Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
fafanua hapo.Na pia UARABU na Uislam sio kitu kimoja(ingawa kuna vitu vinashabihiana)..we shud know that.
Heheheheheheh sijui kama unafahamu shetani ibilisi Lucifer alikuwa nani kabla ya kuwa baba Wa uovu wote duniani.Elimu ndo msingi. Nani kakwambia malaika ana asi?
Malaika hakuumbwa kwa matashi kama alivyo mwanadamu na jini.
Malaika tangu aumbwe kwakwe hajawahi kumuasi muumba wake bali anafanya kila analo amrishwa.
Ushahidi wangu ni huu. Quran 66:6
"Enyi mlio amini! Jilindeni nafsi zenu na ahali zenu na Moto ambao kuni zake ni watu na mawe. Wanausimamia Malaika wakali, wenye nguvu, hawamuasi Mwenyezi Mungu kwa anayo waamrisha, na wanatenda wanayo amrishwa."
Mwanadamu anaweza kuasi na hivyo pia ndivyo alivyoumbwa jini.
Nisaidie swali hili. Malaika alieasi umemuita jini mwanadamu alieasi nae utamwita nani?
Elimu kwanza!
Kisho ndo uje kujadili
Kaka story ya mtoto rizana iliendelea mpaka mwisho??Ukiangalia yanayotokea duniani, wakati mwingine unaweza kukufuru kwamba pengine Mungu hayupo, kifo cha mtoto Rizana kimenifanya niichukie sana Saud Arabia japo nchi zote zinazotekeleza Sharia sizipendi hata ku-connect flight, lakini Saudi Arabia nimeichukia sana, Muacheni Mungu aitwe Mungu kwasababu kwa hali ya kawaida Mungu angekua na hasira za kawaida nadhani Saud Arabia pangechimbika
Yani mimi NAWAHUKIA waarabu wote hua nikiwaona natibuka nyongo hua nashindwa kuelewa hawa wanoufuata uislamu, haya maarabu majitu yaliyowaua babu zetu na kuwapeleka utumwani.Ndio maana Iran waliita Saudi Arabia taifa la kigaidi sababu matendo wanayofanya hayana tofauti na Isis na alqaeda kama kuchinja hadharani.
hata mafundisho ya imani kali zinazopelekea ugaidi yameanzia Saudi arabia.
Na wewe ndo male wale maosema mchuzi wa ngurue hauna uhusiano na nyama ya ngurue. Uislam ndo uarabu ndo ugaidi period.Na pia UARABU na Uislam sio kitu kimoja(ingawa kuna vitu vinashabihiana)..we shud know that.
Na wale watumwa kule America walipelekwa na waarabu?Yani mimi NAWAHUKIA waarabu wote hua nikiwaona natibuka nyongo hua nashindwa kuelewa hawa wanoufuata uislamu, haya maarabu majitu yaliyowaua babu zetu na kuwapeleka utumwani.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Kwa mfululizo wa makala za huyu bwana tutajitahidi kusahihisha ufahamu kadri ambavyo patakua na upotoshaji ili kuitakasa sheria ya uislam iliyisalimika na mapungufu. Na hili si kwasababu yakuitetea Saudia kama Saudia bali kutetea yale wanayoyasimamia katika hukmu za mola wetu alizowahukumia waja wake.
Hukumu za uislam zilizofungama na adhabu ya kifo zipo nyingi mara nyingi hukumu hizo anahukumiwa nazo mwanaume au mwanamke ambaye tayari ameshafika baleghe, mwenye akili timamu, na pakiwepo na sura ya kukusudia kufanya hilo kosa litalomlazimu auwawe. Kwa hali hiyo ambao hawajafika baleghe na wasio na akili timamu hawatazingatiwa. Kwa wale waliofanya bila kukusudia nao wanamlolongo na taratibu zao.
Katika kesi iliyoletwa kuhusiana na huyu dada inaingia upande wa adhabu ya kifo kwa aliyeua moja kwa moja mf. Kwa kupiga risasi, kuchoma kisu n.k au aliesabisha kifo kwa mwingine(kwa kuweka sumu kwenye chakula/kinywaji, kutega mtego utaosababisha mtu kufa n.k.
Ufafanuzi upo kama ifuatavyo.
Kwanza sheria hii imetajwa katika
qur'an 17.33
"Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza isipo kuwa kwa haki. Na aliye uliwa kwa kudhulumiwa basi tumempa madaraka mrithi wake. Lakini asipite mpaka katika kuuwa. Kwani yeye anasaidiwa."
Hapa tunaona imekatazwa kuuliwa nafsi isipokua kwa haki. Na haki hapa ya kuua moja wapo ni kisasi atacholipiziwa yule aliyeua nafsi. Na kisasi hiki kitasimamiwa/au kutekelezwa na mtawala.
Sheria imempata mrithi wa yule aliyeuliwa chaguzi baina ya kulipa kisasi kwa maana ya kutaka muuaji nae auliwe au asamehe kwa kupewa diya, au asamehe bila ya kupewa chochochote kwa hiyari yake iwe hakuombwa kusamehe au ameombwa. Hivyo basi hukumu hii itafatilizwa kwa matakwa ya warithi.
Kuna hekma kubwa sana imewekwa katika utekelezaji wa hukumu hii. Kwanza imetakiwa isimamiwe na mtawala ili usitokee utata baina ya familia mbili ikiwa familia ya warithi watachukua sheria mkononi. Pili utekelezaji wake una sura ya kutisha ili watu wengine wapate funzo na hofu ya kuua nafsi. Ikiwa sheria hii haikutekelezwa kuna uwezekano mkubwa wa muuaji kuendelea kufanywa na huyu muuwaji kwa kujua hakuna atalofanywa pia watu wengine watachukua mfano huo na wanaweza wakawaua wenziwao kwa kujua hakuna mtu atakae wachukulia sheria. Kwa hivyo kuna funzo kubwa kwa wengine na kwa hali hiyo hofu inapatikana kwa watu na uwoga wa kuua unaingia katika nyoyo zao hivyo kuzisalimisha damu za watu wengine ambazo zingemwagwa kwa tabia chafu ya kuuwana watu wao kwa wao.
Na kuhifadhi damu za watu ni lengo moja kati ya malengo ya sheria ya uislam.
Laiti ungejua uthibitishaji wa fulani kumua fulani ulivyo usingesema hayo. Mlolongo wake unafanywa kwa uadilifu mkubwa sana.
Pili ikiwa kuna uthibitisho wa uwongo umetolewa ili tu huyo dada auliwe basi aliyeongopa amebeba mzigo wake wa madhambi mpaka kiyama na atalipwa kwa hayo aliyoyafanya.
Lengine na hakika umekurupuka na nikutoe shaka ikiwa una ref zilete madamu tu ziwe sahihi. Na zikiwa sahihi ntakufafanulia mana na hakika ref sahihi hazina utata ndani yake. Na zikiwe ref za kutunga ntakuacha nazo mwenyewd hazitakua na kazi nami.
Wewe ni pumbafu na vihistoria vyako vya kidini kuna mtu aliyeua wa Afrika kama Mjerumani? Si bora kukatwa kichwa kuliko kuhalalisha kufirana mpaka makanisani acha ujuha soma historia za mataifa mbalimbali si kung'ang'ania hii uliodanganywa nayo hapaYani mimi NAWAHUKIA waarabu wote hua nikiwaona natibuka nyongo hua nashindwa kuelewa hawa wanoufuata uislamu, haya maarabu majitu yaliyowaua babu zetu na kuwapeleka utumwani.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
sheria ya wapDaaah hiyo ndio shariah