Adam Mchomvu kidogo amtembezee kichapo Ney wa Mitego bar

Ney huyu huyu au kuna mwingine jaman
 
Mchomvu akisoma hii reply yako siku mkikutana maisha yako yanaweza kuwa hatarini.
Wewe ndo mchomvu mwenyewe au chawa wake?..Maana huyo jamaa sioni kama ata ana cha maana.Labda unapagawa na usela mavi.
 
Mchomvu pamoja na usengerma wake mibangi na ngada ...alinichekesha sana alivyo mbinua yule ndeze mikwaya jukwaani.
 
Nay muoga bingwa wa maneno,sema siku hizi wahuni hamna,watu wanafocus na maisha.

Kweli wahuni walikuwa zamani ,siku hizi hakuna wahuni bali wavuta bangi wanaenda kwa stimu za NDUMU......Zamani ukisikia muhuni muhuni kweli polisi wakitaka kumkamata inabidi waende na difenda hata mbili na mashine zenye mkanda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…