Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Million 100 kidogo sana,brand ya Simba ni kubwa mno,hapo haizidi haipungui Billion 5
 
Kwa hiyo tangazo ni sehemu ya 'popote pale' ? Kwamba CRDB wanaweza kudownload picha ya John Bocco kupitia Azam Tv na kujitangaza kwa kupitia hiyo picha?
 
Je hiyo taarifa kwenye bango ni ya uongo?
 
Huhitaji kibali cha simba kutangaza matokeo ya mechi za Simba, ina maana na magazeti yanailipa simba ?

Simba hapati chochote hapo
 
S
Subiri uone! Watadaiwa zaidi ya m100! Nembo kutumika bila kibali ni kosa kubwa! Especialy ka,ma umeitumia kwa lengo la kuifedhehesha!! Ujinga ni mzigo mkubwa sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…