Adhabu ninayoipata tangu nihamie chumba cha master, nipeni maujanja

Adhabu ninayoipata tangu nihamie chumba cha master, nipeni maujanja

Kwangu sijaweka milango ya chooni nimeweka pazia tu [emoji38] na huwa naachia mzigo wa kutosha tu na hamna harufu.
 
Wengi hawajaelewa mada.

Anyway, suluhisho hapo ni kujitahidi kula matunda na maji kwa wingi. Pia jitahidi kupunguza kiwango cha chumvi kwenye chakula. Nadhani itasaidia
Akili unazo hawajui tu
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Weka sinki la choo cha kukaa.. Halitoi harufu kwa kuwa haja huzama ndani ya maji.. Kwa choo cha kuchuchumaa, mwaga maji sekunde chache baada ya kupata haja ili uchafu uende huku ukiendelea n 'awamu ya pili' ya ukataji.
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Hongera sana kwa kuhamia chumba chenye choo ndani japo ninamashaka chumba cha elfu 50 choo ndani inaezekana choo hicho kina hali isiyoridhisha hivyo kinahitaji maboresho ili kukidhi mapungufu ya kurudisha harufu ndani
lakini pia inawezeana ni suala la usafi tu linakutesa, jitahidi kuzingatia usafi wa hali ya juu unapotumia choo cha ndani
Hongera tena na kila la heri
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Hiyo ndio harufu halisi ya kutoka ndani ya mwili wa binadamu,halafu ukute mwenyewe ukitoka umechomekea fresh,perfume kwa sana,uso umepiga scrub,unang'ra mwenyewe na kata K yako,kumbe ukikata gogo lazima watu watimke 😂😂😂...
 
Wakati mwengine mambo kama haya unatafuta hata fundi hapo mtaani unamshirikisha ili akupe njia ya kusawazisha baadhi ya mambo otherwise utadhalilika kama inavyotokea hapa.

Siyo kwamba humwagi maji mengi uchafu ukaenda hiyo hali inatokana na mgandamizo wa hewa kwenye shimo kubwa nje so inakosekana njia ya kupumulia,obviously tatizo lipo kwenye line ya kutoka chooni (humo ndani) kwenda kwenye septic tank hawakuweka bomba mmabadala kuzuia harufu isirudi ndani,fanya hivi.

Kama pale kwenye shimo kubwa nje imewekwa bomba moja ita fundi akuwekee lingine hapo lilipotokea bomba la kusafirisha uchafu (namaanisha hapo karibu kabisa na ukuta wa choo chako cha ndani) hiyo hali itaisha.
Picha plz

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
wazee chumba nimepanga sio nyumba yangu so mnaponiambia sijui niweke sink la kukaa naanzaje kugharamia nyumba sio yangu,,,,,nyie nipeni aina za sabuni au spray nzur

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
1.kunywa maji mengi
2.mwaga maji mengi baada ya kukata gogo
-Fanya hivi kabla ya kutumia hela kubwa
 
Sababu zinazoweza kusababisha hilo tatizo ni kama ifiatavyo.

1. Miundo mbinu ya maji taka yaani mfumo wa maji taka unarudisha harufu ndani. Hii ni nadra sana kutokea.

2. Mzee unatatizo la constipation so choo chako kina harufu kali ambayo wakati unashusha vitu ile smell huwa inasambaa na kujaa eneo la chumbani.

3. Haumwagi maji wakati unashusha mzigo. Unatakiwa kila unapoka tonge moja basi lisindikize na maji kwa kutumia ile kopo ya chooni yaaani ni mwendo wa Paaaah halafu chwaaaah sekunde hiyo hiyo. Unapoacha gogo lipo exposed harufu huwa inaanza kuzagaa na kujaa eneo zima la choo na kutoka nje. Hata utakapoflush ya jumla baadae inakuwa too late harufu imeshasambaa.
So kumbuka kuwa na ndoo kubwa ya maji hapo msalani wakati unakata gogo na chombo cha kuchotea maji kama zile jagi za plastic then unashusha mzigo wako na kuusindikiza na jagi moja la maji kila unapoachia kitu. Ukimaliza unaflush kwa kutumia ile drum ya choo maji mengi au una flush kwa maji kuanzia nusu ndoo. Then hakikisha una sabuni ya manukato aidha kama GEISHA, Levola, au Citrus (lime huwa ni nzuri zaidi na ina harufu maridadi) au sababuni za maji zinafaa. Na ukipita kule town kariakoo kuna maduka wanauza perfumes za chooni. Pia unaweza weka sabuni ya unga kama sunshine katika lile drum la choo wakati umeshaflush, maji yakiwa yanajaa tena inajichanganya na sabuni so ina harufu nzuri sana nyumba yote itanukia....

Ushauri wa mwisho kabisa kuwa na mwanamke msafi ndio muhimu zaidi.
 
Wengi hawajaelewa mada.

Anyway, suluhisho hapo ni kujitahidi kula matunda na maji kwa wingi. Pia jitahidi kupunguza kiwango cha chumvi kwenye chakula. Nadhani itasaidia
Mboga za majani kwa wingi. Huwa zinasaidia sana.... Gogo linakuwa halitoi harufu chafu.
 
Mkuu unaonyesha huna shabaha ya kulenga tundu ya choo,,,
Wengi hujisaidia kwenye sink la choo halafu wanaflash baadae hapo ndy tatizo linapoanza,,kwn hata ukiflash harufu lazima ijae kote..
1..Lenga shimo
2..maji mengi.
3.tumia dawa ya kusafisha sink baada ya haja..
4..usivute sigara wakati wa kukata gogo,,kutakufanya upoteze muda mwingi bila kuflash na harufu kuanza kuenea ndani..
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.

Hiyo master itakuwa na choo cha shimo mkuu.Otherwise master ya 50,000 per month ambayo ni sawa na sh 1,667 per day, lazima iwe mbovu tuu.sidhani hata kama maji yamo ndani au ya madumu.

Pia mind you, kuvuta hewa ya chooni muda mrefu utaharibu mapafu.pia inaweza ikapelekea ukaizoea hiyo harufu hapo ndiyo disaster kubwa.
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Nunua airfresh za vyoo boss
 
Sasa master ya shilling elf 50 unategemea harufu itatoka nje apo inaonesha wazi kua icho chumba kimelazimishwa kua na Choo ndan
 
Lakini hujamshauri pia kuwa na yeye inawezekana choo anacho toa inawezekana kina harufu kali hivyo mshauri anywe maji mengi na kula matunda kwa wingi hasa papai na parachichi
 
Back
Top Bottom