Zaidi ni bibi Makula (mama yao) ndiye mtu wa watu, anacheka na kila mtu, amesaidia wengi kwenye ajira kupitia watoto wake.Atazikwa na nyome ya watu maana mdogo wake Gen DAM ni mtu wa watu na anakubalika sana.
Mwenyezi Mungu ni Mwema sana mkuuKapambania uhai
Ukimtaja Mmiliki wa Buffalo yule mpare usisahau kutaja jina la RPC ChikoHuku Kuna Mahita, kule kuna mmiliki wa mabasi ya Buffalo.
Nchi hi sinema zisizo na ukomo
Nadhani alikuwa anaishi yale maghorofa karibu na kituo cha daladala Rozana kuelekea MalapaNamkumbuka miaka ya nyuma tulikutana sana buguruni sewa bar akiwa na kmpani zake..
Na akionekana dhoofu kitambo sana
Ha ha ha. Andika kiswahili. Usichekeshe walionuna.Aden your where more than a Brother to me and I believe anyone who seeked your help or advice [emoji817] always there! Aden may your Gentle Soul rest in Eternal peace
Hii kaliAden Mwamunyange, umenikumbusha enzi za lile Jeshi la Polisi la Kijambazi. Jeshi la Polisi linapitia nyakati ngumu zenye sura nyingi za ajabu.
Kutoka Ujambazi hadi sasa hivi walipoamua kuliweka chini ya Green Guard upande mmoja na upande mwingine kama moja ya Jumuiya ndani ya Chama.
Dah..sewa bar ...kitambo sanaNamkumbuka miaka ya nyuma tulikutana sana buguruni sewa bar akiwa na kmpani zake..
Na akionekana dhoofu kitambo sana
Jeshi la polisi limepitia kwenye mikono ya watu wahuni sanaUkimtaja Mmiliki wa Buffalo yule mpare usisahau kutaja jina la RPC Chiko
Kisa cha Toyota Mark II Grand, mayai, TZP1660Mwalimu mkuu mmoja ni shabiki mkubwa wa mpira akisimama msitarini asubuhi hadi kwanza ataniane na wanafunzi kuhusu mechi za jana.Shule yake daima ndiyo inayoshika mkia.Na askari anayeshinda kunywa pombe na wahalifu hawezi kumkamata jambazi.
Uwe na siku njema.Umenikumbusha mbali Hilo neno jamani🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸chizi Sana wewe🤣🤣🤣🤣
Je umefikiria kwanza kabla ya kuandika?
ALITAKA UUSUMBUE KIDOGO HUO UBONGO WAKO KABLA YA KUONEKANA KAMA UMEJAA MIMAJI YA MADAFU TU
Ana watoto wawili walevi hao hatariYeah, iko ngwengweluka long time kitamborilo
Ile familia sijui kuna tatizo gani walizaliwa watoto 10 Kama so 11 lkn wamepukutika wote wamebaki wawili tu Gen Davis na dada yake Rhoda mwamunyange[emoji15][emoji15]Apumzike kwa amani. Pole nyingi kwa familia yake, mama yake mzazi pamoja na wadogo zake.
Hatari sanaAna watoto wawili walevi hao hatari
Uko sahihi mkuu yule mama yao Mbije hana makuu watu watakuwa wakumwaga msibani pale Ngonga mpakani na IsangaAtazikwa na watu wa kutosha, kule kijijini kwao Ngonga mama yake ni mtu poa sana, anahudhuria misaba ya wengine hivyo wanyakyusa hawawezi kumtupa.