Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adela Ana Maarifa na uzuri mkuu na kubwa kuliko yote ni mcha Mungu.Tofautisha uzuri na umaarufu
Adela umemsikia huyuu.Ukishamuoa utujulishe sehemu utakayoishi naye ili nije kuhamia mitaa hiyo. Kitu kizuri kula na mwanaJF mwenzako
🤣🤣🤣🤣🥴Mkuu si vizr kuona mtuu anapita hali ngumu kama yangu unanikatisha tamaa
Wee ungetoa connection uishie hapo
Mimi nina Malengo makubwa na Adela 💖 katka nchi hii
Hii kuwa short tempered ni kweli. Kuna siku alikuwa anabisha vitu viko wazi kabisa. Kimsingi ni mweupe sana kichwani.. ila kiukweli anafaa kwa matumizi ya binadamu. Swali ni je atakuwa hajatafunwa na mijamaa ya wasafi? Ile taasisi inanuka uzinziHiyo namba 2 umemdanganya sasa. Kapo kama kiboko maji.
Kuhusu kujielewa pia nina shaka maana mara nyingi kwenye kipindi chao huwa ana lose temper kwa vitu vidogo tu.
Kwa analysis uchwara yangu ndogo tu naamini Adelia Tillya ni spoilt, self entitled arrogant woman ambae anahisi damia yupo sahihi.
Thank you.Hii kuwa short tempered ni kweli. Kuna siku alikuwa anabisha vitu viko wazi kabisa. Kimsingi ni mweupe sana kichwani.. ila kiukweli anafaa kwa matumizi ya binadamu. Swali ni je atakuwa hajatafunwa na mijamaa ya wasafi? Ile taasisi inanuka uzinzi
Mwanamke wa hivyo hawezi kuishi kwenye ndoa. Huwa anaishia kuwa single mother. Wengi wa hawa single mother ni jeuri sanaThank you.
Hapo kwenye ubishi wa kipumbavu sasa ndio pake. Na huwa anapanick kabisa kama vile yupo mtaani na sio on air.
Mungu ampunguzie adhabu ya kaburiHili neno limenikumbusha marehemu bibi yangu, mungu amrehemu. Lilikuwa tusi lake pendwa ukimkera.
Amiin🙏Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
Kabisa shuhuli ilikuwa ya kuimalizia kkt hii ukiona imefika huku ujue kiungo kimeshindwa kunyumbulika (viuongowazito)Simba kati kumekufa kabisa licha ya kuwa na viungo watatu
Adela WanguuAdela Tilly wa WASAFI
Kama huko hukuu tafadhalii okoa moyo wangu unakufaaaa ganzii
Njoo DM najua uko hukuu
Sifa zako
1. Mcha Mungu tena unasali. KKKT kijitonyamaa.
2. Mzuri asee.
3. Unajielewaa sana.
4. Machaga
Njoo PM sasa hivi twende Moshi
Nakushukuru Sanaa