Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Kazi za shetan, dini zote zinahubir Mungu Ni "UPENDO " Sasa hapa cjui wanafanya Nn, Kwel tunaangamia kwa kukosa maarifa
 
Kazi za shetan, dini zote zinahubir Mungu Ni "UPENDO " Sasa hapa cjui wanafanya Nn, Kwel tunaangamia kwa kukosa maarifa
Ni kweli tunaangamia kwa kukosa maarifa,wengi wanakuja kusema hii dini ya shetani lakini hajawahi hata siku moja kusoma hicho kitabu cha hiyo dini wanayoita ya shetani.

Yani mtu anaamini kile anachokisia watu wanasema ila yeye binafsi hajawahi hata kusoma andiko moja,huku ni kuangamia kwa kukosa maarifa.
 
Ni sawa na hapa, Saudia wanaweka wazi, hapa wanaua kwa usiri...kuteka! Ben et al!
 
Ni sawa na hapa, Saudia wanaweka wazi, hapa wanaua kwa usiri...kuteka! Ben et al!
Tena wengine wanasema tunapaswa kuziheshimu hizi mamlaka maana zimetoka kwa Mungu,lakini ndani ya hizi mamlaka kuna utesaji na mauaji ndani yake.
 
Tena wengine wanasema tunapaswa kuziheshimu hizi mamlaka maana zimetoka kwa Mungu,lakini ndani ya hizi mamlaka kuna utesaji na mauaji ndani yake.
Ndiyo maana mambo ya dini (biblia inasema tuzitii mamlaka zilizopo maana zimetoka kwa Mungu), nonsense! niliachana nayo, ni ujinga na upuuzi wa kuwatawala watu kimawazo, to soften them to rule them peacefully
 
Ndiyo maana mambo ya dini (biblia inasema tuzitii mamlaka zilizopo maana zimetoka kwa Mungu), nonsense! niliachana nayo, ni ujinga na upuuzi wa kuwatawala watu kimawazo, to soften them to rule them peacefully
Maana mtu anakuja kujisifu kuwa Mungu wake wa upendo lakini Mungu wake huyo huyo wa upendo anamwambia atii mamlaka zilitoka kwake ambazo zinauwa watu,mambo mengine ya kushangaza kweli mkuu.
 
Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi @Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu Debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu The Certified DON SINYORI mij adden


bwii ONTARIO Kobe The Vein Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome Mpatanishi MKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo shedede kamtu33 SteveMollel ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 ngushi anatory antony ukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa shoo61 BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY
Mbona mimi sipo[emoji15] [emoji15]
 
Kama sharia zenyewe ndio hizi, basi uislamu ni dini ya KISHETANI.
 
Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi @Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu Debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu The Certified DON SINYORI mij adden


bwii ONTARIO Kobe The Vein Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome Mpatanishi MKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo shedede kamtu33 SteveMollel ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 ngushi anatory antony ukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa shoo61 BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY wa stendi
Umemsahau faizafoxy
 
Bado kuna mtu anasema dini ya amani.. hehehe kalio kabisa, itapita miaka laki kadhaa kama bado binadamu wapo watajishtukia dini ilikua ujinga tu uliotungwa na watu wachache kucontrol people's mind, watakua wanasoma tu kwenye vitabu vya history jinsi dini ilivyoua watu. Anayebisha aone list ya mataifa yanayoua watu hapo ni dini gani.
Hii post yako ilifaa umu imbobo faizafoxy
 
Hii post yako ilifaa umu imbobo faizafoxy
Sijui hata kama bado anatumia jf siku hizi, nilimuweka kwenye ignore list zamani sana pamoja na wenzake, hua sioni post zao zozote zile.
 
Ndiyo maana mambo ya dini (biblia inasema tuzitii mamlaka zilizopo maana zimetoka kwa Mungu), nonsense! niliachana nayo, ni ujinga na upuuzi wa kuwatawala watu kimawazo, to soften them to rule them peacefully
Kutii mamlaka kulikosemwa katika Biblia kunamaanisha kuutii mfumo mzima wa utawala katika jamii

Yaani kuanzia jirani yako, mjumbe, mwenyekiti wa kitongoji, Mahakama, Bunge na Serikari kwa ujumla.

Jambo hili ndilo lililomaanishwa

Tatizo
Hapo shida inatokea kama viongozi wa mihimili hiyo kwa ubinafsi wao wanatawala bila kuzingatia mamlaya yao yanavyo waelekeza

Mfano Hakimu anaamua kupokea rushwa na kumyima haki mnyonge.
Au Raisi anakuwa dikteta na kuanza kutesa wananchi. Inamaanisha anakiuka sheria elekezi zinazomuongoza kutenda kazi zake.
Hakimu akiwa mla rushwa hapo ni yeye binafsi lakini Muhimili wa mahakaba unabaki kuaminika na jamii katika dhana nzima ya kutafsiri sheria

Hivyo Biblia ulinavyo sema tuzitii mamlaka kwani zimewekwa na Mungu inamaanisha katika ngazi ya kitaasisi, yaani Mahakama, Bunge na Serikali zimewekwa na Mungu ili kumlinda mwananchi.
Kosa la mtendaji wa vyombo hivyo siyo kosa la Serikari.

Nadhani nimeeleweka maana sina utaalamu sana wa kuelezea kwa kina kiasi cha kumwelewesha kila mtu.

Mfano.
Ninamaanisha kuwa kosa la polisi mmoja haliihukumu wizara ya mambo ya ndani.
Wizara ya mambo ya ndani imewekwa na Mungu, Polisi mwovu anaamua mwenyewe kukiuka sheria ya jeshi hilo na kumwonea mwananchi.
 
Kutii mamlaka kulikosemwa katika Biblia kunamaanisha kuutii mfumo mzima wa utawala katika jamii

Yaani kuanzia jirani yako, mjumbe, mwenyekiti wa kitongoji, Mahakama, Bunge na Serikari kwa ujumla.

Jambo hili ndilo lililomaanishwa

Tatizo
Hapo shida inatokea kama viongozi wa mihimili hiyo kwa ubinafsi wao wanatawala bila kuzingatia mamlaya yao yanavyo waelekeza

Mfano Hakimu anaamua kupokea rushwa na kumyima haki mnyonge.
Au Raisi anakuwa dikteta na kuanza kutesa wananchi. Inamaanisha anakiuka sheria elekezi zinazomuongoza kutenda kazi zake.
Hakimu akiwa mla rushwa hapo ni yeye binafsi lakini Muhimili wa mahakaba unabaki kuaminika na jamii katika dhana nzima ya kutafsiri sheria

Hivyo Biblia ulinavyo sema tuzitii mamlaka kwani zimewekwa na Mungu inamaanisha katika ngazi ya kitaasisi, yaani Mahakama, Bunge na Serikali zimewekwa na Mungu ili kumlinda mwananchi.
Kosa la mtendaji wa vyombo hivyo siyo kosa la Serikari.

Nadhani nimeeleweka maana sina utaalamu sana wa kuelezea kwa kina kiasi cha kumwelewesha kila mtu.

Mfano.
Ninamaanisha kuwa kosa la polisi mmoja haliihukumu wizara ya mambo ya ndani.
Wizara ya mambo ya ndani imewekwa na Mungu, Polisi mwovu anaamua mwenyewe kukiuka sheria ya jeshi hilo na kumwonea mwananchi.
Acha simple reasoning, go deeper and deeper, open up your mind in a wider perspective. serikali ni watu, hao ndio serikali, ukitii serikali unatii watu! Watu ambao ni serikali wanavamia clouds, Ben anapotea serikali ambayo ndiyo watu inapuuza, halafu tuitii eti imetoka kwa Mungu, hapana! Mungu aliagiza hivyo kama walioshika mamlaka ya kutekeleza maagizo ya Mungu hawafanyi hivyo... hatupashwi kuwatii!
 
Acha simple reasoning, go deeper and deeper, open up your mind in a wider perspective. serikali ni watu, hao ndio serikali, ukitii serikali unatii watu! Watu ambao ni serikali wanavamia clouds, Ben anapotea serikali ambayo ndiyo watu inapuuza, halafu tuitii eti imetoka kwa Mungu, hapana! Mungu aliagiza hivyo kama walioshika mamlaka ya kutekeleza maagizo ya Mungu hawafanyi hivyo... hatupashwi kuwatii!
Kwenye maswala ya dini kila mtu anajifanyaga mjuaji yaan
 
Retired

Hao wanaofanya mambo hayo ndo wanaitia doa Serikari ikibainika wametumia rasrimali za serikari au dhamana ya Serikari kufanya uovu hatua stahiki zinachukuliwa dhidi yao

Pili usi ituhumu Serikali au mtu binafsi kufanya uovu flani hadi uthibitishe madai yako.

Mambo haya ya kutuhumiana bila ushahidi tuliyakataa wote kipindi fulani.

Wewe mbona unaendelea kutuhumu bila idhahidi ?

Nia ya Serikali yoyote duniani ni kutoa huduma bora kwa wananchi wake ili ibaki madarakani

Ahadi hizi hata vyama shindani vina ahidi.
Serikali kweli huwa inaweza kifanya makosa sehemu flaniflani ndomaana kuna chombo kama Bunge kazi yake ni kuikosoa na kuisimamia serikali pale inapo kosea kama serikali.

Ukichunguza hakuna serikali duniani isiyolaumiwa na wananchi wake kuhusu jambo flani, kitendo hicho hakimpi mwananchi kuto itii serikali yake

Unataka kututhibitishia wewe ungekuwa kiongozi usingekosea mahali ?
Kama hapana basi inawea kutokea kwa yeyote kwa bahati mbaya au kwa kukusudia

Kuitii Serikali ni lazima.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom