Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdau haya mambo yametokea redion au kwenye t.v?maana unayaelezea kama ulikuweoiIshu ilianza wakati wanatambulisha nyimbo mpya ya madii "SHIDA" Fety akasema mwaka hu atatoa album ya fiesta B12 akadakia kua hyo ni aidia yake na keshaanza kuiandaa album china
Fety akapanic akamwambia hizo zote ni tamaa mbona ye ana duka la born to shine haridhiki,Adam nae akadakia na ye atatoa album ndo ugomvi ulipoanza kila Adam akitaka kuonge B12 anazima mic huku kwingine Fety akamkwida Adam wacha achezee vitasa mpka akawa anaomba msaada kwa Soud Brown muda wote huo wako ON AIR
Clouds Fm radio ya wafu.
Hivi sasa mitambo imezimwa na ngumi zimeanza upya! Anayebisha a.tune 88.5 FM Dar
hichi ki Dj Fetty kina kiherehere sana ndo maana TMK wanaume walikibaka kavu kavu coco beach kwa ajili ya kuwaponda redioni..
watwangana makonde laivu studio, dj fetty kakimbizwa hospital baada ya kuumizwa vibaya.
Hivi sasa mitambo imezimwa na ngumi zimeanza upya! Anayebisha a.tune 88.5 FM Dar
Hebu follow hii link, ni maigizo tu. Eti baada ya muziki Ray anaaga huku anahema mbaya...
Kilichotokea dakika 5 kabla ya Show ya XXL Clouds Fm kumalizika Julai 02. | TZA_MillardAyo
watwangana makonde laivu studio, dj fetty kakimbizwa hospital baada ya kuumizwa vibaya.
HahahahaAkina nani hao waliogombana? Clouds ni radio ya wapi hiyo? Tupeni habari za uhakika msifikiri wote tupo huko mliko. Na hao watangazaji ni wa kike au kiume? Mazoezi wanafanyia Gym gani? Walikuwa na gloves?
kanituma baba ako?