Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Hiyo ndio tafasiri ya Elimu yako lakini ungejiongeza ukajiuliza ni kwa nini hawakunyoosha mkono juu ya Yuda.Hapo ndipo unapoishia wewe unaejiita mwanazuoni wa Dini,huwezi kuendelea zaidi ya hapo kwa maana maarifa hayo uwezi pata Madras yanatoka kwa roho Mtakatifu,na wewe ni mtakatifu kiasi gani mpaka akufunulie hilo.Huna huruma na huruma ni kwa ajili ya wakosefu na hiyo huruma ni roho wa Mungu.Haya huna msamaha unafuata Sharia,na Msamaha ni kwa ajili ya wakosefu na Msamaha ni roho wa Mungu.Bado unasema una Mungu.
Vaa kanzu ya roho na fuga ndevu na weka sigda za roho.
Judas – the Fall Guy
Early 2nd century:
"Judas walked about in this world a sad example of impiety; for his body having swollen to such an extent that he could not pass where a chariot could pass easily, he was crushed by the chariot, so that his bowels gushed out."
Papias, "Exposition of the Oracles of the Lord" Book II.
2 fairytales which made the biblical final edition:
Matthew 27:5
"And he cast down the pieces of silver in the temple, and departed, and went and hanged himself."
Acts 1:18
"Now this man purchased a field with the reward of iniquity; and falling headlong, he burst asunder in the midst, and all his bowels gushed out."
4th century embellishment:
"Judas was a terrible, walking example of ungodliness in this world ... For his eyelids, they say, were so swollen that he could not see the light at all, and his eyes could not be seen ... when he relieved himself there passed through it pus and worms from every part of his body, much to his shame.
After much agony and punishment, they say, he finally died in his own place, and because of the stench the area is deserted and uninhabitable even now; in fact, to this day no one can pass that place unless they hold their nose, so great was the discharge from his body and so far did it spread over the ground."
Papias,"Exposition of the Oracles of the Lord" as quoted in Apollinaris of Laodicea, Christian priest and storyteller.