qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
gerald hando msaliti!
Yeah aliwachomea wenzake walipangacwasiende ye akaenda na kufanya kipindi so wenzie wakaonekana ndio wakosaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gerald hando msaliti!
B12, Mchomvu na Fetty in da hauz on XXL today...tega sikio kwenye segment yao ya 255 watazungumzia kilichotokea
we kichwa chako sio kizimaAiseeh ebu achana na mimi usonishobokee kipeleke uko bhana usininukie shombo apa
ukiona hauelewi jua haikuhusu
Mimi nimesikiliza vizuri,
Eti zoezi halikuwa na uhalisia, lilitengenezwa kwa dhamira ya kuona kama ukipaza sauti utasikika kwa jamii, na kweli habari zilisambaa sana, na hivyo namna ile ile zile clip za ugomvi zilivyosambaa basi watanzania wapaze sauti kwa magnitude hiyo hiyo kwa jambo lolote la uvunjifu wa amani. Refer kampeni yao ya #Paza Sauti, Ukimya hausaidii, so eti wanasema wao ni jamii iliyodhamiria kudumisha amani ya Tanzania. So kwa chochote utakachokiona ambacho sio sawa basi Paza Sauti. Hawa watangazaji ni pasua kichwa kwa kweli.
Wanatuzuga tu.. ule mtiti ulikuwa serious. Kama ni kweli issue ilitengezwa tutasikia kama wataendelea kudiscuss mpango wao wa compilation album ya fiesta.
Mimi nimesikiliza vizuri,
Eti zoezi halikuwa na uhalisia, lilitengenezwa kwa dhamira ya kuona kama ukipaza sauti utasikika kwa jamii, na kweli habari zilisambaa sana, na hivyo namna ile ile zile clip za ugomvi zilivyosambaa basi watanzania wapaze sauti kwa magnitude hiyo hiyo kwa jambo lolote la uvunjifu wa amani. Refer kampeni yao ya #Paza Sauti, Ukimya hausaidii, so eti wanasema wao ni jamii iliyodhamiria kudumisha amani ya Tanzania. So kwa chochote utakachokiona ambacho sio sawa basi Paza Sauti. Hawa watangazaji ni pasua kichwa kwa kweli.
Aaah wapi.. imekuwaje jana hawakuhost show, ule mtiti ulikuwa serious. Wanapiga chini kiaina.Unakuwaje mjanja wa town ka walikuchota kwa ishu ya kitoto namna hii na ukawaamini? Hivi ulishindwa hata kutambua yule aliyekuja kumaliza kipindi raymond sijui alikuwa anahema kwa kuigiza?
they were serious very serious me mtu akisema walikua wana create awareness I jus can't understand