Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Poapoa: Halooo adamu, poapoa hapa, nataka uwe host wetu pale uhuru

Adamu: Ooooi baba la baba sina mafenenge wala nn, nitavimba ila msinipime nitakuwa nishapiga makitu ya uchugani mwanangu

Poapoa: Sawa tutakutana
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Poapoa: eeeeh mbasha vp, poapoa hapa, nataka uwepo kwenye tamasha pale uhuru uimbe nyimbo za kusifu na kuabudu

Mbasha: amina mtumishi, nashukuru kwa mualiko, nitakuwepo

^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
SIKU YA TAMASHA
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^

Adamu: Ooooi oi oi, mwamba amechana balaaa, arudiee asirudieeeeeeeee

Wajumbe: Aondokeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Adamu: Wajumbe wanataka urudie show kaka

Mbasha: Adamu we bhangiiiiiiii sanaaaaa

Adamu: *(^*&&&$##@#@$$%%*(*)()(*)((&%$$##$#!@$#%$^**)(__)_)(_**&%&^%


formen.jpg

Mbasha:
George-Foreman-vs.-Michael-Moorer-John-Gurzinski-AFP-Getty.jpg
 
Hilo tamasha siyo zuri kwa wakati huu; ni afadhali linegsubiri tarahe 26 August. Ni kama wanapiga kampeini mapema ingawa hakuna candidate wa kunyoonshea mkono kisheria.
 
ADAM MCHOMVU asipoomba radhi kwa hilitukio yatamkuta ya Diva ,maana amehatibu shuguli ya watu.Pia hii inatupa picha ni kwanini jamaa hajakabidhiwa kipindi cha XXL.
Ifike mahali kila mtu na amuheshimu mwingine.....Mbasha is Stupid fool.
Period
 
[emoji3][emoji3][emoji3]ila Mchomvu bwana,eti kuna vinega kama hawa tunawaona tu,tunaishi nao.
Mbasha alizingua kwanza unaletaje mambo ya kumkumbatia mwanaume mwenzako?
Umetumbuiza umemaliza na MC anaenda na muda harafu unaanza kuleta utani wa kijinga tu.
Piga teke tuuu
 
Back
Top Bottom