Adela Tillya wa Wasafi mwanamke huyu ananikosha sana

Adela Tillya wa Wasafi mwanamke huyu ananikosha sana

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,430
Reaction score
2,130
Adela Tilly wa WASAFI

Kama huko hukuu tafadhalii okoa moyo wangu unakufaaaa ganzii

Njoo DM najua uko hukuu

Sifa zako
1. Mcha Mungu tena unasali. KKKT kijitonyamaa.

2. Mzuri asee.

3. Unajielewaa sana.

4. Machaga

Njoo PM sasa hivi twende Moshi

Adellah bado nakutafutaaa Adellah


Wana jamvi wenye connection na huyu Mtuu naombeni mnisadie

Changamoto inakuja niko mbali sana Tz niko ugaibuni
 

Attachments

  • Screenshot_20240824_100913_Chrome.jpg
    Screenshot_20240824_100913_Chrome.jpg
    745.2 KB · Views: 7
Adela Tilly wa WASAFI

Kama huko hukuu tafadhalii okoa moyo wangu unakufaaaa ganzii

Njoo DM najua uko hukuu

Sifa zako
1. Mcha Mungu tena unasali. KKKT kijitonyamaa.

2. Mzuri asee.

3. Unajielewaa sana.

4. Machaga

Njoo PM sasa hivi twende Moshi
Unajua mpaka na anaposali, lakini umechagua kuja kumtafutia humu JF?
 
Hiyo namba 4.
Unajitafutia matatizo ya kujitakia huko
Kwangu sio Ishu mkuu

Adelaa Tillya wasikusumbue hawaaa

Achana nao

Mimi ndio nishapendaaa bila kujali lolotee niko tayari kubeba yote mazuri na ndio makubwaa hayo machache sio ishu
 
Hiyo namba 2 umemdanganya sasa. Kapo kama kiboko maji.

Kuhusu kujielewa pia nina shaka maana mara nyingi kwenye kipindi chao huwa ana lose temper kwa vitu vidogo tu.

Kwa analysis uchwara yangu ndogo tu naamini Adelia Tillya ni spoilt, self entitled arrogant woman ambae anahisi damia yupo sahihi.
 
Ana mdogo wake nilimpenda sana yule Mamaa Tilya tukiwa tunasoma wote O Level naye alinipenda sana yule Binti na alikuwa tayari nimuone na niishi naye ila maisha haya yakatufarakanisha. Ameolewa na Mkurya mmoja huko Moro. We Mkurya jua bado nampenda sana mdogo wake Adella Tilya. Akina Tillya ni Visu kwelikweli.
 
Hiyo namba 2 umemdanganya sasa. Kapo kama kiboko maji.

Kuhusu kujielewa pia nina shaka maana mara nyingi kwenye kipindi chao huwa ana lose temper kwa vitu vidogo tu.

Kwa analysis uchwara yangu ndogo tu naamini Adelia Tillya ni spoilt, self entitled arrogant woman ambae anahisi damia yupo sahihi.
Every one will.make analysis and either will conclude by being negative or Positive
And you choosing be negative against ADELA
HOWEVER

Nimefanya analysis za kutosha and am conclude that ADELA is my best selection
Kama Ana mapungufu ni 5% kati ya 💯 %
Ambayo hata mimi ninayo

ADELA wanguu nakutafutaa njoo PM

Njia ya nyumbani kwenu ndio hiyohiy njia napoataga kwenda kwetuu.
 
Every one will.make analysis and either will conclude by being negative or Positive
And you choosing be negative against ADELA
HOWEVER

Nimefanya analysis za kutosha and am conclude that ADELA is my best selection
Kama Ana mapungufu ni 5% kati ya 💯 %
Ambayo hata mimi ninayo

ADELA wanguu nakutafutaa njoo PM

Njia ya nyumbani kwenu ndio hiyohiy njia napoataga kwenda kwetuu.
Nenda ukapigwe na kitu kizito huko. Unaweza jikuta unaenda muomba baba yako mirathi kabla hata ya mauti yake.

Ogopa mwanamke anaeishi na paka zaidi wawili kwenye numina bila ya mume na ndio huyo Adelia wako sasa.
 
Nenda ukapigwe na kitu kizito huko. Unaweza jikuta unaenda muomba baba yako mirathi kabla hata ya mauti yake.

Ogopa mwanamke anaeishi na paka zaidi wawili kwenye numina bila ya mume na ndio huyo Adelia wako sasa.
Mkuu you need to differentiate between kazi na personality ya mtuu kwenye maisha yake ya kawaidaa

Akina baba levo na Oscar Adela anawakalisha chini.

And she manage

Adela njoo PM

Moyo wanguu unakusubirii
 
Back
Top Bottom