Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Chambuzi maandazi

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Chambuzi maandazi

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Nendeni Mahakamani ....milango wazi ..
Simba: Muheshimiwa nembo yangu imebandikwa kibiashara

Yanga: Mheshimiwa Jaji ..embu Makolo watoe ushahidi

Simba: Kanibandika ubaoni Tegeta bila ruhusa yangu ..na ni biashara

Yanga: Mheshimiwa lile bango tulilidownload kutoka Azam TV ..tuwaite watueleze walilitoa wapi .. Na hiyo biashara ya 1-5 iliyobandikwa hapo juu wameitoa wapi ..

Simba: Mheshimiwa sisi tunaomba fidia ya kuwekwa ubaoni bila ruhusa..

Jaji : Kwani bango wameweka biashara gani?

Simba: Mheshimiwa ...1-5 ...yaani tulitandikwa mkono ..(5)

Jaji: Sasa kama mlikula HAMSA .. Mlicheza bila nembo yenu kwenye jezi?

Simba: Mheshiwa hapana ..tulicheza na jezi zetu na nembo zipo ..ila Yanga wametubandika bila ruhusa yetu..

Yanga: Mheshiwa ..hawa makolo wanatupotezea muda ..Tuombe Kamisaa wa mchezo aje, Azam TV na TFF ..watueleze nini kilitokea 5/11/23 ..Uwanja wa Mkapa ..
Na kama kilichotokea kina reflect bango letu au hakireflect bango letu...

Jaji: Natoa wito kwa TFF , Bodi ya ligi, Azam TV ..waje watoe ripoti kilichotokea tarehe 5/11/23

Yanga: Mheshimiwa ..tunaomba wajumuishe na Aziz Ki, Max Nzengeli na Pacome kama mashahidi..

Jaji: Mahakama itazingatia
 
Kwanza wewe ni mwanasheria au unabeti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…