V Kweli Tupu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 951
- 528
Mungu anakataza wizi ndani ya biblia. Kama wewe unaiba ingawa biblia haijakutaja directly, bado wewe ni mwizi kulingana na biblia sababu unaiba; Kwahiyo Malyenge utakuwa mwizi sababu unaiba. Ni logic tu hapo ambayo huelewi!Umeshakiri Muhammad hayumo kwenye biblia mada ishaisha. Huna hoja tena. Yaliyobaki unayoongea ni ubabaishaji!!!
Siyo upuuzi! Mpuuzi ni wewe husiye elewa. Elimu ya madrasa inayoongozwa na majini imewapumbaza, maana mlikita kwenye kukariri Quran pasipo ku analyse kama mnayosoma ni kweli.Muhammad kwenye biblia hayumo!! Kwa hiyo hayo yote unayoongea ni upuuzi tu!!
Kama yamekushinda alamsik! Kafanye kazi kwa bidii utunze familia yako, bila kusahau sala 4 kwa siku kwa ajili ya Muhammad atakaye kuokoa husiende motoni. Zawadi za mabikira 72, whisky na beer zinawasubiri peponi.Umeshakiri Muhammad hayumo kwenye biblia mada ishaisha. Huna hoja tena. Yaliyobaki unayoongea ni ubabaishaji!!!
Kukariri usichokijua kwa mwanadamu ni upungufu autakao kukufanya kiumbe dhaifu asiye na akili ya kufikiri kama kasuku, si yule mwenye utambuzi. Hawa wanajifinya wenyewe akili zao.Siyo upuuzi! Mpuuzi ni wewe husiye elewa. Elimu ya madrasa inayoongozwa na majini imewapumbaza, maana mlikita kwenye kukariri Quran pasipo ku analyse kama mnayosoma ni kweli.
Unajua mkuu kusoma kunatia ndani kuelewa, kufikiria na kuhoji unachosoma.Kukariri usichokijua kwa mwanadamu ni upungufu autakao kukufanya kiumbe dhaifu asiye na akili ya kufikiri kama kasuku, si yule mwenye utambuzi. Hawa wanajifinya wenyewe akili zao.
Huo ndio mbinyo mkubwa ktk sehemu kubwa ya ubongo wao wa utambuzi, ukiyafuatilia wanayoyaamini unacheka hadi ufe. Waajabu sana hawa, hata mchanga asingewaamini.Unajua mkuu kusoma kunatia ndani kuelewa, kufikiria na kuhoji unachosoma.
Sasa hawa wenzetu wameweka kukariri mbele zaidi kuliko kusoma kwaku question Quran yao.
Maneno gani yanayofaa ambayo unarusha wewe? Wewe Malyenge mimi siyo mgeni nawe tunakujua jinsi unavyo kebehi ukristo na biblia kutokana na ignorance yako. Na tuko hapa kukuweka sawa ili uondokane na ubweha!Nilijua tu utaanza kurusha maneno yasiyofaa....
Sikebehi. Ninyi ndio mnakebehi uislam.Maneno gani yanayofaa ambayo unarusha wewe? Wewe Malyenge mimi siyo mgeni nawe tunakujua jinsi unavyo kebehi ukristo na biblia kutokana na ignorance yako. Na tuko hapa kukuweka sawa ili uondokane na ubweha!
Ndugu Malyenge, dini ya kiislamu ndiyo pekee duniani ambayo ina kebehi ukristo waziwazi ndani ya Quran. Na mkebehi mkuu ni mtume wenu Muhammad ambaye alidharau biblia, wayahudi na wakristo. Haishangazi leo muislamu ana amini akiua mkristo anaenda zawadiwa bikiri na vileo!Sikebehi. Ninyi ndio mnakebehi uislam.
Jibu kwa maandiko. Toa andiko katika yote hayo usemayo.Ndugu Malyenge, dini ya kiislamu ndiyo pekee duniani ambayo ina kebehi ukristo waziwazi ndani ya Quran. Na mkebehi mkuu ni mtume wenu Muhammad ambaye alidharau biblia, wayahudi na wakristo. Haishangazi leo muislamu ana amini akiua mkristo anaenda zawadiwa bikiri na vileo!
Sioni ukebehi hapo wa Mathayo:4.1Vipi kuhusu Mathayo 4:1 nayo ni kebehi?
Hamna kebehi kwa hiyo ni kweli roho alipelekwa nyikani kwa ibilisi...yaani jini ama shetani right??Sioni ukebehi hapo wa Mathayo:4.1
"Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi."
Wanadamu wote tunapata majaribu na Shetani, ni jambo la kawaida lakini Mungu ametuambia tukimkaribia yeye shetani atakimbia mwenyewe kama alivyomkimbia Yesu.Hamna kebehi kwa hiyo ni kweli roho alipelekwa nyikani kwa ibilisi...yaani jini ama shetani right??
Kwa hiyo roho alimpeleka Yesu nyikani kwa jini ama shetani sawa?Sioni ukebehi hapo wa Mathayo:4.1
"Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi."
Wanadamu wote tunapata majaribu na Shetani, ni jambo la kawaida lakini Mungu ametuambia tukimkaribia yeye shetani atakimbia mwenyewe kama alivyomkimbia Yesu.
Sijazungumzia kukimbia kwa shetani. Nazungumzia Yesu kupelekwa kwa shetani nyikani na roho mtakatifu. Hilo lilifanyika ama halikufanyika?Wanadamu wote tunapata majaribu na Shetani, ni jambo la kawaida lakini Mungu ametuambia tukimkaribia yeye shetani atakimbia mwenyewe kama alivyomkimbia Yesu.
Yesu alipandishwa nyikani na roho siyo kupelekwa. Neno roho ni pana sana, inawezekana Yesu alikuwa katika hali ya kiroho huko nyikani au roho (spirit creature) alimpandisha nyikani.Kwa hiyo roho alimpeleka Yesu nyikani kwa jini ama shetani sawa?
Kwenye Mathayo 4:1 neno ROHO limetumika si katika mapana yake bali NENO ROHO limekusudia ROHO MTAKATIFU. Na kupandishwa nyikani maana yake ni kupelekwa. Hilo halina shaka. Anyway huyo SPRITUAL CREATURE atakuwa ni mtakatifu hawezi kuwa shetani. Kwa hiyo mtakatifu akampeleka Yesu nyikani kwa Ibilisi. Hilo halina shaka!!!Yesu alipandishwa nyikani na roho siyo kupelekwa. Neno roho ni pana sana, inawezekana Yesu alikuwa katika hali ya kiroho huko nyikani au roho (spirit creature) alimpandisha nyikani.