Adela Tillya wa Wasafi mwanamke huyu ananikosha sana

Adela Tillya wa Wasafi mwanamke huyu ananikosha sana

Ukishamuoa utujulishe sehemu utakayoishi naye ili nije kuhamia mitaa hiyo. Kitu kizuri kula na mwanaJF mwenzako
Adela umemsikia huyuu.
Mimi nina wivu na Adela
Tena usije kudhubutu tena kuandika chichi ulichoandika hapaa.

Adela njoo please nakusubiri PM 💖💖💖💖
 
Hiyo namba 2 umemdanganya sasa. Kapo kama kiboko maji.

Kuhusu kujielewa pia nina shaka maana mara nyingi kwenye kipindi chao huwa ana lose temper kwa vitu vidogo tu.

Kwa analysis uchwara yangu ndogo tu naamini Adelia Tillya ni spoilt, self entitled arrogant woman ambae anahisi damia yupo sahihi.
Hii kuwa short tempered ni kweli. Kuna siku alikuwa anabisha vitu viko wazi kabisa. Kimsingi ni mweupe sana kichwani.. ila kiukweli anafaa kwa matumizi ya binadamu. Swali ni je atakuwa hajatafunwa na mijamaa ya wasafi? Ile taasisi inanuka uzinzi
 
Ana miaka mingapi? Kwani hapo kijitonyama hawamuoni? Kwanini hadi sasa hawajamuweka ndani?
 
Mkuu wewe umemunoa kwenye kideo hujui mapungufu yake unasema unaoa kabisa mimi ni baba yake kabisa najua mapungufu yake humuwezi mwanangu sema unataka kumchezea tu umwache kama hao wengine... Mkwe wng sema nyegezi tu zinakuchanganyaa mwanangu humuezi utamdodoboraa umwachee tu!
 
Hii kuwa short tempered ni kweli. Kuna siku alikuwa anabisha vitu viko wazi kabisa. Kimsingi ni mweupe sana kichwani.. ila kiukweli anafaa kwa matumizi ya binadamu. Swali ni je atakuwa hajatafunwa na mijamaa ya wasafi? Ile taasisi inanuka uzinzi
Thank you.

Hapo kwenye ubishi wa kipumbavu sasa ndio pake. Na huwa anapanick kabisa kama vile yupo mtaani na sio on air.
 
Adela Tilly wa WASAFI

Kama huko hukuu tafadhalii okoa moyo wangu unakufaaaa ganzii

Njoo DM najua uko hukuu

Sifa zako
1. Mcha Mungu tena unasali. KKKT kijitonyamaa.

2. Mzuri asee.

3. Unajielewaa sana.

4. Machaga

Njoo PM sasa hivi twende Moshi
Adela Wanguu

Bado nakusubiri PM

Tafadhali njoo basi Adelaaa

Nakutafuta ningejua unatuma ID ipi ningekutag hapahapa

Management ya jamiiforums.com naomba mnisadiee nimpate Adela
Mtangazaji wa WASAFI
 
Kila la kheri, ila ni mlalamishi sana...


Cc: Mahondaw
Nakushukuru Sanaa

Nitamvumilia inside alivyo Adelaa

Najua unamapugufu kama binadamu wotee ,nami yangu ninayo lkn

Lengo langu ni moja tuu I LOVE ❤️ Adela in deep ♥️
Please come PM My heart is awaiting you 💓 ❤️ 💗 ♥️ 💖 💛 💓 ❤️ 💗 ♥️ 💖 💛 💓 ❤️
 
Picture Iko Wapi Sasa Tunataka Kufanya Maamuzi Chap Chap Kabla February Kwisha
 
Back
Top Bottom