Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana wewe una reference zaidi ya Biblia au Quran, please kama una sources zingine ungeziweka hapa ili usiwe umetutega kitendawili, au unataka tukupe mji ili utegue?ndugu kwani kipi ambacho hakipo wazi ? Tatizo umzito kufikiri
straight mbona , BINAMAMU WA KWANZA HAKUA ADAMU,
1.Dunia iliumbwa tangu kale na mungu na ilikua tupu hapo kabla ila walikuepo malaika wanamtii mungu na hawakuwa binadamu
2. Mungu akaona isiwe tupu akaleta mbegu katika ardhini na malaika walikuwa wanaona dongo lile mwisho wa siku likaota viumbe wa aina tofauti unaowajua wewe pamoja na binadamu tofauti tofauti na wote walikuwa madongo tena yasio na utambuzi wa baya au zuri na akiwemo huyo adam
3.chanzo hayo hayo maandiko matakatifu unayoyajua
BIBLE NA QURUAN
Inawezekana wewe una reference zaidi ya Biblia au Quran, please kama una sources zingine ungeziweka hapa ili usiwe umetutega kitendawili, au unataka tukupe mji ili utegue?
Mimi ninachoelewa kupitia "Biblia Takatifu" hakuna kilichofanyika kabla au bila yeye "Mungu", uwe ulimwengu au vilivyomo "wanadamu ama chochote kile
Mkuu how can your thinking be like this? Sasa kama wengi walikua wa kwanza inamaana walitokea kwa pamoja? yani kwa kusema hivo unamaanisha mwanzo wa kitu hua hamna, hata simu zilivotengenezwa kulikua na ya kwanza nyingine zikafatia.. hahaha duh ati wengi walikua wa kwanza, hahaha! hii kali. Kwa hiyo kwenu wewe pamoja na wenzako wote mlikua wa kwanza? hata mapacha kuna anayetangulia, hahaha! umetisha mzeewatu wengi tu walikua wakwanza
Hakuna kitu kama hicho, hakuna summary hio na hakuna contradictions yyoyote katika Biblia,labda kama unasoma Biblia kwa matakwa yakobible na quruan ndugu ukisoma vifungu ina mleta adam katika kundi la kiroho ndio wa kwanza kumjua mungu ila sio binadamu wa kwanza kuishi katika dunia hii
mungu anasema ameleta viumbe vingi vimeota kama mimea ili kuujaza ulimwengu -rejea quruan
kutoka katik bible ina summarize kuwa adam ni baba wa ulimwengu kiroho tu na SIO BINADAMU WA KWANZA na ndio maana unatakuta kunacontradiction katika maisha yake na watoto zake ikiwa ukiamini kuwa ni binadamu wa kwanza
hakuna mtu "binadamu" asiyekuwa wa kiroho, sisi wote ni wa kiroho kwa Mungu huyo huyo aliyemuumba Adamu, hata wewe ni wa kirohokulikua na watu sema lengo hapo ni kiroho i mean mtu atakaye mkubali mungu.
Unaijua roho ndugu ?
Kama adam alikuepo kwanini alipuliziwa roho ..
Fikiri
watu wengi tu walikua wakwanza
pia mungu ndiye aliyemteua adam katika wengi amjue mung lakini angeweza kumchagu hata mtu mwingine mkuu
ukisoma vibaya utatafsiri vingine
unajua maana ya wote walio hai ? Usitafsiri juu juu mkuu utapotoka bure
mkuu hayo yapo point ni kuwa kulikuwa na watu wengine pia!
Sasa utachanganyikiwa "Mungu si mwanasiasa huwa hateui ila analeta/ kutoa, Mungu hakumteua Adamu isipokuwa alimuumba,lete reference ya hayo unayosema
Samahani Scatter, Tuanzie hapa kwanza " Yai au kifaranga " kipi cha kwanza?wakuu mie napingana sana na ukweli huu kwani ni UONGO mtupu kwani hawa jamaa ni watu katika watu!
Je UNAMJUA BINADAMU WA KWANZA HAPA DUNIANI! TAFADHALI FUNGUKA!
unavyodhani alimuumba kivipi?
Kutoka katika vitabu :alimteua kiroho na kumpa ufunuo wa kujua vitu na kumjua mungu
nadhani hujaelewa point
yangu
mimi sikubaliani na kauli inayosemwa na vyanzo kuwa binaadamu wa kwanza
alikuwa adam ila katika hii dunia kipindi hicho mungu aliumba watu wengi
sana na tena wote walitokana na udongo ila si kweli kuwa dunia ilikuwa
na watu wa wili tu yaani adamu na hawa....
Nadhani
umenielewe ndugu nilichokimaanisha
Huenda nikawa sijui, ila kwa kadri ya maelezo ya biblia takatifu yanavyosema, Adam anabaki kuwa binadamu wa kwanza.
Kama unamaana nyingine ya wote walio hai si uiweke hapa tukuelewe?
Hiyo point ni kwa mujibu au kwa kurejea wapi? mbona mimi nakuja na mistari ya biblia hata kama hauuamini ukweli wake, nataka na wewe uniambie maana ya wote waliohai na kwamba kulikua na watu wengine kama unavyodai njoo na reference!
kuna kitu hapa kinanitatiza.Tunaamini kuwa Mungu hakosei na anajua kabla halijatojea. sasa inawezekanaje Mungu aruhusu kitu halafu baadae akikataze. inamaana tunakiri kakosea? mnaposema zamani ilikuwa ruksa kumlala dada yako halafu then kipindi cha mussa. Mungu huyo akataze? kulitokea nini mpk akataze? so mimi nitarudi tu kwa wanaoamini kuwa duniani kulikuwa na wengi sema adamu alikuwa chaguo lake katii yao km ambavyo alichagua manabii kati yetu. kwasababu Mungu sio bunge la tanzania linalopitisha rushwa"takrima"halafu baadae linakiri lilikosea eti ilikuwa rushwa. MUNGU H AKOSEI.
Mkuu how can your thinking be like this? Sasa kama wengi walikua wa kwanza inamaana walitokea kwa pamoja? yani kwa kusema hivo unamaanisha mwanzo wa kitu hua hamna, hata simu zilivotengenezwa kulikua na ya kwanza nyingine zikafatia.. hahaha duh ati wengi walikua wa kwanza, hahaha! hii kali. Kwa hiyo kwenu wewe pamoja na wenzako wote mlikua wa kwanza? hata mapacha kuna anayetangulia, hahaha! umetisha mzee
Huenda nikawa sijui, ila kwa kadri ya maelezo ya biblia takatifu yanavyosema, Adam anabaki kuwa binadamu wa kwanza.
Kama unamaana nyingine ya wote walio hai si uiweke hapa tukuelewe?
Hiyo point ni kwa mujibu au kwa kurejea wapi? mbona mimi nakuja na mistari ya biblia hata kama hauuamini ukweli wake, nataka na wewe uniambie maana ya wote waliohai na kwamba kulikua na watu wengine kama unavyodai njoo na reference!
Da kaaaaaz kwelikweli kama msingi wako ndio huu manake hata nikichukua hii shule sijui nitamwelezea nani anielewe. Adamu aliishi duniani physically na alikula tunda physically na alitolewa nje ya bustani physically na ardhi ililaaniwa physically; tumepokea kifo na laana toka kwake. Sasa jamaa yangu unaposema waliokula tunda ni watu kibaaaao na walioleta kifo ni watu kibaaaao na waliotolewa ubavu kuumba mwanamke ni watu kibaaaao mbona inakuwa shida sana rafiki yangu? mwanamke ana mbavu 18 na mwanaume mbavu 17 mmoja ukiwa umetolewa kumuumba Hawa sasa unaposema waliumbwa kibao tangu mwanzo ni yupi sasa mmoja wao ubavu ulitolewa na hao kibao mbavu yao mojamoja iliyeyuka saa ngapi na kwenda kufanya nini? maandiko yanasema Adam alikuwa peke yake kwa maelfu ya miaka kabla ya kuumbwa mwanamke wewe unakuja na elimu mpya isiyo hata na mizizi mbona hili ni balaa kubwa!bible na quruan ndugu ukisoma vifungu ina mleta adam katika kundi la kiroho ndio wa kwanza kumjua mungu ila sio binadamu wa kwanza kuishi katika dunia hii
mungu anasema ameleta viumbe vingi vimeota kama mimea ili kuujaza ulimwengu -rejea quruan
kutoka katik bible ina summarize kuwa adam ni baba wa ulimwengu kiroho tu na SIO BINADAMU WA KWANZA na ndio maana unatakuta kunacontradiction katika maisha yake na watoto zake ikiwa ukiamini kuwa ni binadamu wa kwanza