😂 😂 😂 😂Dah nimecheka sana mbasha kaondoka kama hamna kilicho tokea.
Mbona huo ni msemo wa kawaida tu anapaniki bureMchomvu ana wazazi na watu wanaoheshimiana ambao hawaamini kama anavita bangi sasa kumwambia ivyo ni jau hata mimi nakukata.
Hiyo hapo S1072/0102Mkuu
Naomba namba ya Jeska
ccm ni laana hakuna jambo wakafanya na wakamaliza vizuriWakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.
Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.
Huyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Funguka mkuuMtoa mada ndio unao uhuru wa kuwasilisha mawazo yako lakini kwa mawazo kama hayo uwe unajitafakari kwanza kabla ya kuyatoa
Maigizo tu hayo...Wote walevi tu mbasha kamuita mwenzake bangi sana na adamu aka maindi na kumpiga bonge la mtama au gwala mpaka mbasha akadondoka.
hahhahahahah you killed herNenda na wewe ukagegedwe upewe kazi..Lazima uwe na talent,then mengine ndo yanafuata
Wewe na hip hop zako uko CCM?Usisahau pia aliyepiga aliomba msamaha na kusema angekuwa na uwezo angewashawishi wananchi kumchangia Magufuli pesa za vacation.
Akajikalie huko yeye ampigie kampeni tu akija endelee na kazi yake.
Kampeni yenyewe ndiyo ile ya jana?Usisahau pia aliyepiga aliomba msamaha na kusema angekuwa na uwezo angewashawishi wananchi kumchangia Magufuli pesa za vacation.
Akajikalie huko yeye ampigie kampeni tu akija endelee na kazi yake.
Watakuwa wanabodi lao hao tangu kitambo tu
Hayo ni maneno tu, ila mtu kulambwa buyu hadharani na mikofia yake ya kijani ni udharilishaji uliotukuka..Usisahau pia aliyepiga aliomba msamaha na kusema angekuwa na uwezo angewashawishi wananchi kumchangia Magufuli pesa za vacation.
Akajikalie huko yeye ampigie kampeni tu akija endelee na kazi yake.
Mbona mwenyekiti wetu wa chama cha kijani alibariki kipigo cha Mbasha kwa moyo wote.Hiki ndicho kinachotuuma wanaccm. Kwamba aliyepiga hajavaa hata nembo ya CCM na aliyepigwa katupia full CCM.
Mbaya zaidi aliyepiga alikiri hadharani kuwa hakumpigia Rais Magufuli kura mwaka 2015. Inauma sana jamani. Yani tukifungua kila "engo" tunakutana tu na topics za mitama!
Yani tumelipa Tshs milioni 800! Mapato yote yaliyokusanywa kutoka kwa watia nia tumeenda kutupa pale taifa kisha jamaa anachukua points tatu na magoli yote 200! Hapana!
Hili naloo nyomi ya wasanii Mia mbili. Yani upeleke wasanii 200 uwanjani halafu ujisifie na ile nyomi! Aisee wengi mnastahili mitamaTuiangalie kwa namna nyingine.
Ingekuwa Chadema kwa ile nyomi tayari wangetangaza wameshashinda uchaguzi.
Na kelele humu zingekuwa nyingi saana.
Mimi wala sina shida na kujaza. Maana kwa Tanzania tuna watu takribani milioni 60.Kuna muda munajitoa ufahamu,watu munaakili lakini mukiwazia ccm munakuwa vilaza sana.Hivi Chadema inajaza nyomi kutokana na wacheza sebene?
Jana vitoto vyote vya wilaya ya Temeke na viunga vyake vilikusanyana kuona wasanii na wakata mauno wa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo mkuu mwaka huu Raisi nampigia kura Magufuli...nimefurahishwa na uchapakazi wake.Wewe na hip hop zako uko CCM?