Murukulazo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 574
- 221
Kusema kweli bado inanishangaza na itaendelea kunishangaza kama hadi leoo hii tunapozungumza haya mambo ni mwaka 2016, mwezi wa tatu tarehe 6,eti bado kuna waafrika wanaamini hadithi za kwenye biblia kuwa Adamu ndio mtu wa kwanza kuumbwa?kweli hii minyororo ya utumwa iliyofungwa kwenye akili zetu ni mikali aiseee....khaaaa.....hivi waafrika ni lini mtaamka na kufunguka kwa akili zenu??