Adhabu ninayoipata tangu nihamie chumba cha master, nipeni maujanja

Adhabu ninayoipata tangu nihamie chumba cha master, nipeni maujanja

Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Ongea na mwenye nyumba amlet fundi atoe sinki aliweke upya.

Kwa chini ya sink Kuwa kuna namna wanaweka ili unapoflush maji yanabaki yakiziba uwazi wa kutoka kwenye Chemba mpaka ndani.

Kama wameweka moya kwa moya bomba mpaka kwenye shimo la taka.. hiko si choo cha ndani tena.. ni choo cha shimo au antenna.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama choo ni cha kukaa tumia hii,kama ni cha chini nunua duck disc pia tafuta bloo foam yenyewe ni powder shida itaisha hiyo.
20201006_145154.jpg
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Sasa mkubwa unakula kachori na pweza halafu unategemea choo kinukie pilau 😂😂😂
 
zipo hizo maspermaarket ukiend waambie wakuoe vike vidonge vya bluu unatia kwenye flashi tank.basi hio ni kama sabun hiv ukiflash maji yanakua blue na dawa na harufu nzuri

Roger that!
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Hicho choo kitakuwa kina matatizo ikiwa kama ukisha flash bado hewa inaendelea kuwa chafu, tazama level ya maji kwenye choo chako.
Piple linatoka choon kuunga kwenye pipe la kupeleka nyaa kwenye septic uwa lile pipe limejikunja na ule mkunjo ndiyo unafanya majiyabaki chooi, ya maji yanazuia harufu kurudi kama yanakuwa chini level ya tundu harufu itarudi ndani.
 
Hicho itakuwa kimewekwa kienyeji kwa kuungaunga na fundi wa kienyeji!

Matokeo yake huwa tabu ya hivyo!
 
Deki kila siku kwa sabuni ya unga na kila ukitumia choo mwaga maji mengi.
 
Back
Top Bottom