Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Niaangalia kwa makini, hakika Adam Mchomvu kwa ulichofanya kama host duniabnzima inakushangaa host wa Kipindi kikubwa na radio bora kufanya mambo ya kitoto umedhihirisha ulimwengu kweli unatumia hicho kileo

Omba msamaha fasta mambo yaishe kwa mbasha ule ni utani tu kakukumbatia ukamla shoka dah
Backstage bifu liliendelea

 
Niaangalia kwa makini, hakika Adam Mchomvu kwa ulichofanya kama host duniabnzima inakushangaa host wa Kipindi kikubwa na radio bora kufanya mambo ya kitoto umedhihirisha ulimwengu kweli unatumia hicho kileo

Omba msamaha fasta mambo yaishe kwa mbasha ule ni utani tu kakukumbatia ukamla shoka dah

Asipoomba msamaha utamfanya nini?

Kuna mtu kakudanganya kuwa wewe una nguvu au kuwa ukiandika tu basi inakuwa

Dont waste your time

Kapigwa, na atapigwa tena, huyo mtangazaji mkubwa ndio anaambiwa 'bangi sana"??
 
Mchovu anakaa kama chalii ya Araaa........ni mwenyeji wa wapi.......?......
Machalii ya Chugga undezi kama huo aliofanya Mbasha hawafagilii kabisa......tena angempa ndoo la hatari.......atushobokewagi kimama sisi.......
Big up Mchovu kama wewe ni chali ya Araaa......umewakilisha........
 
Vinahusiana sababu Jahazi kilifungiwa sababu watangazaji wametoka nje ya maadaili,same as Adamu Mchomvu tena ya hadhara nacho yupo kinyume na maadili.

Kwa hiyo kitafungiwa kipindi gani?? ,😂😂😂 Acha ujinga bana
 
Mchovu anakaa kama chalii ya Araaa........ni mwenyeji wa wapi.......?......
Machalii ya Chugga undezi kama huo aliofanya Mbasha hawafagilii kabisa......tena angempa ndoo la hatari.......atushobokewagi kimama sisi.......
Big up Mchovu kama wewe ni chali ya Araaa......umewakilisha........

Ni wa arusha ndugu
 
Wakuuu huko Uwanja Wa taifa wasaniii wamezichapa live bila chenga baada Ya mbasha kumwiiita mchovu kuwa anavuta bangi.

Hakika kuna kitu hapa walioandaa hilo tamasha watakuwa wamejifunza kuwa wanachokifanya kinamchukiza MUNGU, watu kupigana live wakiwa wanatazamwa kwenye TV zaidi ya tano ni Aibu kubwa na hiii ni ishara Fulani kuwa MUNGU hayupo upande wenu na huenda mkakutwa na majanga zaidi.
Mambo ya kishetani
 

Naona akaamua amshukie kabisa,ila hii sio picha nzuri hasa kwa CMG.Sababu wiki hii Jahazi imefungiwa,alafu mtangazaji wa kituo chao nae kafanya kitendo kibaya mbele ya kadamnasi,so hata TCRA wakitaka kuwaonea huruma CMG kwa kukifungulia kipindi cha Jahazi,wakiangalia hii tabia ya Mchomvu watawaweka watangazaji wa Jahazi na Mchomvu ktk kundi moja.


Kwanza sio mara ya kwanza TCRA kufungia vipindi cmg

Pili tcra inafungia maudhui ya kipindi

Kuhusianisha hili na kufungiwa redio, umeamua kuchangamsha genge

Nendq fb au insta
 
Back
Top Bottom