Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
kuna aliyekabwa roba hata aliye mkaba hamjui [emoji15] ......wee malyenge ukienda kwenye mapango ukila roba ubao, utajia tu niliingia maskani ya vibaka wamenikaba...au utajitangaza mganga?¿


Umesahau yule aliyepata mimba ya holy ghost
 
[emoji115] hata kusoma sina muda nayo [emoji38] [emoji38] najua sio wewe ni[emoji117] View attachment 707954 [emoji117] View attachment 707955


UNAKUWA HUSOMI 😛😛 SI NDIO UMEKUJA KUJIBU 😛😛

Zawadi yako hii

Uhusiano kati ya mungu wa Ukristo na miungu ya upagani

Sambamba na imani hiyo ya watu wa mataifa au wapagani, ya kuamini miungu-watu (akina Zeu na Herme) wanayoiamini kuwa na desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu (kama tulivyoona katika makala iliyopita katika maandiko ya Biblia tukufu yanafundisha pia kuwa, muasisi wa dini ya Kikristo, Bwana Paulo naye baadae aliihubiri miungu hiyo ya wapagani lakini kwa jina lingine. Uthibitisho wa hilo tunaupata kwenye mafundisho yake mwenyewe (Paulo) yafuatayo:

"Nakuandikia hayo nikitaraji kuja kwako hivi karibuni. Lakini nikikawia upate kujua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, iliyo Kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli. Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaamniwa katika ulimwengu, akachukuliwa juu katika utukufu". (1 Timotheo 3:14-16)

"Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa Yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu, kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu." (Wafilipi 2:5-7)

Cha msingi anachofundisha Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, hapo mwanzo Yesu (a.s.) alikuwa hana tofauti yoyote na Mungu, kwa maana kwamba alikuwa ni Mungu kamili! Baadae akaona kuna umuhimu pia awe mtumwa; kwa hiyo akaamua kuuvua Uungu wake na kuuvaa mwili akawa mwanadamu kamili japokuwa roho yake iliendelea kubaki kuwa Mungu!

Aidha, kwa lugha ya jumla anachotueleza Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, kipindi fulani Yesu (s.a.) alikuwa Mungu kamili na kipindi kingine alijibadilisha akawa mwanadamu kamili japokuwa Uungu wake ukabaki nao rohoni! Kwa uchache, hivi ndivyo Bwana Paulo (muasisi wa Ukristo) afundishavyo kuhusu Mungu.

Hata hivyo, mafundisho hayo ya Bwana Paulo kwamba Yesu ni Mungu japokuwa ni mwanadamu kamili, yanapingwa vikali na mafundisho sahihi ya Bwana Yesu mwenyewe (a.s.) kama ifuatavyo:

"Na mmojawapo wa waandishi akafika, akawasikia wakisemezana naye, akatambua ya kuwa amewajibu vema, akamwuliza, katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza? Yesu akamjibu, Ya kwanza ndio hii, sikia Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja; nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote. Na ya pili ndio hii. Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi. Yule mwandishi akamwambia, Hakika, Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ile Yeye, na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhabihu zote pia. Naye Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, alimwambia, Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumsaili neno tena tokea hapo". (Marko 12:28-34)

"Yesu akamwambia. Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu". (Yohana 20:17)

Hapa Bwana Yesu (a.s.) anawafundisha wanadamu wafahamu kwamba Mungu wake na wao ni mmoja tu na daima hakuna mwingine.

Sambamba na ukweli wa mafundisho yake hayo, ni jambo lilowazi kabisa pia kwamba, hakuna mahali popote ndani ya maandiko matakatifu ambamo Bwana Yesu (a.s.) katika maisha yake yote alimowahi kukaririwa akidai Uungu japo kwa kutania. Kinyume chake tunaona mara nyingi alikaririwa akifundisha wazi wazi kuwa Yeye ni mtu (tazama Yohana 8:40) na kusisitiza mara kwa mara kwamba yeye daima ni mwanadamu kamili (tazama Mathayo 11:19)

Aidha, kwa kuzingatia ukweli kwamba yeye (Yesu a.s.) ni mtu na ni mwanadamu kamili kama mwenyewe alivyofundisha hapo juu, itakumbukwa katika makala iliyopita katika gazeti hili tuliona jinsi Mungu (Yehova au Allah s.w.t.) anavyokataa kata-kata kwamba Yeye kamwe si mtu na wala si mwanadamu kwa kila hali (rejea Hesabu 23:19)

Kwa shuhuda hizo basi ni wazi kuwa Mungu aliyekuwa akimhubiri Bwana Paulo hapo ni ile ile miungu ya wapagani (akina Zeu na Herme). Kwa kutumia jina la "Yesu", hasa kwa kuzingatia desturi aliyomsifia kuwa nayo mungu wake huyo ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu i sawa na imani ile ya watu wa mataifa au wapagani katika miungu yao hiyo (Zeu na Herme). Mafundisho kama hayo ya Bwana Paulo yamepelekea leo kuwababaisha wanadamu wamdhani Yesu kuwa ni Mungu wakati si kweli.

Sambamba na mafundisho yake hayo juu ya desturi hiyo ya miungu hiyo ya kipagani katika kutilia mkazo kwamba mungu wa dini yake ya Kikristo kwamba ana desturi ya kujibadilisha badilisha, Bwana Paulo alidiriki kudai kuwa mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" pia wakati mwingine huwa anakuwa jabali! Uthibitisho wa dai lake hilo tunaupata katika kauli yake ifuatayo:

"Kwa maana ndugu zangu sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu, wote wakapita kati ya bahari, wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari; wote wakala chakula kile kile cha roho; wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo". (1 Wakorintho 10:1-4)

Katika maelezo yake hayo juu, mwamba anaoukusudia hapo Bwana Paulo anaodai eti ulikuwa ni Kristo, yaani Yesu, ni lile jabali lililokuwa katika Horebu ambalo Nabii Musa (a.s.) kama Biblia ifundishavyo alilipiga kwa fimbo yake kisha maji yakatoka na watu wakapata kunywa (tazama Kutoka 17:6).

Kwa maelezo yake hayo, yaonyesha dhahiri Bwana Paulo anakiri kwamba Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kutandikwa bakora na Nabii Musa (a.s.)! Ingawa Nabii Musa (a.s.) haonekani kabisa katika zama zake akiwa pamoja na Nabii Yesu (a.s).

Kwa ujumla, mafundisho hayo ya Bwana Paulo yanalenga wazi katika kuonyesha sifa kubwa ya Mungu anayemhubiri kwamba ni pamoja na kujibadilisha-badilisha katika maumbile tofauti! Ambapo desturi hiyo (ya kujibadilisha-badilisha) haipatikani isipokuwa katika imani ya wapagani juu ya miungu yao, ndivyo waiaminivyo kuwa ina sifa hiyo (kama tulivyoona hapo awali).

Na ni katika mafundisho kama hayo ya Paulo ndipo unapopatikana dhahiri shahiri uhusiano halisi wa imani ya mungu-mtu kati ya dini yake ya Kikristo na dini ya kipagani. Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa asili ya Mungu anayeabudiwa na Wakristo inatokana na imani ya miungu-watu ya kipagani kama ile akina Zeu na Herme
 
Umesahau yule aliyepata mimba ya holy ghost
huyo ni Roho Mtakatifu [emoji106] huyu nae aliepuliza fsge@$ ya binti amrani [emoji117]
quranic_verse_21_91_by_nahmala-d9le0u8.png
kaulinda farjaha yake anakuja anaupuliza [emoji15] [emoji24] [emoji24] hii ni Roho Mtakatifu au pbawa [emoji15][emoji351] [emoji351] [emoji4] wengine wako kwenye dua ukiinama tu yeye kapata fursa fuu fuuu fuuuu [emoji15] [emoji38] [emoji38]
 
UNAKUWA HUSOMI 😛😛 SI NDIO UMEKUJA KUJIBU 😛😛

Zawadi yako hii

Uhusiano kati ya mungu wa Ukristo na miungu ya upagani

Sambamba na imani hiyo ya watu wa mataifa au wapagani, ya kuamini miungu-watu (akina Zeu na Herme) wanayoiamini kuwa na desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu (kama tulivyoona katika makala iliyopita katika maandiko ya Biblia tukufu yanafundisha pia kuwa, muasisi wa dini ya Kikristo, Bwana Paulo naye baadae aliihubiri miungu hiyo ya wapagani lakini kwa jina lingine. Uthibitisho wa hilo tunaupata kwenye mafundisho yake mwenyewe (Paulo) yafuatayo:

"Nakuandikia hayo nikitaraji kuja kwako hivi karibuni. Lakini nikikawia upate kujua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, iliyo Kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli. Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaamniwa katika ulimwengu, akachukuliwa juu katika utukufu". (1 Timotheo 3:14-16)

"Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa Yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu, kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu." (Wafilipi 2:5-7)

Cha msingi anachofundisha Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, hapo mwanzo Yesu (a.s.) alikuwa hana tofauti yoyote na Mungu, kwa maana kwamba alikuwa ni Mungu kamili! Baadae akaona kuna umuhimu pia awe mtumwa; kwa hiyo akaamua kuuvua Uungu wake na kuuvaa mwili akawa mwanadamu kamili japokuwa roho yake iliendelea kubaki kuwa Mungu!

Aidha, kwa lugha ya jumla anachotueleza Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, kipindi fulani Yesu (s.a.) alikuwa Mungu kamili na kipindi kingine alijibadilisha akawa mwanadamu kamili japokuwa Uungu wake ukabaki nao rohoni! Kwa uchache, hivi ndivyo Bwana Paulo (muasisi wa Ukristo) afundishavyo kuhusu Mungu.

Hata hivyo, mafundisho hayo ya Bwana Paulo kwamba Yesu ni Mungu japokuwa ni mwanadamu kamili, yanapingwa vikali na mafundisho sahihi ya Bwana Yesu mwenyewe (a.s.) kama ifuatavyo:

"Na mmojawapo wa waandishi akafika, akawasikia wakisemezana naye, akatambua ya kuwa amewajibu vema, akamwuliza, katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza? Yesu akamjibu, Ya kwanza ndio hii, sikia Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja; nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote. Na ya pili ndio hii. Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi. Yule mwandishi akamwambia, Hakika, Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ile Yeye, na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhabihu zote pia. Naye Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, alimwambia, Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumsaili neno tena tokea hapo". (Marko 12:28-34)

"Yesu akamwambia. Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu". (Yohana 20:17)

Hapa Bwana Yesu (a.s.) anawafundisha wanadamu wafahamu kwamba Mungu wake na wao ni mmoja tu na daima hakuna mwingine.

Sambamba na ukweli wa mafundisho yake hayo, ni jambo lilowazi kabisa pia kwamba, hakuna mahali popote ndani ya maandiko matakatifu ambamo Bwana Yesu (a.s.) katika maisha yake yote alimowahi kukaririwa akidai Uungu japo kwa kutania. Kinyume chake tunaona mara nyingi alikaririwa akifundisha wazi wazi kuwa Yeye ni mtu (tazama Yohana 8:40) na kusisitiza mara kwa mara kwamba yeye daima ni mwanadamu kamili (tazama Mathayo 11:19)

Aidha, kwa kuzingatia ukweli kwamba yeye (Yesu a.s.) ni mtu na ni mwanadamu kamili kama mwenyewe alivyofundisha hapo juu, itakumbukwa katika makala iliyopita katika gazeti hili tuliona jinsi Mungu (Yehova au Allah s.w.t.) anavyokataa kata-kata kwamba Yeye kamwe si mtu na wala si mwanadamu kwa kila hali (rejea Hesabu 23:19)

Kwa shuhuda hizo basi ni wazi kuwa Mungu aliyekuwa akimhubiri Bwana Paulo hapo ni ile ile miungu ya wapagani (akina Zeu na Herme). Kwa kutumia jina la "Yesu", hasa kwa kuzingatia desturi aliyomsifia kuwa nayo mungu wake huyo ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu i sawa na imani ile ya watu wa mataifa au wapagani katika miungu yao hiyo (Zeu na Herme). Mafundisho kama hayo ya Bwana Paulo yamepelekea leo kuwababaisha wanadamu wamdhani Yesu kuwa ni Mungu wakati si kweli.

Sambamba na mafundisho yake hayo juu ya desturi hiyo ya miungu hiyo ya kipagani katika kutilia mkazo kwamba mungu wa dini yake ya Kikristo kwamba ana desturi ya kujibadilisha badilisha, Bwana Paulo alidiriki kudai kuwa mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" pia wakati mwingine huwa anakuwa jabali! Uthibitisho wa dai lake hilo tunaupata katika kauli yake ifuatayo:

"Kwa maana ndugu zangu sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu, wote wakapita kati ya bahari, wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari; wote wakala chakula kile kile cha roho; wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo". (1 Wakorintho 10:1-4)

Katika maelezo yake hayo juu, mwamba anaoukusudia hapo Bwana Paulo anaodai eti ulikuwa ni Kristo, yaani Yesu, ni lile jabali lililokuwa katika Horebu ambalo Nabii Musa (a.s.) kama Biblia ifundishavyo alilipiga kwa fimbo yake kisha maji yakatoka na watu wakapata kunywa (tazama Kutoka 17:6).

Kwa maelezo yake hayo, yaonyesha dhahiri Bwana Paulo anakiri kwamba Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kutandikwa bakora na Nabii Musa (a.s.)! Ingawa Nabii Musa (a.s.) haonekani kabisa katika zama zake akiwa pamoja na Nabii Yesu (a.s).

Kwa ujumla, mafundisho hayo ya Bwana Paulo yanalenga wazi katika kuonyesha sifa kubwa ya Mungu anayemhubiri kwamba ni pamoja na kujibadilisha-badilisha katika maumbile tofauti! Ambapo desturi hiyo (ya kujibadilisha-badilisha) haipatikani isipokuwa katika imani ya wapagani juu ya miungu yao, ndivyo waiaminivyo kuwa ina sifa hiyo (kama tulivyoona hapo awali).

Na ni katika mafundisho kama hayo ya Paulo ndipo unapopatikana dhahiri shahiri uhusiano halisi wa imani ya mungu-mtu kati ya dini yake ya Kikristo na dini ya kipagani. Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa asili ya Mungu anayeabudiwa na Wakristo inatokana na imani ya miungu-watu ya kipagani kama ile akina Zeu na Herme
walahi bilahi waa talahi piga ua gslagaza sisomi [emoji38] [emoji38] [emoji38] siwezi kujitia unajisi kwa kusoma udaku wakati Biblia Takatifu ninayo Mkononi ambayo [emoji117]
my-project-287-001+%281%29.jpg
[emoji117]
12965205_1605304066358772_711067041_n.jpg
[emoji123] [emoji106]
 
huyo ni Roho Mtakatifu [emoji106] huyu nae aliepuliza fsge@$ ya binti amrani [emoji117] View attachment 708586 kaulinda farjaha yake anakuja anaupuliza [emoji15] [emoji24] [emoji24] hii ni Roho Mtakatifu au pbawa [emoji15][emoji351] [emoji351] [emoji4] wengine wako kwenye dua ukiinama tu yeye kapata fursa fuu fuuu fuuuu [emoji15] [emoji38] [emoji38]


Catholic assumption about Luke1:35 :


The Catholic view about the birth of Jesus can be put in a nutshell by this simple picture.



Holy Ghost hovered over Mary exhorted creative energy on her womb while Yahweh was overshadowing her with clouds and boom! Jesus was conceived.

Infact, early church fathers gave many theories which we will view in the later text and this isn’t the first place where God of the bible sounds pornographic, the intention of God to have martial relationship with his people is also reflected in.

In Ezekiel, God compares Bride Israel to a young woman, using some striking imagery to describe his love for her:

Then you grew up, became tall, and reached the age for fine ornaments; your breasts were formed and your hair had grown.Yet you were naked and bare.Then I passed by you and saw that you were ready for love; so I SPREAD MY CLOAK OVER YOU and covered your nakedness. I swore to you and entered into a covenant with you so that you became mine, declares the Lord God. – Ezekiel 16:7-8

The phrase “spread my cloak over you” was a Hebrew euphemism for conjugal relations (see Ruth 3:9). This passage should give us an idea of the basic goodness of the marital act as God designed and intended it.

Ruth 3:9 : And he said, Who art thou? And she answered, I am Ruth thine handmaid: SPREAD THEREFORE THY SKIRT OVER THINE handmaid; for thou art a near kinsman.

Barnes’ Notes on the Bible: Spread thy skirt … –

The phrase indicates receiving and acknowledging her as a wife.

Due to the nebulous and somewhat graphical language of Luke 1:35 several theories are proposed depending which sect of Christianity you are talking about, since Catholics aren’t the only Christians in the scene.

Intimacy with Yahweh:

The language of Luke 1:35 made some Christians (Mormons) to believe that Yahweh was sexually involved with Mary.

Luke 1:35 states, “The Holy Ghost shall come upon you and the power of the most high (Yahweh) will overshadow you. This makes some Christian to come to conclusion when Holy ghost came upon Mary she became unconscious and Jehovah had an intercourse with her.



To further explain as to why he reach this conclusion on Luke 1:35, he said,



Intimacy with Holy Ghost:

Luke 1:35 says that holy ghost will come upon Mary and the power of the most high will overshadowed her. A Christian source remarked, ‘overshadowed’ is just another delicate discreet way of saying a man got on top of a woman, casting his shadow over her, and entered her with his penis and ‘made love’ to her. This is just the good old-fashioned missionary way of producing babies. The woman gets ‘overshadowed’…or as King Solomon via the Holy Spirit said… His left hand is under my head, and his right hand doth embrace me. (Song of Solomon 2: 6) Because her lover is over top of her…. and he is overshadowing her …..’and his banner over me was love’ (2: 4).Do clouds penetrate into the womb ?…. Does gas produce babies ? The answer obviously NO. The Lord created sperm to break thru the egg of a woman to combine with the cell of a woman to reproduce into a new body for a new soul. That’s the Lord’s biology, that’s His embryology. That’s the Lord’s sexuality.

Mathew 1:20 But while he thought on these things, behold, the angel of the Lord appeared unto him in a dream, saying, Joseph, thou son of David, fear not to take unto thee Mary thy wife: for that which is CONCEIVED IN her is of the Holy Ghost.

And the conception happened INSIDE Mary’s womb.

Luke 2:21 And when eight days were accomplished for the circumcising of the child, his name was called source, there is a possibility, according to Zohar [a book on Jewish kaablah] and the Alphabet of Ben Sira [wrote by Jesus bin Sirach], Lilith was Adam’s first wife who later became a succubus[female demon]. She left Adam and refused to return to the Garden of Eden after she mated with archangel Samael (who was an angel) and according to another source, even Pope Sylvester also had a sexual relationship with a succubus. However, Catholics kept this relationship in just spiritual realm;

Saint Maximillian Kolbe say that the relationship between the Spirit of God and the Theotokos is redolent of a marriage in the following ways: As a husband and wife become “one flesh” in marriage (Genesis 2:24) yet remain distinct persons, so Mary and the Spirit are two distinct persons who share a deep spiritual union. As human spouses cooperate in giving life to their children, so, analogously, the Spirit and Mary “cooperate” in communicating spiritual life to us. (H.M. Manteau-Bonamy, The Immaculate Conception and the Holy Spirit: The Marian Teachings of Saint Maximillian Kolbe (Libertyville, IL: Franciscan Marytown Pr, 1977 ) , So how does husband and wife become one? Of course after sexual intercourse .Levi Jones, associate pastor of theology in U.S.A see the impregnation of Mary analogous to Zeus’s relationship with Leda.



As said earlier it is possible that a spirit can have sexual relationship with a human. However, Jesus is refereed to son as the son of Yahweh i.e. born of Yahweh’s sperm or semen and the spirit act as a vector in transferring the sperms of Yahweh into Mary’s womb probably in an old fashioned way.

We see that Holy Spirit can take physical forms such as dove, thus it possible that it came upon her and overshadowed her. According to a source, Holy Spirit is also designated as the most high and he was the one overshadowing her and ejaculating the seed of Yahweh into her.

Some Christian may say if this copulation then Mary is no longer a virgin which goes against Isaiah 7:14, Oh really? The word used for defining the virginity of Mary in the New Testament is pa?????? (strong’s G3933-parthenos), however! It also mean a marriageable maiden; Infact in Septuagint, this term is also applied for woman who are already deflowered women and harlots.

As for Isaiah 7:14, the R.S.V. 1952 Bible which was produced by Thirty-two scholars of highest eminence, and reviewed by fifty representatives of cooperating denominations, gives its translation as;

“Behold a young woman shall conceive and bear a son and shall call his name Imman’u-el.”

And in the footnote to this verse it says;

“Young woman, Hebrew ‘almah, feminine of ‘elem, young man (1 Sam.17.56, 20.22); the word appears in Gen.24.43; Ex.2.8; Ps.68.25, and elsewhere where it is translated “young woman,” “girl,” “maiden.”

(The Holy Bible, Revised Standard Version 1952, Edited by Herbert G. May and Bruce M. Metzger, Oxford University Press, New York 1962)

Intimacy with Gabriel and Jospeh:

In a book Unveiling God’s Presence in the Bible By Tommy C. SEAY, he claims that it was the angle Gabriel sexually involved with Mary and this claim is inspired by his holy ghost (pg297-301). Bible Review Magazine 1902-1903 By Harry et al Wright, he claims that when ghost came upon both both Mary and Joseph when they were in bed and clouds overshadowed them, they committed sex unconsciously and this how Jesus was born (pg.113-114). All these books can be read on Google books.

Strange Arts:

Early Church fathers unable to understand how Mary became impregnated with Jesus, posed different drawings. One of them was that a Yahweh is oozing semen from his mouth through a tube which is going beneath Mary’s skirt.



Summary & Conclusion:

Even the spirit brought the breath of God, there was no sex at all, the conception was totally spiritual etc etc. The point is that Luke 1:35 is at the time so graphic and nebulous that it made Christians to came up with some nasty and promiscuous thoughts about the conception.

On the other hand, Quran is very clear and free of such imagery.

Christians should check their own sources before criticizing ours. Infact, both Mathew and Paul never made any claim about the virgin birth, why? I leave this answer to the Christians.

Qur’an refers to Mary, the most chaste woman ever in the most excellent manner and in the language befitting the Divine Majesty. This is why Muslims never have had any graphical or immodest description of her conception, whereas the Biblical description speaks of a human mind behind the narrative which brings in a mental picture which has lead to all the non-sense shown above.

And perhaps all this was a reflection of Greek mythology cf. Zeus’ relation with Leda.
 
walahi bilahi waa talahi piga ua gslagaza sisomi [emoji38] [emoji38] [emoji38] siwezi kujitia unajisi kwa kusoma udaku wakati Biblia Takatifu ninayo Mkononi ambayo [emoji117] View attachment 708598 [emoji117] View attachment 708599 [emoji123] [emoji106]


Paulo kutomtambua Mungu-Yehova

Katika shuhuda za Biblia tukufu zilizotangulia hapo juu, tumeona jinsi Paulo alivyosimama imara na kuihubiri miungu ya kipagani (kama akina Zeu na Herme) kwa jina la "Yesu". Aidha, akitilia mkazo msimamo wake huo (wa kufundisha miungu hiyo ya kipagani peke yake), Bwana Paulo alionyesha wazi kuwa hamtambui kabisa Mungu-Yehova. Uthibitisho wa hilo tunaupata katika kauli zake (Paulo) zifuatayo:

"Maana imani ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa, nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa; tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na mwokozi wetu, ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafisha watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema". (Tito 2:11-14)

"Kwa maana ningeweza kuomba mimi mwenyewe niharimishwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili, ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake, ambao mababu ni wao, katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu mwenye kuhimidiwa milele. Amina." (Warumi 9:3-5).

Katika kuonyesha kwamba hamtambui kabisa Mungu-Yehova na kwamba amedhamiria kumhubiri peke yake mungu-Zeu na Herme kwa jina la "Yesu", Bwana Paulo hapa anadai kwamba mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" ni mungu mkuu na ndiye mungu aliye juu ya mambo yote! Kwa maana kwamba kama kuna Mungu mwingine yoyote basi Mungu wake huyo ndiye zaidi (mkuu)!

Hata hivyo, lakusikitisha, wakati Bwana Paulo anawafundisha wanadamu kwamba mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" kuwa ndiye mkuu, tayari Bwana Yesu mwenyewe alikwishafundisha kwamba Mungu-Yehova ndiye Mkuu kuliko yeye (Yesu a.s.) (tazama Yohana 14:28).

Hii yote ni kudhihirisha kuwa Mungu aliyemhubiri Paulo ni mungu yule yule mwenye asili ya miungu ya wapagani (kama akina Zeu na Herme) na kamwe siyo Mungu-Yehova ambaye ndiye Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismaili, Isaka, Yakobo, Yesu, Muhammad na Mitume na Manabii wengine wote (a.s.) aliowatuma duniani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom