Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Subiri nikusaidie.
Kunukuu
(Then he passed by the women and said, "O women! Give alms, as I have seen that the majority of the dwellers of Hell-fire were you (women).").
Katika safar ya mtume kwenda miiraj katika vitu alivyopata fursa ya kuviona ni hali ya pepo na watu weke pia hali ya jahanam na watu wake. Moja katika masiku akasema kuwaambia wanawake "toeni sadaka......" kaanza na kuwausia kutoa sadaka ambayo kwetu sisi ni tendo la kujikurubisha kwa mola wetu na ni moja kati ya sababu ya mtu kuuepuka moto na kuingia peponi na hilo limekuja kwa kua katika yale aliyooneshwa ni kua wengi katika wanawake wapo motoni kwa sababu alizozitaja hapo. So amewausia watoe sadaka yenye kufuta madhambi kama vile maji yanavyozima moto.
قال صلى الله عليه وسلم:{والصدقة تطفئ الخطيئة كما يطفئ الماء النار}.(صحيح سنن الترمذي).
Kwahiyo umezungumza maneno bila kusoka kwa makini alichokisema mtume sala na salam zimfikie.
Nakusikiliza wapi hujaelewa nikueleweshe
Ni kwanini basi wawe wakazi wengi wa motoni kisa zaka tu? na hayo maelezo mengine kwanini unayakataa hayaendani na hukumu tajwa??
 
Sisi na ninyi kwa uelewa wako nani anatakiwa asome??
Nigeria Majimbo yote ya kaskazini wanaishi kwa shariah za Kiislam, na ndio maana BOKO HARAM wanatamba huko. na ndiko kisa kilipotokea. Kisa kingine kilitokea miaka ya karibuni Sudan binti wa kiislam kaolewa na mkristo na wamesha zaa katangaziwa Fatwa akatwe kichwa.
Tunaweka hizi kama ref. kusupport mada juu ya udhalim unaofanyika kwa kisingizio cha uislam na dini kwa ujumla, mnakuja na hoja nyepesi, ref. hizi hazitakiwi kwasababu hazitoki Saudia. Shame on you! sasa wewe unatetea nini ilhali uko Tanzania, unataka kutwambia wewe na Saudia ndio muislam na hao wa Nigeria siyo?
Uislam umeasisiwa na shetani ndio ukweli huo.
Ref. Sahih Al bukhar
Narrated Ibn `Abbas:

Allah's Messenger (ﷺ) went out along with a group of his companions towards `Ukaz Market. At that time something intervened between the devils and the news of the Heaven, and flames were sent down upon them, so the devils returned. Their fellow-devils said, "What is wrong with you? " They said, "Something has intervened between us and the news of the Heaven, and fires (flames) have been shot at us." Their fellow-devils said, "Nothing has intervened between you and the news of the Heaven, but an important event has happened. Therefore, travel all over the world, east and west, and try to find out what has happened." And so they set out and travelled all over the world, east and west, looking for that thing which intervened between them and the news of the Heaven. Those of the devils who had set out towards Tihama, went to Allah's Messenger (ﷺ) at Nakhla (a place between Mecca and Taif) while he was on his way to `Ukaz Market. (They met him) while he was offering the Fajr prayer with his companions. When they heard the Holy Qur'an being recited (by Allah's Messenger (ﷺ)), they listened to it and said (to each other). This is the thing which has intervened between you and the news of the Heavens." Then they returned to their people and said, "O our people! We have really heard a wonderful recital (Qur'an). It gives guidance to the right, and we have believed therein. We shall not join in worship, anybody with our Lord." (See 72.1-2) Then Allah revealed to His Prophet (Surat al- Jinn): 'Say: It has been revealed to me that a group (3 to 9) of Jinns listened (to the Qur'an).' (72.1) The statement of the Jinns was revealed to him .


حَدَّثَنَا مُوسَى بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا أَبُو عَوَانَةَ، عَنْ أَبِي بِشْرٍ، عَنْ سَعِيدِ بْنِ جُبَيْرٍ، عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ، قَالَ انْطَلَقَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي طَائِفَةٍ مِنْ أَصْحَابِهِ عَامِدِينَ إِلَى سُوقِ عُكَاظٍ، وَقَدْ حِيلَ بَيْنَ الشَّيَاطِينِ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ، وَأُرْسِلَتْ عَلَيْهِمُ الشُّهُبُ فَرَجَعَتِ الشَّيَاطِينُ فَقَالُوا مَا لَكُمْ فَقَالُوا حِيلَ بَيْنَنَا وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ وَأُرْسِلَتْ عَلَيْنَا الشُّهُبُ‏.‏ قَالَ مَا حَالَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ إِلاَّ مَا حَدَثَ، فَاضْرِبُوا مَشَارِقَ الأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا فَانْظُرُوا مَا هَذَا الأَمْرُ الَّذِي حَدَثَ‏.‏ فَانْطَلَقُوا فَضَرَبُوا مَشَارِقَ الأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا يَنْظُرُونَ مَا هَذَا الأَمْرُ الَّذِي حَالَ بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ‏.‏ قَالَ فَانْطَلَقَ الَّذِينَ تَوَجَّهُوا نَحْوَ تِهَامَةَ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم بِنَخْلَةَ، وَهْوَ عَامِدٌ إِلَى سُوقِ عُكَاظٍ، وَهْوَ يُصَلِّي بِأَصْحَابِهِ صَلاَةَ الْفَجْرِ، فَلَمَّا سَمِعُوا الْقُرْآنَ تَسَمَّعُوا لَهُ فَقَالُوا هَذَا الَّذِي حَالَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ‏.‏ فَهُنَالِكَ رَجَعُوا إِلَى قَوْمِهِمْ فَقَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا يَهْدِي إِلَى الرُّشْدِ فَآمَنَّا بِهِ، وَلَنْ نُشْرِكَ بِرَبِّنَا أَحَدًا‏.‏ وَأَنْزَلَ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ عَلَى نَبِيِّهِ صلى الله عليه وسلم ‏{‏قُلْ أُوحِيَ إِلَىَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِنَ الْجِنِّ‏}‏ وَإِنَّمَا أُوحِيَ إِلَيْهِ قَوْلُ الْجِنِّ‏.‏
USC-MSA web (English) reference : Vol. 6, Book 60, Hadith 443
Arabic reference : Book 65, Hadith 4921

Quran 72:1-- Sura yote inazungumzia Majini kuwa ndio wa kwanza kuiamin quran ndio maana ipo kwenye quran.
Say O Muhammad s to people ‘It has been revealed to me that is to say I have been informed by way of revelation from God exalted be He that annahu the suffixed pronoun is that of the matter a company of the jinn the jinn of Nasībīn. This was at the time of the morning prayer at Batn Nakhla a location between Mecca and Tā’if — these jinn being those mentioned in God’s saying And when We sent a company of jinn your way…’ Q. 4629 — listened to my recitation then said to their people upon returning to them “We have indeed heard a marvellous Qur’ān whose clarity the richness of its meanings and other aspects one marvels at which guides to rectitude to faith and propriety. Therefore we believe in it and we will never after this day associate anyone with our Lord.
And we believe that annahu the pronoun in this and in the next two instances is that of the matter — exalted be the majesty of our Lord transcendent is His majesty and magnificence above what is ascribed to Him — He has taken neither spouse nor son.
hapo kwenye nyekundu ndio mnapopata kumkataa Yesu kuwa siyo Mwana wa Mungu.
Sababu Mungu Wa majin hana mke hivyo hawezi kuwa na mtoto.( mada nyingine tuiache kwanza).

Tupe ufafanuzi hapo. Ninyi na sisi nani anatakiwa asome na asome nini, ikiwa vitabu vyenu wenyewe hamsomi! na mngesoma kwa maana ya kusoma leo hii hii mada isingeletwa na The Bold.
Kijana unachanganya changanya mambo ili mradi mtu asikufatilize sio.
Jaribu kuleta jambo moja baada ya lengine kisha omba maelezo. Sasa hapa umechanganya habar ya boko haram, sjui Sudan n.k
Mi nakujibu nukta moja baada ya nyingine.
Kwanza Boko haramu ni moja ya kakundi ya kikhawaarij(yametoka katika utii wa mtawala wa haki). Kundi ambalo linamadhara sana kwa waislam na wengine kwa ujumla. Kwa kuzingatia mafunzi ya dini kundi hili na harakati zake zote wanazofanya hazipo katika mafundisho ya dini yetu. Na ikiwa wanalo wanalolifanya ukadhani limefunzwa na uislam liletee ref.

Case ya Sudan sijawahi kuiskia pamoja na hilo sijui kuwepo kwa hukmu ya mwanamke kuuwa ikiwa ameolewa na asie muislam. Japo ninalojua tu ni kua uislam umekataza mwanamke muislam kuolewa na asie muislam. Kama una ref ya hayo yaliyofanywa yamefunzwa na dini tuoneshe.

Kuhusu majini kua wa kwanza kuamini huu ni uzushi wa ajabu uliouleta maandiko uliyoleta hayasemi hivyo. Kama nilivyosema awali unalazimisha yale unayowaza kuhusu uislam yawe ndio lakin nafasi hiyo haipo.
Nakueleza kilichopo kwenye hiyo hadithi uliyoleta.
Quran 67.5 inasema

"Na kwa hakika tumeipamba mbingu ya karibu kwa mataa, na tumeyafanya ili kuwapigia mashetani, na tumewaandalia adhabu ya Moto uwakao kwa nguvu." katika kazi za nyota alizozipa Allah miongoni mwazo ni kuwapigia mashetani wanaotaka kuvuka kuelekea mahala ambapo hawaruhisiwi kufika. Hivyo kila wanapikaribia ukingo huo wanatandikwa.

Habari ya hao majini waliosikia quran na kuiamini ni haqi hilo halina shaka. Sijajua utata wako uko wapi hapo!

Katika vitu navyo vishangaa kwenu ni kusema mungu wenu huyo mnaemuabudu haja umba kila kiumbe. Yani kuna viumbe si vyake. Huoni kama anamapungufu? Yani kayika ulimwengu kuna viumbe havijaumbwa na unae muabudu!!!

Basi mimi ninaemuabudu ameumba vyote wakiwemo majini katika hili sijaona tusi bali umempa sifa anayostaki yeye ndie Mungu wa majini na watu na kila kiitwacho kiumbe. Pia ametakasika kua na mke na mtoto. Hizo sifa za viumbe wake si yeye
 
Ni kwanini basi wawe wakazi wengi wa motoni kisa zaka tu? na hayo maelezo mengine kwanini unayakataa hayaendani na hukumu tajwa??
Laa unatatizo la kunukuu ndugu yangu hamna mahala palipotajwa zaka mi nimeona hivi
"You curse frequently and are ungrateful to your husbands."
Kutoa sadaka imekuja ili kuwasafisha na hayo madhambi yaliyotajwa na mengine na mwishi wa siku waingie peponi.

Maelezo ninayoyakataa yapi?
 
Sisi na ninyi kwa uelewa wako nani anatakiwa asome??
Nigeria Majimbo yote ya kaskazini wanaishi kwa shariah za Kiislam, na ndio maana BOKO HARAM wanatamba huko. na ndiko kisa kilipotokea. Kisa kingine kilitokea miaka ya karibuni Sudan binti wa kiislam kaolewa na mkristo na wamesha zaa katangaziwa Fatwa akatwe kichwa.
Tunaweka hizi kama ref. kusupport mada juu ya udhalim unaofanyika kwa kisingizio cha uislam na dini kwa ujumla, mnakuja na hoja nyepesi, ref. hizi hazitakiwi kwasababu hazitoki Saudia. Shame on you! sasa wewe unatetea nini ilhali uko Tanzania, unataka kutwambia wewe na Saudia ndio muislam na hao wa Nigeria siyo?
Uislam umeasisiwa na shetani ndio ukweli huo.
Ref. Sahih Al bukhar
Narrated Ibn `Abbas:

Allah's Messenger (ﷺ) went out along with a group of his companions towards `Ukaz Market. At that time something intervened between the devils and the news of the Heaven, and flames were sent down upon them, so the devils returned. Their fellow-devils said, "What is wrong with you? " They said, "Something has intervened between us and the news of the Heaven, and fires (flames) have been shot at us." Their fellow-devils said, "Nothing has intervened between you and the news of the Heaven, but an important event has happened. Therefore, travel all over the world, east and west, and try to find out what has happened." And so they set out and travelled all over the world, east and west, looking for that thing which intervened between them and the news of the Heaven. Those of the devils who had set out towards Tihama, went to Allah's Messenger (ﷺ) at Nakhla (a place between Mecca and Taif) while he was on his way to `Ukaz Market. (They met him) while he was offering the Fajr prayer with his companions. When they heard the Holy Qur'an being recited (by Allah's Messenger (ﷺ)), they listened to it and said (to each other). This is the thing which has intervened between you and the news of the Heavens." Then they returned to their people and said, "O our people! We have really heard a wonderful recital (Qur'an). It gives guidance to the right, and we have believed therein. We shall not join in worship, anybody with our Lord." (See 72.1-2) Then Allah revealed to His Prophet (Surat al- Jinn): 'Say: It has been revealed to me that a group (3 to 9) of Jinns listened (to the Qur'an).' (72.1) The statement of the Jinns was revealed to him .


حَدَّثَنَا مُوسَى بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا أَبُو عَوَانَةَ، عَنْ أَبِي بِشْرٍ، عَنْ سَعِيدِ بْنِ جُبَيْرٍ، عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ، قَالَ انْطَلَقَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي طَائِفَةٍ مِنْ أَصْحَابِهِ عَامِدِينَ إِلَى سُوقِ عُكَاظٍ، وَقَدْ حِيلَ بَيْنَ الشَّيَاطِينِ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ، وَأُرْسِلَتْ عَلَيْهِمُ الشُّهُبُ فَرَجَعَتِ الشَّيَاطِينُ فَقَالُوا مَا لَكُمْ فَقَالُوا حِيلَ بَيْنَنَا وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ وَأُرْسِلَتْ عَلَيْنَا الشُّهُبُ‏.‏ قَالَ مَا حَالَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ إِلاَّ مَا حَدَثَ، فَاضْرِبُوا مَشَارِقَ الأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا فَانْظُرُوا مَا هَذَا الأَمْرُ الَّذِي حَدَثَ‏.‏ فَانْطَلَقُوا فَضَرَبُوا مَشَارِقَ الأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا يَنْظُرُونَ مَا هَذَا الأَمْرُ الَّذِي حَالَ بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ‏.‏ قَالَ فَانْطَلَقَ الَّذِينَ تَوَجَّهُوا نَحْوَ تِهَامَةَ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم بِنَخْلَةَ، وَهْوَ عَامِدٌ إِلَى سُوقِ عُكَاظٍ، وَهْوَ يُصَلِّي بِأَصْحَابِهِ صَلاَةَ الْفَجْرِ، فَلَمَّا سَمِعُوا الْقُرْآنَ تَسَمَّعُوا لَهُ فَقَالُوا هَذَا الَّذِي حَالَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ‏.‏ فَهُنَالِكَ رَجَعُوا إِلَى قَوْمِهِمْ فَقَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا يَهْدِي إِلَى الرُّشْدِ فَآمَنَّا بِهِ، وَلَنْ نُشْرِكَ بِرَبِّنَا أَحَدًا‏.‏ وَأَنْزَلَ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ عَلَى نَبِيِّهِ صلى الله عليه وسلم ‏{‏قُلْ أُوحِيَ إِلَىَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِنَ الْجِنِّ‏}‏ وَإِنَّمَا أُوحِيَ إِلَيْهِ قَوْلُ الْجِنِّ‏.‏
USC-MSA web (English) reference : Vol. 6, Book 60, Hadith 443
Arabic reference : Book 65, Hadith 4921

Quran 72:1-- Sura yote inazungumzia Majini kuwa ndio wa kwanza kuiamin quran ndio maana ipo kwenye quran.
Say O Muhammad s to people ‘It has been revealed to me that is to say I have been informed by way of revelation from God exalted be He that annahu the suffixed pronoun is that of the matter a company of the jinn the jinn of Nasībīn. This was at the time of the morning prayer at Batn Nakhla a location between Mecca and Tā’if — these jinn being those mentioned in God’s saying And when We sent a company of jinn your way…’ Q. 4629 — listened to my recitation then said to their people upon returning to them “We have indeed heard a marvellous Qur’ān whose clarity the richness of its meanings and other aspects one marvels at which guides to rectitude to faith and propriety. Therefore we believe in it and we will never after this day associate anyone with our Lord.
And we believe that annahu the pronoun in this and in the next two instances is that of the matter — exalted be the majesty of our Lord transcendent is His majesty and magnificence above what is ascribed to Him — He has taken neither spouse nor son.
hapo kwenye nyekundu ndio mnapopata kumkataa Yesu kuwa siyo Mwana wa Mungu.
Sababu Mungu Wa majin hana mke hivyo hawezi kuwa na mtoto.( mada nyingine tuiache kwanza).

Tupe ufafanuzi hapo. Ninyi na sisi nani anatakiwa asome na asome nini, ikiwa vitabu vyenu wenyewe hamsomi! na mngesoma kwa maana ya kusoma leo hii hii mada isingeletwa na The Bold.
Kijana acha kuruka kuruka kwa kutoa nukuu bila kuzielewa.Kwanza kabisa Boko Haramu hawahukumu kwa sheria za Kiislamu.Sababu hakuna dola katika dola nyingine.Uislamu ni elimu mzee.Uislamu yaani Qur'an na Sunnah kwanza hutafsiriwa kwa zenyewe kisha Qur'an kwa hutafsiriwa kwa sunnah,kauli za maswahaba na maimamu pia.

Halafu unaposema ya kuwa majini ndio wa mwanzo kuiamini Qur'an kwa aya gani inayoonyesha hivyo.Mzee nilitamani nikujibu kwa ufupi sana sababu ndio jibu muafaka ulilotakiwa kupewa.

Unapozungumzia tukio la majini kuiamini Qur'an baada ya kuisikia inabidi ujiulize tukio hilo lilitokea kipindi gani na mwaka gani na mtume wetu amani za Allah ziwe juu yake alijiuje ya kuwa majini wameisikia na kuiamini Qur'an.

Sasa kama nyinyi mmezoea kubeba beba maandiko bila kujua tafsiri zake na sababu za kushukua maandiko hayo ni nyie sio huku kwetu.

Kwa ufupi Uislamu huujui mzee.Bora uulize uelekezwe...
 
Sisi na ninyi kwa uelewa wako nani anatakiwa asome??
Nigeria Majimbo yote ya kaskazini wanaishi kwa shariah za Kiislam, na ndio maana BOKO HARAM wanatamba huko. na ndiko kisa kilipotokea. Kisa kingine kilitokea miaka ya karibuni Sudan binti wa kiislam kaolewa na mkristo na wamesha zaa katangaziwa Fatwa akatwe kichwa.
Tunaweka hizi kama ref. kusupport mada juu ya udhalim unaofanyika kwa kisingizio cha uislam na dini kwa ujumla, mnakuja na hoja nyepesi, ref. hizi hazitakiwi kwasababu hazitoki Saudia. Shame on you! sasa wewe unatetea nini ilhali uko Tanzania, unataka kutwambia wewe na Saudia ndio muislam na hao wa Nigeria siyo?
Uislam umeasisiwa na shetani ndio ukweli huo.
Ref. Sahih Al bukhar
Narrated Ibn `Abbas:

Allah's Messenger (ﷺ) went out along with a group of his companions towards `Ukaz Market. At that time something intervened between the devils and the news of the Heaven, and flames were sent down upon them, so the devils returned. Their fellow-devils said, "What is wrong with you? " They said, "Something has intervened between us and the news of the Heaven, and fires (flames) have been shot at us." Their fellow-devils said, "Nothing has intervened between you and the news of the Heaven, but an important event has happened. Therefore, travel all over the world, east and west, and try to find out what has happened." And so they set out and travelled all over the world, east and west, looking for that thing which intervened between them and the news of the Heaven. Those of the devils who had set out towards Tihama, went to Allah's Messenger (ﷺ) at Nakhla (a place between Mecca and Taif) while he was on his way to `Ukaz Market. (They met him) while he was offering the Fajr prayer with his companions. When they heard the Holy Qur'an being recited (by Allah's Messenger (ﷺ)), they listened to it and said (to each other). This is the thing which has intervened between you and the news of the Heavens." Then they returned to their people and said, "O our people! We have really heard a wonderful recital (Qur'an). It gives guidance to the right, and we have believed therein. We shall not join in worship, anybody with our Lord." (See 72.1-2) Then Allah revealed to His Prophet (Surat al- Jinn): 'Say: It has been revealed to me that a group (3 to 9) of Jinns listened (to the Qur'an).' (72.1) The statement of the Jinns was revealed to him .


حَدَّثَنَا مُوسَى بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا أَبُو عَوَانَةَ، عَنْ أَبِي بِشْرٍ، عَنْ سَعِيدِ بْنِ جُبَيْرٍ، عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ، قَالَ انْطَلَقَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي طَائِفَةٍ مِنْ أَصْحَابِهِ عَامِدِينَ إِلَى سُوقِ عُكَاظٍ، وَقَدْ حِيلَ بَيْنَ الشَّيَاطِينِ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ، وَأُرْسِلَتْ عَلَيْهِمُ الشُّهُبُ فَرَجَعَتِ الشَّيَاطِينُ فَقَالُوا مَا لَكُمْ فَقَالُوا حِيلَ بَيْنَنَا وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ وَأُرْسِلَتْ عَلَيْنَا الشُّهُبُ‏.‏ قَالَ مَا حَالَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ إِلاَّ مَا حَدَثَ، فَاضْرِبُوا مَشَارِقَ الأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا فَانْظُرُوا مَا هَذَا الأَمْرُ الَّذِي حَدَثَ‏.‏ فَانْطَلَقُوا فَضَرَبُوا مَشَارِقَ الأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا يَنْظُرُونَ مَا هَذَا الأَمْرُ الَّذِي حَالَ بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ‏.‏ قَالَ فَانْطَلَقَ الَّذِينَ تَوَجَّهُوا نَحْوَ تِهَامَةَ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم بِنَخْلَةَ، وَهْوَ عَامِدٌ إِلَى سُوقِ عُكَاظٍ، وَهْوَ يُصَلِّي بِأَصْحَابِهِ صَلاَةَ الْفَجْرِ، فَلَمَّا سَمِعُوا الْقُرْآنَ تَسَمَّعُوا لَهُ فَقَالُوا هَذَا الَّذِي حَالَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ‏.‏ فَهُنَالِكَ رَجَعُوا إِلَى قَوْمِهِمْ فَقَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا يَهْدِي إِلَى الرُّشْدِ فَآمَنَّا بِهِ، وَلَنْ نُشْرِكَ بِرَبِّنَا أَحَدًا‏.‏ وَأَنْزَلَ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ عَلَى نَبِيِّهِ صلى الله عليه وسلم ‏{‏قُلْ أُوحِيَ إِلَىَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِنَ الْجِنِّ‏}‏ وَإِنَّمَا أُوحِيَ إِلَيْهِ قَوْلُ الْجِنِّ‏.‏
USC-MSA web (English) reference : Vol. 6, Book 60, Hadith 443
Arabic reference : Book 65, Hadith 4921

Quran 72:1-- Sura yote inazungumzia Majini kuwa ndio wa kwanza kuiamin quran ndio maana ipo kwenye quran.
Say O Muhammad s to people ‘It has been revealed to me that is to say I have been informed by way of revelation from God exalted be He that annahu the suffixed pronoun is that of the matter a company of the jinn the jinn of Nasībīn. This was at the time of the morning prayer at Batn Nakhla a location between Mecca and Tā’if — these jinn being those mentioned in God’s saying And when We sent a company of jinn your way…’ Q. 4629 — listened to my recitation then said to their people upon returning to them “We have indeed heard a marvellous Qur’ān whose clarity the richness of its meanings and other aspects one marvels at which guides to rectitude to faith and propriety. Therefore we believe in it and we will never after this day associate anyone with our Lord.
And we believe that annahu the pronoun in this and in the next two instances is that of the matter — exalted be the majesty of our Lord transcendent is His majesty and magnificence above what is ascribed to Him — He has taken neither spouse nor son.
hapo kwenye nyekundu ndio mnapopata kumkataa Yesu kuwa siyo Mwana wa Mungu.
Sababu Mungu Wa majin hana mke hivyo hawezi kuwa na mtoto.( mada nyingine tuiache kwanza).

Tupe ufafanuzi hapo. Ninyi na sisi nani anatakiwa asome na asome nini, ikiwa vitabu vyenu wenyewe hamsomi! na mngesoma kwa maana ya kusoma leo hii hii mada isingeletwa na The Bold.
Mama ake Yesu alikuwa na mume ? Mbona alizaa ? Usiwe na ufahamu finyu kiasi hicho ? Unafikiri kila kilichozaliwa kilikuwa na wazazi wawili ? au kilichokuwepo kilitokana na uwili ?

Mzee huwezi kumjadili Mola wa ulimwengu kwa mihemko namna hiyo mpaka ukasahau ya kuwa mnaemuita Yesu na kumuabudu alipatikana bila ya baba kwa uwezo wake Allah.Hii ni elimu na huwa nayo wanaume wenye vifua vya kuhifadhi elimu.

Allah wetu aliyejuu,ndio alimuumba mnaemuita Yesu na kumuabudu kwa ujinga.Tabia za wakiristo hazibadiliki sababu ndio mlivyo,wakiristo walipotea sababu ya kufata vitu vichwa mchungwa na mayahudi walipotea sababu ya kukithirisha kwao kuuliza uliza hata vile vitu ambavyo wanajua majibu yao.

Ndio maana sikushangaa nilipoona uliposema ya kuwa "Mungu wa majini hakuzaa sababu hakuwa na mke",ujinga uliopea kabisa.

Ukija na hoja nyingine nitakueleza nini tofauti ya tafsiri na tarjama.Kisha nitakupa maana ya hizo aya tukufu ulizozinukuu.

Mola wetu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hana mfano wa kitu chochote....
 
Sisi na ninyi kwa uelewa wako nani anatakiwa asome??
Nigeria Majimbo yote ya kaskazini wanaishi kwa shariah za Kiislam, na ndio maana BOKO HARAM wanatamba huko. na ndiko kisa kilipotokea. Kisa kingine kilitokea miaka ya karibuni Sudan binti wa kiislam kaolewa na mkristo na wamesha zaa katangaziwa Fatwa akatwe kichwa.
Tunaweka hizi kama ref. kusupport mada juu ya udhalim unaofanyika kwa kisingizio cha uislam na dini kwa ujumla, mnakuja na hoja nyepesi, ref. hizi hazitakiwi kwasababu hazitoki Saudia. Shame on you! sasa wewe unatetea nini ilhali uko Tanzania, unataka kutwambia wewe na Saudia ndio muislam na hao wa Nigeria siyo?
Uislam umeasisiwa na shetani ndio ukweli huo.
Ref. Sahih Al bukhar
Narrated Ibn `Abbas:

Allah's Messenger (ﷺ) went out along with a group of his companions towards `Ukaz Market. At that time something intervened between the devils and the news of the Heaven, and flames were sent down upon them, so the devils returned. Their fellow-devils said, "What is wrong with you? " They said, "Something has intervened between us and the news of the Heaven, and fires (flames) have been shot at us." Their fellow-devils said, "Nothing has intervened between you and the news of the Heaven, but an important event has happened. Therefore, travel all over the world, east and west, and try to find out what has happened." And so they set out and travelled all over the world, east and west, looking for that thing which intervened between them and the news of the Heaven. Those of the devils who had set out towards Tihama, went to Allah's Messenger (ﷺ) at Nakhla (a place between Mecca and Taif) while he was on his way to `Ukaz Market. (They met him) while he was offering the Fajr prayer with his companions. When they heard the Holy Qur'an being recited (by Allah's Messenger (ﷺ)), they listened to it and said (to each other). This is the thing which has intervened between you and the news of the Heavens." Then they returned to their people and said, "O our people! We have really heard a wonderful recital (Qur'an). It gives guidance to the right, and we have believed therein. We shall not join in worship, anybody with our Lord." (See 72.1-2) Then Allah revealed to His Prophet (Surat al- Jinn): 'Say: It has been revealed to me that a group (3 to 9) of Jinns listened (to the Qur'an).' (72.1) The statement of the Jinns was revealed to him .


حَدَّثَنَا مُوسَى بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا أَبُو عَوَانَةَ، عَنْ أَبِي بِشْرٍ، عَنْ سَعِيدِ بْنِ جُبَيْرٍ، عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ، قَالَ انْطَلَقَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي طَائِفَةٍ مِنْ أَصْحَابِهِ عَامِدِينَ إِلَى سُوقِ عُكَاظٍ، وَقَدْ حِيلَ بَيْنَ الشَّيَاطِينِ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ، وَأُرْسِلَتْ عَلَيْهِمُ الشُّهُبُ فَرَجَعَتِ الشَّيَاطِينُ فَقَالُوا مَا لَكُمْ فَقَالُوا حِيلَ بَيْنَنَا وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ وَأُرْسِلَتْ عَلَيْنَا الشُّهُبُ‏.‏ قَالَ مَا حَالَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ إِلاَّ مَا حَدَثَ، فَاضْرِبُوا مَشَارِقَ الأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا فَانْظُرُوا مَا هَذَا الأَمْرُ الَّذِي حَدَثَ‏.‏ فَانْطَلَقُوا فَضَرَبُوا مَشَارِقَ الأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا يَنْظُرُونَ مَا هَذَا الأَمْرُ الَّذِي حَالَ بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ‏.‏ قَالَ فَانْطَلَقَ الَّذِينَ تَوَجَّهُوا نَحْوَ تِهَامَةَ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم بِنَخْلَةَ، وَهْوَ عَامِدٌ إِلَى سُوقِ عُكَاظٍ، وَهْوَ يُصَلِّي بِأَصْحَابِهِ صَلاَةَ الْفَجْرِ، فَلَمَّا سَمِعُوا الْقُرْآنَ تَسَمَّعُوا لَهُ فَقَالُوا هَذَا الَّذِي حَالَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ خَبَرِ السَّمَاءِ‏.‏ فَهُنَالِكَ رَجَعُوا إِلَى قَوْمِهِمْ فَقَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا يَهْدِي إِلَى الرُّشْدِ فَآمَنَّا بِهِ، وَلَنْ نُشْرِكَ بِرَبِّنَا أَحَدًا‏.‏ وَأَنْزَلَ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ عَلَى نَبِيِّهِ صلى الله عليه وسلم ‏{‏قُلْ أُوحِيَ إِلَىَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِنَ الْجِنِّ‏}‏ وَإِنَّمَا أُوحِيَ إِلَيْهِ قَوْلُ الْجِنِّ‏.‏
USC-MSA web (English) reference : Vol. 6, Book 60, Hadith 443
Arabic reference : Book 65, Hadith 4921

Quran 72:1-- Sura yote inazungumzia Majini kuwa ndio wa kwanza kuiamin quran ndio maana ipo kwenye quran.
Say O Muhammad s to people ‘It has been revealed to me that is to say I have been informed by way of revelation from God exalted be He that annahu the suffixed pronoun is that of the matter a company of the jinn the jinn of Nasībīn. This was at the time of the morning prayer at Batn Nakhla a location between Mecca and Tā’if — these jinn being those mentioned in God’s saying And when We sent a company of jinn your way…’ Q. 4629 — listened to my recitation then said to their people upon returning to them “We have indeed heard a marvellous Qur’ān whose clarity the richness of its meanings and other aspects one marvels at which guides to rectitude to faith and propriety. Therefore we believe in it and we will never after this day associate anyone with our Lord.
And we believe that annahu the pronoun in this and in the next two instances is that of the matter — exalted be the majesty of our Lord transcendent is His majesty and magnificence above what is ascribed to Him — He has taken neither spouse nor son.
hapo kwenye nyekundu ndio mnapopata kumkataa Yesu kuwa siyo Mwana wa Mungu.
Sababu Mungu Wa majin hana mke hivyo hawezi kuwa na mtoto.( mada nyingine tuiache kwanza).

Tupe ufafanuzi hapo. Ninyi na sisi nani anatakiwa asome na asome nini, ikiwa vitabu vyenu wenyewe hamsomi! na mngesoma kwa maana ya kusoma leo hii hii mada isingeletwa na The Bold.
Una hoja dhaifu kuliko nyumba za bui bui....Hiyo sura inaitwa surat al jinn,sura hiyo inazungumzia majini na jinsi walivyoiamini Qur'an na kuisifia,wakasema "Hakika hali wa shani sisi tumeisikia Qur'an ya ajabu..."
 
Mama ake Yesu alikuwa na mume ? Mbona alizaa ? Usiwe na ufahamu finyu kiasi hicho ? Unafikiri kila kilichozaliwa kilikuwa na wazazi wawili ? au kilichokuwepo kilitokana na uwili ?

Mzee huwezi kumjadili Mola wa ulimwengu kwa mihemko namna hiyo mpaka ukasahau ya kuwa mnaemuita Yesu na kumuabudu alipatikana bila ya baba kwa uwezo wake Allah.Hii ni elimu na huwa nayo wanaume wenye vifua vya kuhifadhi elimu.

Allah wetu aliyejuu,ndio alimuumba mnaemuita Yesu na kumuabudu kwa ujinga.Tabia za wakiristo hazibadiliki sababu ndio mlivyo,wakiristo walipotea sababu ya kufata vitu vichwa mchungwa na mayahudi walipotea sababu ya kukithirisha kwao kuuliza uliza hata vile vitu ambavyo wanajua majibu yao.

Ndio maana sikushangaa nilipoona uliposema ya kuwa "Mungu wa majini hakuzaa sababu hakuwa na mke",ujinga uliopea kabisa.

Ukija na hoja nyingine nitakueleza nini tofauti ya tafsiri na tarjama.Kisha nitakupa maana ya hizo aya tukufu ulizozinukuu.

Mola wetu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hana mfano wa kitu chochote....
Taratibu taratibu kaka.
Tuwe layyin
Mana hapa twanfunza asiejua.
 
Hoyaaa mnao bishana juu ya dini sio powa kama vipi anzisheni thread ya kufunzana huko muuache huu uzi upumue..haukuanzishwa kwaajili yane.
 
The bold na mimi pia ni mdau mkubwa kwahyo nitag ili niendelee kufaidi uhondo wa stori zako
 
Mama ake Yesu alikuwa na mume ? Mbona alizaa ? Usiwe na ufahamu finyu kiasi hicho ? Unafikiri kila kilichozaliwa kilikuwa na wazazi wawili ? au kilichokuwepo kilitokana na uwili ?

Mzee huwezi kumjadili Mola wa ulimwengu kwa mihemko namna hiyo mpaka ukasahau ya kuwa mnaemuita Yesu na kumuabudu alipatikana bila ya baba kwa uwezo wake Allah.Hii ni elimu na huwa nayo wanaume wenye vifua vya kuhifadhi elimu.

Allah wetu aliyejuu,ndio alimuumba mnaemuita Yesu na kumuabudu kwa ujinga.Tabia za wakiristo hazibadiliki sababu ndio mlivyo,wakiristo walipotea sababu ya kufata vitu vichwa mchungwa na mayahudi walipotea sababu ya kukithirisha kwao kuuliza uliza hata vile vitu ambavyo wanajua majibu yao.

Ndio maana sikushangaa nilipoona uliposema ya kuwa "Mungu wa majini hakuzaa sababu hakuwa na mke",ujinga uliopea kabisa.

Ukija na hoja nyingine nitakueleza nini tofauti ya tafsiri na tarjama.Kisha nitakupa maana ya hizo aya tukufu ulizozinukuu.

Mola wetu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hana mfano wa kitu chochote....
Kwahiyo unakubali Uislam ulizaliwa na Shetani/Lucifer?
Hakuna maana nyingine ya aya hii ya majini, unless unambie unakuja na new version yako na si ya Mudy.
ikiwa mola wako hakuzaa na hakuzaliwa, ila akitaka kuzaa anaweza sawa?

Kwenye Nyekundu hapo mbona unatofautiana na quran ya Muhammad aloshushiwa na allah?
 
Una hoja dhaifu kuliko nyumba za bui bui....Hiyo sura inaitwa surat al jinn,sura hiyo inazungumzia majini na jinsi walivyoiamini Qur'an na kuisifia,wakasema "Hakika hali wa shani sisi tumeisikia Qur'an ya ajabu..."
Wacha hizo! Majini ni Makenge yasiyo onekana, kazi yao kujambajamba misikitini na kukojolea wale waislamu wanaosinzia wakati wa sala.Kuna kitu gani cha kusifia ndani ya quran mpaka majini yasifie? Tuambie japo aya moja yakusifiwa na majini katika Qur'an.
 
The Bold teremsha vitu. wanapewa ref. za kusapoti mada yako na kuonyesha jinsi unyama unavyotendeka kwa kisingizio cha Allah na udini wanabishia tu.
 
Kwahiyo unakubali Uislam ulizaliwa na Shetani/Lucifer?
Hakuna maana nyingine ya aya hii ya majini, unless unambie unakuja na new version yako na si ya Mudy.
ikiwa mola wako hakuzaa na hakuzaliwa, ila akitaka kuzaa anaweza sawa?

Kwenye Nyekundu hapo mbona unatofautiana na quran ya Muhammad aloshushiwa na allah?
Leta aya inayokwenda na kinyume na niliyo yasema mzee.Sio unaandika kisa una vidole vya kuandika.Jibu hoja kwa hoja sio "...mbona...".

Ulitakiwa kuelewa nilichokiandika sio uishie kusoma tu hoja zangu.Uislamu haujaanzishwa na SHETANI.Na mpaka naingia kaburini sio wewe tu hata wakubwa wenu katika dini mnaowafata kichwa mchunga hamuwezi kuleta ushahidi ya kuwa uislamu umeanzishwa na SHETANI.

Pili,rudi kajifunze kwa kina juu ya neno SHETANI,ukirudi na maana ya shetani nitakupa ufahamu sahihi juu ya hilo tamko la SHETANI...
 
Leta aya inayokwenda na kinyume na niliyo yasema mzee.Sio unaandika kisa una vidole vya kuandika.Jibu hoja kwa hoja sio "...mbona...".

Ulitakiwa kuelewa nilichokiandika sio uishie kusoma tu hoja zangu.Uislamu haujaanzishwa na SHETANI.Na mpaka naingia kaburini sio wewe tu hata wakubwa wenu katika dini mnaowafata kichwa mchunga hamuwezi kuleta ushahidi ya kuwa uislamu umeanzishwa na SHETANI.

Pili,rudi kajifunze kwa kina juu ya neno SHETANI,ukirudi na maana ya shetani nitakupa ufahamu sahihi juu ya hilo tamko la SHETANI...
Sasa uislamu uliletwa na nani? Unaweza kutudhitishie kwa maandiko kama aliyeleta uislamu siyo shetani Allah aka moon god?

Kwanza hamna ushaidi wowote kwamba uislamu uliletwa na Mungu wa Abraham, Yakobo, Isaiah au Waisrael. Kwa wayahudi neno Allah halikuwai kutumika. Hakukuwepo unabii wowote juu ya bedui Muddy au ushahidi wa yeye kupewa utume kwa dini inayopinga biblia na ukristo. Tupe ushahidi juu ya unabii wa Muddy na uungu wa Allah.
 
Sasa uislamu uliletwa na nani? Unaweza kutudhitishie kwa maandiko kama aliyeleta uislamu siyo shetani Allah aka moon god?

Kwanza hamna ushaidi wowote kwamba uislamu uliletwa na Mungu wa Abraham, Yakobo, Isaiah au Waisrael. Kwa wayahudi neno Allah halikuwai kutumika. Hakukuwepo unabii wowote juu ya bedui Muddy au ushahidi wa yeye kupewa utume kwa dini inayopinga biblia na ukristo. Tupe ushahidi juu ya unabii wa Muddy na uungu wa Allah.
Unaandika maneno yasiyo na msingi lengo lako huenda likawa kukwaza imani mtu. Kwa mafunzo yangu mimi sitatukana wala kumtukana unaemuabudu. Ili ikiwa una nia ya kuuliza ili uelezwe tumia lugha ya kistarabu tu utaeleweka.
Tuanze somo sasa.
Umeomba kuthibitishiwa kuwa Mungu aliyemtuma Ibrahim, yakub na Musa ndo huyo aliemtuma Muhammad?
Jabu fupi kabisa ndiyo kwa ushahidi ufuatao
Quran 42.13
"Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye."
Naye Ibrahim aliomba kwa Mola wake atumwe kutokana na kizaz cha Ismail
2.127-128
"Ewe Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na kwa yakini Sisi tulimteuwa yeye katika dunia; na hakika yeye katika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema."

Maneno yako ya kuzua umeyatoa wapi?
Lipe lengine unataka ufunzwe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom