Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Mbasha ana chuki sana na Clouds..aliwahi kuwatukana sana Uncle Jimmy na Sam Sasali bila ya sababu..sawasawa kupigwa tena Magu anashuhudia
 
Niaangalia kwa makini, hakika Adam Mchomvu kwa ulichofanya kama host duniabnzima inakushangaa host wa Kipindi kikubwa na radio bora kufanya mambo ya kitoto umedhihirisha ulimwengu kweli unatumia hicho kileo

Omba msamaha fasta mambo yaishe kwa mbasha ule ni utani tu kakukumbatia ukamla shoka dah

Tamasha la kishenzi la chama la majizi. Ngumi ni nje nje.
 
Wakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.

Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.

View attachment 1538627


View attachment 1538629

Hizo ndizo tabia zinazoonekana sana hapa JF na sememu nyingine za social media; mtu akishindwa kujibu hoja anachokoza shari. Watu siku hizi inaonekana kama akili za uungwana tumeshaziweka kwenye freezer. Hakukuwa na haja ya kufanya hayo mbele ya kadamnasi; angeweza kumfuata huko pembeni wakaongea. Sasa hata wakiongea huko pembeni bado hiyo picha mbaya ipo hadharani.
 
Mtu kajenga brand yake kwa miaka 20 huko alafu inakuja kuchafuliwa mara moja tu stejini, not fair. Mbasha alikua anawaaminisha waTZ kuwa mchomvu ni bangi. Bora angemwambia in private na sio mbele ya umma.
 
Hapo safi sana!
Kachimba kwanza msingi halafu kanyanyua mamaye. Dole gumba kwa Adam 👍. Maneno kama yale unakata funua kabisa.
 
Back
Top Bottom