Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tumewafikia wachimba dhahabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hizi picha ni mm tu ndiyo zinanigomea kufunguka au tuko wengiView attachment 2912327
Tumewafikia wachimba dhahabu
ni wewe tu mkuu,sisi tunatumia old versionHivi hizi picha ni mm tu ndiyo zinanigomea kufunguka au tuko wengi
Wewe TuHivi hizi picha ni mm tu ndiyo zinanigomea kufunguka au tuko wengi
Hata mimi zinagoma kufunguka mpaka nitume web browserHivi hizi picha ni mm tu ndiyo zinanigomea kufunguka au tuko wengi
fungua jamii forum nje ya app tumia browserHivi hizi picha ni mm tu ndiyo zinanigomea kufunguka au tuko wengi
Kuna app moja mi tu ila nahisi zipo nyingi ila mi nishawahi tumia moja hio inaitwa BING:CHAT WITH AI...kigezo kikubwa uwe very very creative na una imagination nzuri na KUBWA kuliko Yote English iwe imenyooka Vizuri Yani nzuriihivi hizi picha za AI Kuna ujuzi Gani unaotumika kuzitengeneza?
Kuna app inatumika ? please mwenye abc na hizi picha nazipenda Sana 🙏🙏
Na Mimi siku hizi hazifunguki.Hivi hizi picha ni mm tu ndiyo zinanigomea kufunguka au tuko wengi