Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
1708607394172.jpg

Tumewafikia wachimba dhahabu
 
hivi hizi picha za AI Kuna ujuzi Gani unaotumika kuzitengeneza?
Kuna app inatumika ? please mwenye abc na hizi picha nazipenda Sana 🙏🙏
Kuna app moja mi tu ila nahisi zipo nyingi ila mi nishawahi tumia moja hio inaitwa BING:CHAT WITH AI...kigezo kikubwa uwe very very creative na una imagination nzuri na KUBWA kuliko Yote English iwe imenyooka Vizuri Yani nzurii
 
Back
Top Bottom