Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Duh!! kwa hiyo mungu wenu ana update sheria zake dah amakweli mungu wenu nomayaani anaandika mwenyewe afu anafanya marekebisho
 
Sina lakusema zaidi ya kupinga utaratibu huu
umebase upande upi hasa wa serikali au wa dini kwa kuwa kuna watu hapa wanasubiri uukashifu uislamu nao wakupe sapoti siku zote hakuna kiumbe anaupenda uislamu.bila kuelewa maaada husika m2 anawahi kukashifu 2
 
Hoja, hoja, hoja! Husichukie na ukweli huko wazi ubaoni!
Mi sijachukia labda wewe mwenye chuki na waarabu na waislamu ndiyo unapata tabu,hoja ziko kweli tunaona mashoga wanaoona makanisani ila laiti mashoga wangekuwa wanaoona misikitini sijui ingekuwaje!

Wamarekani weusi wanapigwa shaba huko USA karibu kila siku ila hakuna anayewalaani wazungu au kuona ukristo ndiyo tatizo.
 
We habari za Saudi achana nazo maana waarabu wote mnaona wamelaaniwa,tuzungumzie ndugu zetu maalbino jinsi wanavyoteseka.
 
Mbona hata taifa lenu TZ linahukumu kifo hamsemi ?
Juzi polic walituambiaje .......kule jaribu mkuranga
 


Watu wanachanganya uslam na uarabu hata mtume alisema waheshimunu waarabu kwa mambo mawili tu kwamba Quran imeteremka kwa lugha yao na pili mimi nimetoka kwenye asili yao basi....mengine hayana uhusinao na uislam sema.kuna juhudi za kubwa za wasio kuwa waislam kunasibisha hizo tabia na uislam na uonekane ndio uislam huwez kukuta waislam wana nasibisha ukristo na ushoga na usagaji hata freemason na illuminat chimbuko lake sababh tunajua nu tabia za wazungu ila wao wapo busy kuwalisha mambo haya jjj ya uislam ili muogope...na pili lazima wote mjue kwenye uislam hamna adhabh ya kuchinja adhabu iliyopo ni kupigwa mawe hadi kufa na muuaji auwawe ila haijatamkwa kuchinjwa kwasababu zimesemwa na uislam ni tatizo ila zipo hata kwenye bible ila hazionekan sema wanakimbilia kusema hilo ni agano la kale ila kwenye agano jipya yesu anasema yeyote ataevunja sheria hata moja ya agano la kale hata uona ufalme wa mbingu kasomen vitabu vyenu bible inasema mwanamke anaeacha kichwa chake waz anatakiwa kukatwa nywele zake ila aya hiyo ingekuwa kwente Quran mngekuwa mnaijua na mngesema mwanamke ananyanyswa lakin naamin wakristo wengi hawaijui somen kuliko kumezeshwa matango pori mi nimezaliwa kwenye ukristo na nilichimba sijakubali kurithi dini nilitaka kujua kama wazazi walikuwa sahihi...hiz ni propaganda zilikuwepo tangu Muhhamad...sasa hiv kuna maaskofu mashoga lakin hakuna muislam anasema ukristo unafundisha ushoga lakin kesho akitokea shekhe shoga basi watasema ndio uislam ulivyo..najua shida kubwa ni kwamba kuna sheria za makanisa na sheria za bible mkiristo ukiamua angalau kufata mafundisho ya bible sio muda mrefu utaiona kweli....kila jamii ina matatizo yake kila jamii inamapungufu yake tofauti inayojuja kwenye uislam matatizo na mapungufu yalipo kwenye jamii za waislam wengi watu wa propaganda wanawaambia watu huu ndio uislam...ukiisoma aina ya utawala wa korea kaskazin kama inavyoekezwa sipati picha ingekuwa ni nchi ya kiislam sijui kama kuna mtu angetaman kuingia uislam..!ushsuri wangu mkubwa somen wemyewe bila kuwa na bias mind mtaona ukwel wa mambo someni sana ukweli upo nyuma ya mlango tu hapo.!
 
Kabisa aisee! Kuna nchi ambazo hata ndugu yako ukisikia amepata kazi ameenda unajikuta unatokwa na machozi badala ya kufurahi...

Sio Nchi tuseme kuna dini zingine ambazo ukisikia rafiki zako wanaabudi machozi yananitoka full stopu. Tuwe wazi.
 
Wauwaji wa nchi nyingine huwa wanafanywaje?
Kufanywa hivi na watu wanaojinadi wanamjua Mungu kunaleta maswali mengi juu ya huyo Mungu wao.
Au wewe umeona sawa tu?
Tupende dini zetu lakini turuhusu akili zetu kuhoji.
Mama nakushauri tu utenge muda wako usome kidogo tu adhabu za kifo zilivyotekelezwa nchi mbalimbali zamani na hata sasa. Nchi inayotumika kama SI unit ya kila kitu walipata hata kumnyonga tembo kama hukmu ya kuua. Na hakuna nchi inawafikia wao kwa mbinu za kikatili za kuua
 
Hata kwenye Biblia kuna sehemu imeandikwa "Atakaeua kwa upanga nae atauliwa kwa upanga"

Binafsi natamani Sharia ifanye kazi kwenye nchi kama Tanzania, wale wanaoua Albino wote hili lingewahusu ! haiwezekani mtu akuulie Kaka, Dada, baba Mama au mtoto ama Binaadamu yeyote halafu anaachiwa tu na wakati mwengine anatamba !

Mimi naona fakhari kuzaliwa kutoka kwa wazazi wailam, na nashukuru wazazi wangu walinipeleka Madrassa nikasoma Dini na pia nimesoma elimu ya kunisaidia kula mkate wangu wa siku!

Yeyote ambae haijui dini hii Povu litamtoka! naunga hoja! IKITHIBITIKA KUWA UMEUA NA WEWE UUAWE! FAQAT!
 
Kama ulivyosema watu wanajiamulia wao zuri na baya badala ya Mungu kuwa ndiyo mwenye nafasi hiyo,wao hata Musa wanaona alikuwa anakosea.
 
Wana macho lakin hawaoni wana masikio lakin hawasiki... ......... Ngoja niende zangu Arabia nikutafute MN maisha
 
Wala hakuna kumumusa maneno dini ya mwamedi mungu wako ni shetani
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…