Adhabu ninayoipata tangu nihamie chumba cha master, nipeni maujanja

Adhabu ninayoipata tangu nihamie chumba cha master, nipeni maujanja

Mkuu unaonyesha huna shabaha ya kulenga tundu ya choo,,,
Wengi hujisaidia kwenye sink la choo halafu wanaflash baadae hapo ndy tatizo linapoanza,,kwn hata ukiflash harufu lazima ijae kote..
1..Lenga shimo
2..maji mengi.
3.tumia dawa ya kusafisha sink baada ya haja..
4..usivute sigara wakati wa kukata gogo,,kutakufanya upoteze muda mwingi bila kuflash na harufu kuanza kuenea ndani..
Ukilenga shimo gogo linarusha maji yanakuloanisha. tatizo hilo
 
Kwa kweli mambo ya vyoo ndani vyumba vyenyewe vya kupanga vidogo hapana.
Pili mifumo ya maji inakuwa shida.
 
Mkuu kabla sijakushauri nina swali. Ukiwa chumbani unapata harufu kali ya choo muda wote au ni baada ya wewe kukata gogo? Kama ni muda wote tatizo litakuwa ni mfumo wa maji taka ambao wengi wameshauri humu. Ila kama ni baada ya wewe kukata gogo tatizo lipo kwako. Unatoa kinyesi chenye harufu kali. Pengine kutokana na gesi nyingi tumboni. Cha kufanya tatua tatizo la kiafya kwanza. Ikishindikana nunua exhaust fan uifunge dirishani itasaidia kuvuta hewa chafu nje na hivyo kupunguza au kuondoa kabisa harufu inayorudi chumbani.
 
Unajua basi tu lakini choo kiwe mbali na chumba cha kulala. Kama Sio harufu unyevu? Lakini pia Sio vema MTU kuishi mkabala na choo hata Uhuru unashindikana hasa kama tumbo linashida Siku hiyo.

Ingawa inarahisisha ila uwe na choo kilichojengwa vzr, Maji ya kutosha na Sabuni pia
 
Binafsi Master room yangu lazima iwe na airfreshiner.nikihisi natakiwa kwenye haja kubwa naipuliza kwanza ndo naendelea.ukifanya hivyo hiyo harufu huwezi isikia.pia dirisha la toilet liwe wazi kuruhusu upepo
 
Kula sana matunda hasa ya nyuzi nyuzi, kunywa maji mengi na juice. Fanya mazoezi. Kula chakula kizuri. Ukijisaidia choo hakitanuka kabisa. Mimi huwa nashangaza nao date nao. Kama tupo room nikaenda kujisaidia hakuna harufu kabisa. Mpaka kuna wadada wengine huuliza how come? Nawaeleza. Na huwa ninajisaidia mara moja au mbili kwa siku. Mostly ni asubuhi kabla sijaoga,napiga mswaki then naoga. Mpaka kesho hiyo tena asubuhi. Au inaweza tokea tena jioni. Ndo ratiba yangu ipo hivyo. Choo kinatoka laini bila shida na hakina harufu kabisa.

Wewe unatoa choo kigumu na kimeoza. Tena si ajabu unapitisha hadi siku kadhaa. So ukija jisaidia choo kinakuwa kimeoza na kigumu kinakutesa sana. Sababu huli matunda,huli mboga za majani, hunywi maji mengi.
 
C
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimehama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatizo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani, chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu
Air refreshers zitakusaidia
 
Kodi elfu50 self ni wapi mkuu?
Choo kinahitaji maji mengi lakini pasiwe na mabaki yoyote ya uchafu
Ukiweka ndogo au kubwa mwaga maji
 
Correct, hiyo shingo ya bata huitwa "P trap"
Mafundi uchwara mara nyingi hawaiweki hiyo either kwakukwepa gharama yakuinunua, au levels za kuiset ili iendane la level ya bomba linalopeleka huo uchafu kwenye shimo. Ni muhimu sana hiyo katika zoezi la uzuiaji wa harufu kurudi ndani
Yaah hii nayo inachangia
Uwepo wa yale maji pale kwenye sink husaidia kukata mawasiliano ya harufu iliyopo kwenye bomba la kwenda kwenye shimo isirudi ndani
 
Haya ni matokeo ya kuishi master huku unapenda maharage na chips yai
 
Ubaya wa choo cha ndani ni kwamba fundi akikosea kuseti Elbow basi imekula kwako hata umwage maji vipi au utumie dawa gani kazi bure
 
Ha ha ha ha ah hizo master za buza tu kwakweli
chumba ukubwa 8 kwa 6 kachoo kama kordo kadunchu dunchu tu
ha ha ha ha hebu wek apicha kwanza kabla hatujaendelea na ushauri
 
Namie napata hii tabu.
Halafu demu wangu anakuja leo kulala. Sijui itakuaje
 
Pole sana...

Natumae mleta mada ulipata muongozo...
 
Back
Top Bottom