TANZIA Aden Mwamunyange afariki dunia

TANZIA Aden Mwamunyange afariki dunia

2714C622-3353-4B03-8C8E-41031E0C2BC2.jpeg
Siro katoa taarifa hii
 
Namkumbuka miaka ya nyuma tulikutana sana buguruni sewa bar akiwa na kmpani zake..
Na akionekana dhoofu kitambo sana
Nadhani alikuwa anaishi yale maghorofa karibu na kituo cha daladala Rozana kuelekea Malapa
 
Hi
Aden Mwamunyange, umenikumbusha enzi za lile Jeshi la Polisi la Kijambazi. Jeshi la Polisi linapitia nyakati ngumu zenye sura nyingi za ajabu.

Kutoka Ujambazi hadi sasa hivi walipoamua kuliweka chini ya Green Guard upande mmoja na upande mwingine kama moja ya Jumuiya ndani ya Chama.
Hii kali
 
Mwalimu mkuu mmoja ni shabiki mkubwa wa mpira akisimama msitarini asubuhi hadi kwanza ataniane na wanafunzi kuhusu mechi za jana.Shule yake daima ndiyo inayoshika mkia.Na askari anayeshinda kunywa pombe na wahalifu hawezi kumkamata jambazi.
Kisa cha Toyota Mark II Grand, mayai, TZP1660
 
Atazikwa na watu wa kutosha, kule kijijini kwao Ngonga mama yake ni mtu poa sana, anahudhuria misaba ya wengine hivyo wanyakyusa hawawezi kumtupa.
Uko sahihi mkuu yule mama yao Mbije hana makuu watu watakuwa wakumwaga msibani pale Ngonga mpakani na Isanga
 
Back
Top Bottom