Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Umelimwa Uhuru.
20200816_002418.jpg
 
Hii wiki Tamu sana
[emoji117]Barca kachezea 8
[emoji117]Huku Lissu anatema Sumu
[emoji117]Mkutano wa Lissu umepigwa mawe
[emoji117]Morrison kashinda dhidi ya mkataba wa kitapeli
[emoji117]Man city kachezea za chembe na kitoto
[emoji117]Adam mchomvu kamlamba ngwala E Mbasha jukwaani
[emoji117]Temba kawatolea uvivu policcm jukwaani.

Tuendelee kunawa mikono kwa sabuni.

[emoji12][emoji12]hapo kwa Barcelona “kupakata “ 8 [emoji41][emoji41][emoji41]
 
ADAM MCHOMVU asipoomba radhi kwa hilitukio yatamkuta ya Diva ,maana amehatibu shuguli ya watu.Pia hii inatupa picha ni kwanini jamaa hajakabidhiwa kipindi cha XXL.
 
Kama kawaida yenu !, Mmeamua kuchukua hako katukio kama habari kwenu !! Acheni kuweweseka !. Unafikili CCM kama vyama vyenu uchwara hivyo!.
Unaona dogo hilo? Kama mbele ya mwenyekiti wenu mnachapana mitama wenyewe kwa wenyewe vipi mnapo wakuta wanachama wa vyama vingine? Ndio hayo ya kurusha mawe
 
Wakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.

Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.

View attachment 1538627


View attachment 1538629
ccm hii ndio sura yake halisi kimekusanya matakataka ya kila nmna tukipenge kwanguvu zote
 
Dada yangu kipenzi,si vizuri kuwatabiria mabaya maana wao ni sehemu ya jamii yetu.Huenda mabaya yakitokea,yakatuumiza wengine tusiohusika kabisa na siasa zao
Kilichotokea ni aibu kubwa Sana Kwa waandaji na hiyo ni ishara kuwa MUNGU hayupo upande wenu, kuna mengi yatatokea Kwa kila mtakalokuwa mnaliandaa
 
ADAM MCHOMVU asipoomba radhi kwa hilitukio yatamkuta ya Diva ,maana amehatibu shuguli ya watu.Pia hii inatupa picha ni kwanini jamaa hajakabidhiwa kipindi cha XXL.
Kipindi kakabidhiwa nani?

yeye ndo brand manager
 
Wakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.

Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.

View attachment 1538627


View attachment 1538629
Chanzo ni mbasha kumwita Bangi ni kwa nini amwite mwenzake Bangi? Mwenye tatizo ni huyo huyo aliyemwita mwenzake Bangi acha ajutie ujinga wake
 
Nimefurahi tukio hili limetokea. Dhamira ya shughuli imeharibika kabisaa. Watu wameshika moja tu la ‘mtama wa uchumi wa kati’. Good job Adam and Mbasha.

Halafu kwa hili la leo, asitokee mtu akajidai kumuengua Lissu kwenye kinyang’anyiro cha Urais kwa kigezo cha kuwa kaanza kampeni mapema. Hiki leo tutakikumbushia.

#NiYeye2020 #TunduLissuNdioRais
 
Wakuuu huko Uwanja Wa taifa wasaniii wamezichapa live bila chenga baada Ya mbasha kumwiiita mchovu kuwa anavuta bangi.

Hakika kuna kitu hapa walioandaa hilo tamasha watakuwa wamejifunza kuwa wanachokifanya kinamchukiza MUNGU, watu kupigana live wakiwa wanatazamwa kwenye TV zaidi ya tano ni Aibu kubwa na hiii ni ishara Fulani kuwa MUNGU hayupo upande wenu na huenda mkakutwa na majanga zaidi.
Ahsante sana, wanalazimisha kupendwa na manguo yao ya kijani pumbavu
 
Back
Top Bottom