Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Namaanisha kufanya kazi, katika sekta mbalimbaliHahahahahaha...hii Dunia kutembea ni sehemu ya kujifunza tu..au ulikuwa unamaanisha lutembea vipii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namaanisha kufanya kazi, katika sekta mbalimbaliHahahahahaha...hii Dunia kutembea ni sehemu ya kujifunza tu..au ulikuwa unamaanisha lutembea vipii?
Hahahahahaha...hapana mie ninefanya zaidi ktk Entertainment Company..na Advertising Agency kwa muda ..huko nimekutana na masuala mengiNamaanisha kufanya kazi, katika sekta mbalimbali
Nakuelewa mkubwa, advertising agency vipi. Kibongo bongo tuna weza au ndo chenga !?Hahahahahaha...hapana mie ninefanya zaidi ktk Entertainment Company..na Advertising Agency kwa muda ..huko nimekutana na masuala mengi
Hahahahaha...ziko kampuni zinaweza tena sana tu ...mwanzo nyingi zilikuwa zina sub kazi nje ila sasa wamepunguza au kuacha kabisaNakuelewa mkubwa, advertising agency vipi. Kibongo bongo tuna weza au ndo chenga !?
Mfano tigo Alie kuwa ana wafanyia matangazo Yuko vizuri.Hahahahaha...ziko kampuni zinaweza tena sana tu ...mwanzo nyingi zilikuwa zina sub kazi nje ila sasa wamepunguza au kuacha kabisa
Hahahahahaha..Tigo huwa wako vzr sana...Airtel mwanzoni walikua vzr...ila sasa kuna muda unafika inabidi kampeni fulani mtumie celebrity....na kila kampeni ina sababu zake na malengo yakeMfano tigo Alie kuwa ana wafanyia matangazo Yuko vizuri.
👉Airtel Wana beba ma celebrity, tangazo ni empty aisee
Japo sija enda shule, ila nina ka elimu ka kufatilia mambo ya teknolojia.Hahahahahaha..Tigo huwa wako vzr sana...Airtel mwanzoni walikua vzr...ila sasa kuna muda unafika inabidi kampeni fulani mtumie celebrity....na kila kampeni ina sababu zake na malengo yake
Hahahahaha..eti hujaenda shule mbn wengi hatujaenda shule ? Sijajua kwa sasa wako na Agency gani hivyo siezi kujibu hasa tatizo nn , ila km umeona upungufu basi upoJapo sija enda shule, ila nina ka elimu ka kufatilia mambo ya teknolojia.
Hizi kampuni huwa Zina anthem yake, ukiona au kusikia una jua tu.
Tigo Wana kale ka mdundo ka tuntu, au ile live it, love it.
Voda Wana yajayo Yana furahisha, au supa kasi, Kuna ile sauti ya Jamaa akiongea hii ni 🔥🔥.
Airtel naona ana kurupuka Sana, team yake ni nyepesi,
Mi sijaenda kweli, hata lugha nili unga unga - mwisho nika i master.Hahahahaha..eti hujaenda shule mbn wengi hatujaenda shule ? Sijajua kwa sasa wako na Agency gani hivyo siezi kujibu hasa tatizo nn , ila km umeona upungufu basi upo
Hahahahahaha..dah haya bhanaMi sijaenda kweli, hata lugha nili unga unga - mwisho nika i master.
Halafu mbona wote wana fanya kimazoea??.
Au ndo kuridhika??, Maana huduma mbovu, hata Baadhi ya maeneo huduma Ina zingua?!
Hahaha, mkubwa bado haamini.Hahahahahaha..dah haya bhana
Kufanya kimazoea au kuridhika? Huduma mboovu na kuzingua huduma kwa baadhi ya maeneo hiyo sasa sio kazi ya Agency wala Advertising hiyo nadhani ni watu wa Technical na Technology mie sidhani km naeza nikakujibu vzr
Hahahahahaha...hili la mwisho la maana niliwahi kuwaza kuweka ktk kijiwe fulani mtaani ila bado sijajua vzr ..majumbani naona giants washaanza ingia km Zuku .Ila wazo zuri sana MkuuHahaha, mkubwa bado haamini.
Nime zungumzia upande wa technical.
sema Kama una jiweza wekeza kwenye kusambaza huduma ya internet majumbani.
Mkubwa gape bado ni kubwa Sana, ma giant Wana lega mno.Hahahahahaha...hili la mwisho la maana niliwahi kuwaza kuweka ktk kijiwe fulani mtaani ila bado sijajua vzr ..majumbani naona giants washaanza ingia km Zuku .Ila wazo zuri sana Mkuu
Hapa alindika Jini limetoka lkn mganga hoi. 😀
Wazo zuri sana hili ila linahitaji msuliMkubwa gape bado ni kubwa Sana, ma giant Wana lega mno.
Wengi Hawaja Zama ndani ndani, ila Wana ishia mijini.
Hata huko mikoani, Wana ishia kuringia wateja.
Miksa huduma isiyo thabiti, kijana naona Fursa nyingi- sema bado sija pata wa kunitoa tutoke. Tresor Mandala
Hiyo ni AI Ambayo kaamua kuchanganya na ubunifu wake kuleta graphics bora.Hizo graphics sio AI ?