Adam na Hawa walikuwa wawili hapo kale?

Adam na Hawa walikuwa wawili hapo kale?

wakuu mie napingana sana na ukweli huu kwani ni UONGO mtupu kwani hawa jamaa ni watu katika watu!
Je UNAMJUA BINADAMU WA KWANZA HAPA DUNIANI! TAFADHALI FUNGUKA!

Maandiko yanaeleza wazi kwamba baada ya Yehova kumaliza kazi ya uumbaji wa vitu vingine vyote, Alimuumba "Mtu" yaani "Adam" neno aedam au mtu siyo jina la specific person. Kwa hiyo obviously, kulikuwa na mtu wa kwanza tena alikuwa mwanaume tena hakuzaliwa akiwa katoto kachanga. bali aliumbwa wala hakunyonya maziwa maana hakuwa na mama.
 
Maandiko yanaeleza wazi kwamba baada ya Yehova kumaliza kazi ya uumbaji wa vitu vingine vyote, Alimuumba "Mtu" yaani "Adam" neno aedam au mtu siyo jina la specific person. Kwa hiyo obviously, kulikuwa na mtu wa kwanza tena alikuwa mwanaume tena hakuzaliwa akiwa katoto kachanga. bali aliumbwa wala hakunyonya maziwa maana hakuwa na mama.

kaka kulikuwa na watu wengi sana na sio adam pekee yake hii ndio pointi yangu ya msingi
 
hujaelewa nini hapo MTu wa kwanza sio adam au huelewi

Ondoa ujinga humu sio kijiwe cha watafuna bangi mbichi hiki; unaulizwa ulichochambua hapo ni kipi hadi kufikia conclusion? unasema wenzio hawachambui wewe umechambua nini? umemwaga tu pumba hata kiswahili hujui mara useme " ukweli huu" mara umekuwa "uongo huu" au ndio unataka na wewe uonekane mjanja wakati zezeta tuuuuu
 
Ondoa ujinga humu sio kijiwe cha watafuna bangi mbichi hiki; unaulizwa ulichochambua hapo ni kipi hadi kufikia conclusion? unasema wenzio hawachambui wewe umechambua nini? umemwaga tu pumba hata kiswahili hujui mara useme " ukweli huu" mara umekuwa "uongo huu" au ndio unataka na wewe uonekane mjanja wakati zezeta tuuuuu

nadhani hujaelewa point yangu
mimi sikubaliani na kauli inayosemwa na vyanzo kuwa binaadamu wa kwanza alikuwa adam ila katika hii dunia kipindi hicho mungu aliumba watu wengi sana na tena wote walitokana na udongo ila si kweli kuwa dunia ilikuwa na watu wa wili tu yaani adamu na hawa....

Nadhani
umenielewe ndugu nilichokimaanisha
 
Back
Top Bottom