G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Hiki ndicho kinachotuuma wanaccm. Kwamba aliyepiga hajavaa hata nembo ya CCM na aliyepigwa katupia full CCM.
Mbaya zaidi aliyepiga alikiri hadharani kuwa hakumpigia Rais Magufuli kura mwaka 2015. Inauma sana jamani. Yani tukifungua kila "engo" tunakutana tu na topics za mitama!
Yani tumelipa Tshs milioni 800! Mapato yote yaliyokusanywa kutoka kwa watia nia tumeenda kutupa pale taifa kisha jamaa anachukua points tatu na magoli yote 200! Hapana!
VUTA-NKUVUTE ameanza kutuonya sasa matokeo twayaona.
Any way: CCM hatuhitaji mdahalo kwenye bwalo lisilo na kileo wala mlo. Huo ni Utamaduni wa ndani toka tukiwa jandoni!
Mbaya zaidi aliyepiga alikiri hadharani kuwa hakumpigia Rais Magufuli kura mwaka 2015. Inauma sana jamani. Yani tukifungua kila "engo" tunakutana tu na topics za mitama!
Yani tumelipa Tshs milioni 800! Mapato yote yaliyokusanywa kutoka kwa watia nia tumeenda kutupa pale taifa kisha jamaa anachukua points tatu na magoli yote 200! Hapana!
VUTA-NKUVUTE ameanza kutuonya sasa matokeo twayaona.
Any way: CCM hatuhitaji mdahalo kwenye bwalo lisilo na kileo wala mlo. Huo ni Utamaduni wa ndani toka tukiwa jandoni!