Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,500
Watoto wa kiafrika bila viboko hawaendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tuna haki ya to disagree, corporal punishment kwangu ni NOKumsimamisha mwanafunzi in a naughty what..??....Hebu kuwa serious eti.....hakuna namna eti wala huo muda wa mwalimu kumvuta pembeni mwanafunzi mmoja mmoja na ku-deal naye na hapo darasani ana wanafunzi zaidi ya 100 na pia ana vipindi madarasa mengine.....short and clear anamaliza mchezo kwa fimbo zake tatu tatu za nguvu...
SIkubaliani na wewe kwenye option yako ya pili..!! Kwamba wape kazi wasizozipenda..!! Ukishampa mtoto kazi ya kufanya kwa maana ya adhabu, ujuwe hiyo kazi ataitazama kwa jicho hilo kwa maisha yake yote yaliyobaki. Hii ni hatari, maana kazi hiyo lazima ifanywe, iwe kama adhabu au hiariHoja ya kutowacharaza watoto na hata wanafunzi mashuleni sio mpya, lakini je ni upi unaweza kuwa mbadala?!
Nimejaribu kuwashirikisha njia mbadala niliyojifunza mahali fulani.
Adhabu ya viboko ni ya muda mrefu sana duniani, ni ya karne na karne. Ikikita mizizi zaidi katika bara letu la Afrika.
Malezi ya watoto bila kutumia adhabu ni jambo gumu ama lisilowezekana kabisa, hata sisi watu wazima mamlaka zimeweka mbele yetu adhabu mbalimbali tukoseapo kama faini au vifungo gerezani.
Tunaweza kuwaadhibu watoto wetu bila kutumia viboko.
Badala ya kuwatandika watoto viboko, tumia adhabu hizi mbili, ninakupa uhakika kuwa adhabu hizo zitajenga nidhamu kwa watoto/wanafunzi wako si ajabu hata kuliko kuwacharaza.
Wanapokosea wanyime vitu wanavyovipenda kwa mfano wanyime ruhusa ya kwenda nje kucheza na wenzao, ama wanyime kutazama tv, ama wanyime kucheza game n.k
Au walazimishe kufanya wasivyovipenda mfano kufanya kazi fulani za nyumbani labda kusafisha nyumba, ama kuosha vyombo n.k
Kwangu ni big YES na HAITATOKEA IKAISHA....wewe endelea kupiga porojo za vijiwe vya kahawa....wanangu wote wakifanya makosa ya kizembe wanachezea na walimu wao huwa nawaambia mtoto akijichanganya vunja sitaki kufuga vibaka na machangu kwangu....Mkuu tuna haki ya to disagree, corporal punishment kwangu ni NO
Utatuletea a very violence family ambayo haitakua na upendo, wewe ndio baba unaporudi kazini watoto wako wanakimbilia chini ya uvungu wa vitanda huku wakijikojoleaKwangu ni big YES na HAITATOKEA IKAISHA....wewe endelea kupiga porojo za vijiwe vya kahawa....wanangu wote wakifanya makosa ya kizembe wanachezea na walimu wao huwa nawaambia mtoto akijichanganya vunja sitaki kufuga vibaka na machangu kwangu....
Bible yenyewe imesema usimnyime mtoto viboko, halafu wewe unajifanya kuleta uzungu wako.Mkuu tuna haki ya to disagree, corporal punishment kwangu ni NO
Mkuu kama wewe sio mwalimu bora ungakaa kimya tu. Usifundishe watu kufanya kazi. Viboko hufundishwa chuoni na kuna namna ya kumwadhibu mwanafunzi hivo hizi ni taaluma za watu. Huwezi niambia upeleke kufagia wanafunzi umekuta hawajafanya jaribio labda robo ya darasa wakati kuna vipindi vinaendelea.Hoja ya kutowacharaza watoto na hata wanafunzi mashuleni sio mpya, lakini je ni upi unaweza kuwa mbadala?!
Nimejaribu kuwashirikisha njia mbadala niliyojifunza mahali fulani.
Adhabu ya viboko ni ya muda mrefu sana duniani, ni ya karne na karne. Ikikita mizizi zaidi katika bara letu la Afrika.
Malezi ya watoto bila kutumia adhabu ni jambo gumu ama lisilowezekana kabisa, hata sisi watu wazima mamlaka zimeweka mbele yetu adhabu mbalimbali tukoseapo kama faini au vifungo gerezani.
Tunaweza kuwaadhibu watoto wetu bila kutumia viboko.
Badala ya kuwatandika watoto viboko, tumia adhabu hizi mbili, ninakupa uhakika kuwa adhabu hizo zitajenga nidhamu kwa watoto/wanafunzi wako si ajabu hata kuliko kuwacharaza.
Wanapokosea wanyime vitu wanavyovipenda kwa mfano wanyime ruhusa ya kwenda nje kucheza na wenzao, ama wanyime kutazama tv, ama wanyime kucheza game n.k
Au walazimishe kufanya wasivyovipenda mfano kufanya kazi fulani za nyumbani labda kusafisha nyumba, ama kuosha vyombo n.k
Mimi ji muumini wa dini yangu ya mizimu, hizi dini zimeletwa na merikebu!Bible yenyewe imesema usimnyime mtoto viboko, halafu wewe unajifanya kuleta uzungu wako.
Kuna maeneo kama sijakosea 2 kwenye biblia inasisitiza mapigo kwa watoto jinsi yatakavyo wasaidia.
Nafikiri ni vema kuchanganya aina zote za adhabu.
Adhabu za kisaikolojia ni mbaya kuliko za viboko.
Mwafrika anaenda kwa kiboko trust me, tofauti na hapo hatutafika kabisa
Kumsimamisha mwanafunzi in a naughty what..??....Hebu kuwa serious eti.....hakuna namna eti wala huo muda wa mwalimu kumvuta pembeni mwanafunzi mmoja mmoja na ku-deal naye na hapo darasani ana wanafunzi zaidi ya 100 na pia ana vipindi madarasa mengine.....short and clear anamaliza mchezo kwa fimbo zake tatu tatu za nguvu...
Tatizo we hujawahi kuwa mwalimu,hebu kaombe shule ufundishe hata kwa siku tatu alf uwe unatumia hzo adhabu zako uone kama zitaleta mabadiliko.No no mkuu huwezi kwa mwalimu aliyeiva kumtoa mwanafunzi nje ya kipindi kama adhabu, kuna adhabu kama za kumsimamisha in a naught corner, pia fanya utafiti mdogo why mwanafunzi ana react kwa tabia Ile,then mwalimu anajua the way forward