Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku mujini Dar kuna mtu hataki umbea huyo anataka details vizuri au jamaa anaka element cha Unaa mwache tuu.kama hawakuhusu ulipoona title ya thread usingefungua, otherwise we ni mmbea.
Wewe mbona unataka nisikuamini umemwona huyo fetty hospital akipelekwa?watwangana makonde laivu studio, dj fetty kakimbizwa hospital baada ya kuumizwa vibaya.
sijawahi kusikia ugomvi wa vijana wa Dar usiokuwa na TUSI hata moja...ule wa Clouds wa jana ndio wa kwa kwanza, itakuwa wale vijana wa Clouds wanajishemu sana kwenye suala la kutumia lugha za MATUSI
kama hawakuhusu ulipoona title ya thread usingefungua, otherwise we ni mmbea.
kama hawakuhusu ulipoona title ya thread usingefungua, otherwise we ni mmbea.
Ungesema wameigiza nini, sio wote tunasikilizaga hiyo kitu!!
Ana haki ya kuchangia na sidhan km amekutusi kukuuliza kama ww ni fan wao
kama huzitaki wewe kuna wezako wanazihitaji...kihelehele cha nini kukataza wenzako wasipate???
Kwenye kiaudio tu hiki una unaubinafsi je tukakupa uwe moderator hapa jf utasumbua????
kwa taarifa yako nishawatumia 6 wanajf na bado wengine wananiomba niwatumie na ntawatumia
kozi sipati hasara yoyote!!
Mkuu mwache huyo akae na bichwa kama skype hapo, nimeku-pm namba yangu unirushie kwa whatsapp comrade.
Jamaaa anashangaza sana,,eti tukio halikuwa la kweli,,anamaanisha nn? anyway Clouds moja ya radio za kihuni sana nchini
kitendo cha kuwazungumzia hapa tayari ushawapa kick na free promo, hata mimi niliyekuwa siwajui imenibidi nifungue hii thread niwajue ni kina nani hao! bora ungekaa kimya tuuNdugu wanajamiiforums,
Kitendo walichokifanya vijana wa xxl jana ni muendelezo wa lile tukio lililotokea kipindi cha nyuma kidogo kusema kwamba "adamu mchomvu, fetty na b12 wamefukuzwa clouds fm" mnakumbuka?, huu ni moja ya uhuni unaofanywa na hawa vijana pamoja na menejiment yao.
Ujue kwa mwaka huu namba ya wasikilizaji wa XXL imepungua kwa kiasi kikubwa hivyo wanataka kuipandisha na kwaakili zao wanadhani hiyo njia itasaidia.
Vijana hawa waliamua kuigiza jana ili wazungumziwe kwenye mitandao ikiwa ni sambamba na kuandikwa kwenye magazeti, wanataka kujiongezea umaarufu kinguvu.
Last time walisambaza taarifa kuwa vijana hao wamefukuzwa, leo wanasema wamegombana. Kama hicho kitendo menejiment haija kipenda, kwanini wanaisambaza hiyo clip ya ugomvi wao maana ukiisikiliza ile clip ina quality ya ofisini kwao na si kwamba mtu amerekodi kwa simu.na kusambaza.
Acheni upuuzi clouds fm
kama hawakuhusu ulipoona title ya thread usingefungua, otherwise we ni mmbea.