McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
nasikia leo hadi heka heka wamewahoji
Heka heka bado ni clouds fm so simply wanaendelea ku-create stunts tu ili kuongeza umaarafu haiwezekani wapigane huku wamesogelea mic maana sauti ziko clear vile na wamefanikiwa dzain maana kule IG wameongeza comments na followers haswaaa.