AahaaaaaaaSheria ipi imevunjwa ? Mpira ni Burudani, hasira za kukojolewa Vitano visiwafanye mjitoe ufahamu! siku yenu na nyie ipo mkae kwa kutulia.
View attachment 2814306
View attachment 2814307
Duu kumbe mkifukua makaburi simba watalipa fidia kubwa zaidiHuhitaji kibali cha simba kutangaza matokeo ya mechi za Simba, ina maana na magazeti yanailipa simba ?
Simba hapati chochote hapo
Kama hiyo ndio njia ya kuwapunguzia maumivu basi nendeni Mahakamani.S
Subiri uone! Watadaiwa zaidi ya m100! Nembo kutumika bila kibali ni kosa kubwa! Especialy ka,ma umeitumia kwa lengo la kuifedhehesha!! Ujinga ni mzigo mkubwa sana!!
Huyu mangungu ni mwana utopolo hawezi kubali kuwashitakiLazima makampuni yajifunze kujua sheria. Rage yupo sahihi. Je huyu Pan Africa Mangungu atakubali.
kaka 5 sio ndogo,ni zigo.Ila yanga ni washamba sana kwakweli.. Sikuwahi kudhani kama ile ushindi unaweza kuwa such a big deal kiasi cha kuweka bangi kama lile
Sent using Jamii Forums mobile app
Chambuzi maandaziNi hivi ....CRDB hana haki yoyote na Azam TV wala Boko....
Ila Azam TV anamkataba na bodi ya ligi ...kisha na pia timu zote zinazocheza ligi kuu ..
Mfano Azam TV analipa bonasi kuanzia mshindi wa kwanza mpaka wa mwisho ...
Bonasi hizo zimetokana na kuwa na haki ya kutangaza na kupiga picha timu zikiwa michezoni ...
Sasa Yanga amepost picha ya mchezo Fulani wa ligi kuu .. Ruhusa ya kuimiliki hiyo picha anayo kutoka Azam TV ...
Na ruhusa hiyo anayo kwa kuweka picha hiyo kama habari ...kwenye social media au popote pale ...
Ingekuwa Yanga ametengeneza picha labda Geita 1 YAnga 7 ..na picha hiyo haipo Azam TV na Geita hana hayo matokeo...hapo kungekuwa na angalau mashiko
Huyu mangungu ni mwana utopolo hawezi kubali kuwashitaki
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Nendeni Mahakamani ....milango wazi ..
Ni washamba haswaa 😂😂Ila yanga ni washamba sana kwakweli.. Sikuwahi kudhani kama ile ushindi unaweza kuwa such a big deal kiasi cha kuweka bangi kama lile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza wewe ni mwanasheria au unabeti?Kuna mdau alileta mada ya kuuliza Kama ni sahihi kisheria kilichofanywa na yanga kuweka Hilo bango. Kuna waliomtukana lakini inawezekana rage pia ni mdau wa huku kaona hiyo taarifa. Mabango yapo kibiashara na biashara imefanyika lakini bila ridhaa ya mtu mwingine.
Outdoor wamelipwa, tra wamelipwa , tarura au tanroad pia wamelipwa na mabispaa ya kinondoni wamelipwa. Simba watashinda hiyo kesi mapema tu kwa sababu wamewekwa kwenye tangazo bila kuhusishwa.
kaka 5 sio ndogo,ni zigo.
Angalia vizurAngalieni vizuri kama Logo ya Simba iko vile kabla hamjadhalilika.
Zile red and white kwenye Logo siyo nembo ya Simba ilivyo.
Walioandaa hilo bango wala hawajakurupuka.
Inaonyesha 5 mnazipenda sana.Million 100 kidogo sana,brand ya Simba ni kubwa mno,hapo haizidi haipungui Billion 5
huoni kama logo ya Simba ina rangi nyeupe hapo kwenye bango wametumia rangi nyekundu?Yap hakuna kilichoeditiwa
Kadiri Mahakama itakavyoamua.Sio 20B za Mo?
Ukishaangalia piga picha iweke hapa nasi tuone kama kuna kesi au lah.Wacha nikaangalie vizuri mkuu
Chief MangungO siyo MangungUHivi Mangungu wa Simba ana undugu na yule chifu Mangungu wa Msovera aliyesaini mikataba ya Hovyo enzi za uhuru