tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Wafuasi wa kijani ni laini kama urojo,kapigwa katafunua kule na mkofia wake kma muuza uremboLile teke kwa kustukizwa utatambaa tu bila kupenda..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafuasi wa kijani ni laini kama urojo,kapigwa katafunua kule na mkofia wake kma muuza uremboLile teke kwa kustukizwa utatambaa tu bila kupenda..
Hii wiki Tamu sana
[emoji117]Barca kachezea 8
[emoji117]Huku Lissu anatema Sumu
[emoji117]Mkutano wa Lissu umepigwa mawe
[emoji117]Morrison kashinda dhidi ya mkataba wa kitapeli
[emoji117]Man city kachezea za chembe na kitoto
[emoji117]Adam mchomvu kamlamba ngwala E Mbasha jukwaani
[emoji117]Temba kawatolea uvivu policcm jukwaani.
Tuendelee kunawa mikono kwa sabuni.
Unaona dogo hilo? Kama mbele ya mwenyekiti wenu mnachapana mitama wenyewe kwa wenyewe vipi mnapo wakuta wanachama wa vyama vingine? Ndio hayo ya kurusha maweKama kawaida yenu !, Mmeamua kuchukua hako katukio kama habari kwenu !! Acheni kuweweseka !. Unafikili CCM kama vyama vyenu uchwara hivyo!.
Usipende kufikiri kwakutunia masaburi...maramoja moja tumia akili...Kama kawaida yenu !, Mmeamua kuchukua hako katukio kama habari kwenu !! Acheni kuweweseka !. Unafikili CCM kama vyama vyenu uchwara hivyo!.
Siri nyingine uwe unakaa kimya. Unataka utukoseshe fiesta ya bure?kwa taarifa yako tamasha lile 80% ni mamluki
ccm hii ndio sura yake halisi kimekusanya matakataka ya kila nmna tukipenge kwanguvu zoteWakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.
Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.
View attachment 1538627
View attachment 1538629
We nae inaelekea u mgeni hapa mjiniKumpiga bunda ndo sijaelewa
Kuna vitu Sio rahisi kuviona Kama vile una mgonjwa mirembe huwezi mwona leo tumebahatika wagonjwa wa mirembe wapo liveIla watu mna roho jamani...kuchek Chanel ten?dah hongereni
Kilichotokea ni aibu kubwa Sana Kwa waandaji na hiyo ni ishara kuwa MUNGU hayupo upande wenu, kuna mengi yatatokea Kwa kila mtakalokuwa mnaliandaa
Kipindi kakabidhiwa nani?ADAM MCHOMVU asipoomba radhi kwa hilitukio yatamkuta ya Diva ,maana amehatibu shuguli ya watu.Pia hii inatupa picha ni kwanini jamaa hajakabidhiwa kipindi cha XXL.
Kiuhalisia ule si mtama, ukipigwa mtama kweli lazima miguu iende nyuzi tisini alafu ufikie matako au kisogo chini.Exactly!
Huyo Mbasha kategeshewa kamguu akajikwaa akadondoka.
Halafu eti FROLA alikuwa anacomplain jamaa anambutua daily[emoji134]Mbasha mlaini kama mwanamke,kaenda chini mzimamzima
Chanzo ni mbasha kumwita Bangi ni kwa nini amwite mwenzake Bangi? Mwenye tatizo ni huyo huyo aliyemwita mwenzake Bangi acha ajutie ujinga wakeWakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.
Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.
View attachment 1538627
View attachment 1538629
Sisi twala bata
Ahsante sana, wanalazimisha kupendwa na manguo yao ya kijani pumbavuWakuuu huko Uwanja Wa taifa wasaniii wamezichapa live bila chenga baada Ya mbasha kumwiiita mchovu kuwa anavuta bangi.
Hakika kuna kitu hapa walioandaa hilo tamasha watakuwa wamejifunza kuwa wanachokifanya kinamchukiza MUNGU, watu kupigana live wakiwa wanatazamwa kwenye TV zaidi ya tano ni Aibu kubwa na hiii ni ishara Fulani kuwa MUNGU hayupo upande wenu na huenda mkakutwa na majanga zaidi.