Mkuu, unajua uislamu unachanganya dini na utawala. Ukristo na mafundisho ya biblia hauwatakiwi kuchanganya dini na utawala. Inaweza ikahojiwa kwamba nchi zisizo za kiislamu zina ustaarabu kuliko nchi za waislamu.
Huwezi kuta nchi inajiita serikali ya kikristo au nchi ambayo inahukumu kwa sheria kutoka kwenye biblia! Yesu alifundisha wafuasi wake wasiwe moja ya serikali.
Serikali nyingi za waarabu au uislamu zinahusisha Quran kama kitabu cha sheria kwa kuchanganya dini na utawala. Quran inafundisha wanadamu kuwa makatili kwa kuchukua sheria mikononi mwao, huo ni mfano wa UUNGU MTU kwa Ufalme wa Saudia!
Kwa kweli inasikitisha sana binadamu wana enjoy kuona mwanadamu mwenzao kukatwa kichwa kama mbuzi mbele ya kadamnasi! Mimi sijui ustaarabu wa waarabu huko wapi ingawa neno "ustaarabu" ni neno lenye asili ya kiarabu!!? Imagine ustaarabu gani wa kunywa mkojo wa ngamia, wakati mkojo wake usababisha magonjwa lakini waarabu wanakunywa eti ni dawa! Nini sababu? kasema Mtume Muhammad!