli maana
Hahahah eti Adam unazingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kidogo aziangukie!Hivi hajaenda kuangukia spika kweli maana
Niaangalia kwa makini, hakika Adam Mchomvu kwa ulichofanya kama host duniabnzima inakushangaa host wa Kipindi kikubwa na radio bora kufanya mambo ya kitoto umedhihirisha ulimwengu kweli unatumia hicho kileo
Omba msamaha fasta mambo yaishe kwa mbasha ule ni utani tu kakukumbatia ukamla shoka dah
Kweli aisee hata wakifyekana mapanga huko sisi hatuna habari tunaendelea kuchanja mbuga.Kama ni wale wapambe wa CCM sio mbaya hata wakiuana.
Noma sana[emoji28][emoji28]Mbasha anainuka anajikausha nakusema “oyoo..oyoo...adam umezingua”[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wakatili sana aiseeIla watu mna roho jamani...kuchek Chanel ten?dah hongereni
Tena alitakiwa apigwe mitama zaidi akili ikae sawaNiaangalia kwa makini, hakika Adam Mchomvu kwa ulichofanya kama host duniabnzima inakushangaa host wa Kipindi kikubwa na radio bora kufanya mambo ya kitoto umedhihirisha ulimwengu kweli unatumia hicho kileo
Omba msamaha fasta mambo yaishe kwa mbasha ule ni utani tu kakukumbatia ukamla shoka dah
Umeuliza swali zuri kijana.Mapepo yale yalipotoka kwa mbasha baada ya kula ngwala ile yenye kishindo mithili ya kishindo cha awamu ya 5 mapepo yale yalikimbilia magogoni sijajua kule magogoni yalimpata nani kama mwenyeji wa kufanya Makazi yao mapya nina mashaka sana juu ya uelekeo wa mapepo yale🤣🤣🤣🤣 evil spirits zilifanya aje?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣