nimeanzisha thread mimi na mimi sio hao uliowataja,whats a big deal km ni ujinga unacheza ngoma ya nini,save your phone's charge by ignoring not by comment.
dah kwa umbea wako nahis utakuwa umeshamwambukiza bwanaako
safi sana...mana kuna watu humu kujifanya wenyewe ndo wenyewe! CLOUD JUU JUU ZAIDI!!
Sasa mambo ya mabwana yamekujaje, uko nyuma pananyevua eeh?? Soon utakunwa endelea kushoboka
mkuu sidhan kama wataendelea kuwepo clouds hawa watu nadhan walio kuwa wanafuatilia kipind ndo wanaweza kujua hatma ya hawa vijana kurudi clouds sio rahisi tena kama wadau wengine wanavyofikiri!
nimeanzisha thread mimi na mimi sio hao uliowataja,whats a big deal km ni ujinga unacheza ngoma ya nini,save your phone's charge by ignoring not by comment.
Ujinga wa clouds ni kuwafukuza fina na kipanya kwa issue serious na za faida na kuwa retain adam na fetty kwa upuuzi.. kweli huu ni mzigo sana kwa hii nchi
Hivi what was the issue kwa masoud kipanya na Mamaa FINA?
According to kipanya mitambo ilikuwa inazingua na walikuwa na interview na baloz wa marekan kamasikosei na hilo tatizo lilikuwa la mda mrefu na walishatoa taarifa lakini clouds wakazingua...
Siku ya ugeni wa balozi ikawakuta tena hiyo fedhea.. ile interview haikwenda vzur, wakamind na kuamua kugoma kwenda kipindi..
Next day wakatimuliwa bila kupewa warning letter na barua ya kujielezea.
Barua hii hapa
Mods weka kula juu
sasa kilichokuuma hapo ni nn hadi uanze kutema mbovu?
According to kipanya mitambo ilikuwa inazingua na walikuwa na interview na baloz wa marekan kamasikosei na hilo tatizo lilikuwa la mda mrefu na walishatoa taarifa lakini clouds wakazingua...
Siku ya ugeni wa balozi ikawakuta tena hiyo fedhea.. ile interview haikwenda vzur, wakamind na kuamua kugoma kwenda kipindi..
Next day wakatimuliwa bila kupewa warning letter na barua ya kujielezea.