Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

CCM Polepole/Kakuru mna jambo kubwa la kujifunza hapa.
Kutumia wasanii wahuni wahuni katika matasha kama haya liwe funxo kubwa.
Wahuni wa mitaani ambao hawana itikadi yoyote mioyoni mwao ni rahisi kuvuruga kabisa matarajio ya kisiasa.
Huyo Adam ni mamluki asiyefaa katika jamii na achukuliwe hatua pamoja na waliomleta.
Ni aibu, aibu, AIBU
Hakuna mtu Mwenye akili na aka Support CCM
 
Hicho chama ni cha vurugu kinaeleweka kabisa.
Habari ambazo hazija dhibitishwa zinasema mwenyekigoda alikuwa anatazama kwenye TV tamasha zima na ndio maana alipiga simu.
Lakini Mchomvu alipo mweka chini Mbasha mwenyekigoda alisikika akisema "safi sana, kata mtama hiyo!"
Nachunguza ukweli wa hili tokea vyanzo vya ndani zaidi hasa toka kwa Jeska kujua nini sababu ashabikie mtama mzee wetu?
 
Wakuu,

Jana tumeona Mtangazaji Adam Mchomvu akimpiga buti Bwana Emmanuel Mbasha Jukwaani, kama vile haitoshi, Adam akamfuata Backstage na kutaka kuendelea kumpa kichapo.

Hii ni Baada ya Mbasha kumusema "Adam unajua wewe Banghe" sana Jukwaani.
Kitendo kile cha aibu na kihuni kimetokea kwenye tukio lilirotabiwana Chama cha Mapinduzi CCM

Sio Ustaarabu na wala sio Maadili ya ki Tanzania Mtu kumuita mwenzake Banghe Kwenye kadamnasi, yaani unamuita Mwenzako anatumia mihadarati, tunajua Banghe ni haramu kwa Sheria zetu,na iko kwenye category ya Madawa ya Kulevya.

Pia Kitendo cha Adam kumchapa Mbasha pia ni cha kihuni na ni jinai,japokuwa ni dhahiri alikuwa provoked na Mbasha.

Kama Wananchi wenyeMapenzi Mema na Taifa letu, Tunamtaka Msajili wa vyama vya Siasa kukiandikia Chama cha Mpinduzi Barua kuonesha na kukuchukulia hatua kali za Kinidhamu kwa tukio la Jana.

Tunajua ingekuwa ni CHADEMA tayari Msajili angeshatia neno
Mafala fala wote kama Mbasha , mitama ni haki yao
 
Mtoa mada ndio unao uhuru wa kuwasilisha mawazo yako lakini kwa mawazo kama hayo uwe unajitafakari kwanza kabla ya kuyatoa
 
Kavumilia nini mume mwenye utani na mcheshi? Na anayepigwa na kudhalilishwa hadharani lakini harudishi wala halipi kisasi? Kweli mke wa Mbasha alipata mume mvumilivu!
Mbona wote wanaitana mbasha nani Original apo sasa?
 
Alishindwa Gadaffi, Saddam, bashiru,Yahya Jameih,mobutu,Mugabe ndo nyie mtaweza?
Raia wa hayo mataifa sio legelege kama raia wa nchi yako.
Pia level yao ya uelewa ni kubwa kuliko ya watanzania wenzako hapo Tanzania
 
Huyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.

Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?

Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Yule Ana damu ya kizalendo Lile tamasha Ni la kipuuzi
 
Nakukubalia kabisaaa, mchomvu hata ukimsikiliza kwenye radio huwa anaongea matusi, Mimi mwenyewe niliwahi mkataza mume Wangu asisikilize kipindi chao kile na nikamwambia kuwa hao vijana hawajitambui wanavuta bangi hao maaana kile kipindi wanaongea tu matusi na huyo mchomvu ndio anaeongoza kuongea matusi, na hiyo inaonyesha kuwa ni mvuta bangi, na Kama sio mvuta bangi hangewexa kufanya kitendo Kama kile mbele Ya kamera, Wakati anajua fika kuwa TV hutazamwa na mamilioni Ya watu, Kakosea Sana mno Na kaharibu Kazi Ya watu, hivi hajui kuwa tamasha lilikuwa linaangaliwa na rais? A. K. A. Yesu? Hana akiri hata kidogo Yule mchomvu
Yesu?

sawa tumeelewa Una mme
 
Wewe Mkuu utakuwa mbumbumbu kweli, hilo sio Jambo Dogo Kama unavyofikiria, yani uandae harus Halafu ualike watu waende pale mbele waanze kupigana Halafu useme ni Jambo ndogo? Utakuwa huna akiri Kabisa, hilo ni Jambo kubwa mno mno kuliko unavyofikiria na litawaweka clouds katika Wakati mgumu Sana kuliko nyakati yoyote ile, wafanya Kazi wa clouds Kwa sasa wakikosea tu wanalabwa fain, mchovu hatakuwa na kibarua tena, kitaota nyasi na akifukuzwa kule serikali itawapiga bana vyombo vyote wasimchukue na atabaki uraiani tu, na baada Ya hapo atahangaika kumtafuta mbasha ili bivu liendelee. Lakini pia Faham kuwa kitakachozungumziwa Kwa sasa ni huo ugomvi sio tamasha tena kitu ambacho haikuwa dhamira Ya polepole, vile vile wasaniii watasononeka na kilichotokea badala Ya kufurahi wataumia kuwa mjumbe Wao kakata waya na hawataaminika na Ccm sasa wataenda Kwa kunyanyasika, pia Faham kuwa tamasha Nia yake ilikuwa kukomesha upinzani ili polepole atambe matokeo yake imekuwa kinyume chake sasa wewe baki ikisema kuwa ni Jambo la kawaida
Crap..
 
Wakuu,

Jana tumeona Mtangazaji Adam Mchomvu akimpiga buti Bwana Emmanuel Mbasha Jukwaani, kama vile haitoshi, Adam akamfuata Backstage na kutaka kuendelea kumpa kichapo.

Hii ni Baada ya Mbasha kumusema "Adam unajua wewe Banghe" sana Jukwaani.
Kitendo kile cha aibu na kihuni kimetokea kwenye tukio lilirotabiwana Chama cha Mapinduzi CCM

Sio Ustaarabu na wala sio Maadili ya ki Tanzania Mtu kumuita mwenzake Banghe Kwenye kadamnasi, yaani unamuita Mwenzako anatumia mihadarati, tunajua Banghe ni haramu kwa Sheria zetu,na iko kwenye category ya Madawa ya Kulevya.

Pia Kitendo cha Adam kumchapa Mbasha pia ni cha kihuni na ni jinai,japokuwa ni dhahiri alikuwa provoked na Mbasha.

Kama Wananchi wenyeMapenzi Mema na Taifa letu, Tunamtaka Msajili wa vyama vya Siasa kukiandikia Chama cha Mpinduzi Barua kuonesha na kukuchukulia hatua kali za Kinidhamu kwa tukio la Jana.

Tunajua ingekuwa ni CHADEMA tayari Msajili angeshatia neno
Unajua haya yote yanayotokea kwenye shughuli za CCM hayatokei kwa bahati mbaya, hapana.Ni mpango wa Mungu.
Mungu Mkuu Ana makusudi maalumu,CCM wanamkufuru Sana ,hivyo anawafarakanisha,na ninaongea bila Shaka Mungu Sasa yupo na Chadema.
Yaani kila njama mbaya ikipangwa dhidi ya Chadema Mungu anaihamishia CCM.
Unaukumbuka kauli za Inelijensia imeonesha mikusanyiko ya chadaema kutatokea uvunjufu wa amani hivyo msikusanyike Airport kumpokea Lissu.
Watu walikusanyika na hakukua na vurugu zozote Tena bila ya Ulinzi wa mapolisi.
 
Hicho chama ni cha vurugu kinaeleweka kabisa.
Habari ambazo hazija dhibitishwa zinasema mwenyekigoda alikuwa anatazama kwenye TV tamasha zima na ndio maana alipiga simu.
Lakini Mchomvu alipo mweka chini Mbasha mwenyekigoda alisikika akisema "safi sana, kata mtama hiyo!"
Nachunguza ukweli wa hili tokea vyanzo vya ndani zaidi hasa toka kwa Jeska kujua nini sababu ashabikie mtama mzee wetu?
Mkuu
Naomba namba ya Jeska
 
[emoji23][emoji23]ule mtama alochotwa ilikua zaidi ya tanganyika jerk
I see...!!!
giphy.gif
 
Tuiangalie kwa namna nyingine.

Ingekuwa Chadema kwa ile nyomi tayari wangetangaza wameshashinda uchaguzi.

Na kelele humu zingekuwa nyingi saana.
 
Back
Top Bottom