Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

Screenshot_20240222-212708_Lite.jpg
 
Admin yuko vizuri tatizo timu yao ni mbovu wana muangusha sana, kwa jinsi walivyo panda kwa dhulma watarudi walikotoka
 
Natumaini atapata shavu kwenye timu kubwa, yupo vizuri kwenye AI graphics.
 
hivi hizi picha za AI Kuna ujuzi Gani unaotumika kuzitengeneza?
Kuna app inatumika ? please mwenye abc na hizi picha nazipenda Sana 🙏🙏
Google zimejaa kibao km takataka
 
Admin yuko vizuri tatizo timu yao ni mbovu wana muangusha sana, kwa jinsi walivyo panda kwa dhulma watarudi walikotoka
Kuna mtu anauza ungo na vibuyu, vitakufaa sana maana una sifa zote za mchawi.
 
hivi hizi picha za AI Kuna ujuzi Gani unaotumika kuzitengeneza?
Kuna app inatumika ? please mwenye abc na hizi picha nazipenda Sana 🙏🙏
Kuna uzi mtu aliweka hapa namna ya kutengeneza
 
Back
Top Bottom